Hongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!

Sisi Chadema tunatuma Maombi Maalum kwa Mgombea Urais wa CCM Mzee Daktari bingwa wa kemia duniani Bwana Magufuli Kukubali Kuwa na MDAHALO na Mgombea Urais Wa Chadema Kamanda Tundu Lissu ili Kushindanisha SERA na Mitazamo Yao kwa Nchi Yetu Live kwenye TV na Redio Zote za Duniani na Wananchi Wote Watasikiliza!:
 
Unaonesha jinsi ulivyo na uelewa mdogo kwanza hajasema universal health care amesema universal health insurance ndiyo maana hukuelewa. Kuhusu Norway yuko sahihi alichosema kwasababu ametolea mfano namna nchi zingine zinavyonufaika na rasilimali lakini nchi ya Equatorial Guinea ilivyo masikini pamoja na kuwa na utajiri mkubwa wa mafuta kutokana na uongozi mbaya.
Hahahah hapa ndio najua wanaomfuata nao hawajui wakiongeacho...Universal health care and Universal health insurance is one and the same bro....unaijua Obamacare? Blaza ni health care insurance for all...na kuhusu Mfuko wa Mafuta wa Norway haugawi pesa kwa watu kama anavyodai yeye ila unasimamia uwekezaji wa pesa zinazopatikana kwenye mafuta ni tofauti na anachokisema LISU nashukuru mungu ninaishi hapa Oslo na nafanya kazi kwenye sekta ya nishati hivyo naelewa zaidi kuliko ajuavyo yeye.

Na hapa Norway Umeme unaoongoza kwa unafuu na kwa kuzalishwa kwa wingi unatokana na maji na Norway ndio inaongoza bara la ulaya kwa kuwa na umeme mwingi wa Maji 54GW, Ujerumani anaongoza umeme wa Solar 46GW, Denmark anaongoza Kwa umeme wa Upepo 28GW. USA 70% ya umeme wao ni wa maji, china 80% ya Umeme wao ni Maji.
 
Hili ni bandiko la pongezi kwa ITV kuwa ndio the first mainstream TV Station kumhoji Tundu Lissu. Huu ni mwanzo mzuri, TV nyingine zifuate.
Kweli ingekuwa ni TBC ni AIBU, wangekatakata haya mahojiano, halafu (baadae) warushe wanachoona kitamfurahisha JIWE na wapambe wake, kama ilivyokuwa wakati China ya MAO au Romania ya Chausescau.

TBC (chombo cha UMMA) kwa kuacha utaalamu na kuchagua upande wanajibomoa wenyewe kwa kasi. Mvuto aliyoiletea Tido umeondoka kama moshi.
 
Mh. Pasco, kuna jambo moja tu, Magu na Lisu wanafanana, kama ilivyo Magu, Lisu pia hapangiwagi, hasa kwenye kusema na kumtaja anaye taka kumtaja! Risasi 16 hazijaweza Wewe ni nani umpangie Lisu cha kusema!
 
Ulinambia kwamba if you can not beat them, then join them. Lakini, mimi nadhani ni vema ukawa na msimamo wako binafsi. Mayalla, we have our morals, our values and principles. Government regimes may change but you need to stand by your values and principles. Do not join a nonsensical regime simply because you desire to become an affluent individual. Remain an upright person regardless of the regime.
Nimekubali Mkuu
 
Hahaha blaza ule ndio uwezo kweli Uwezo wa kutokujua umeme wa Maji na mwingine upi ni umeme rahisi kabisa duniani? Nadhani Tundu lisu hajui kuwa Kuna Miradi ya umeme wa Jua Kigoma na Same , hajui kuna Mradi wa umeme wa Upepo Singida ambako ni kwao?....Mgombea anaeongea kuhusu mfuko wa mafuta wa Norway ambao hajui kazi yake ni nini?...Uwiii .Mgombea anayeongelea Universal health care bila kuchambua atafikiaje hiyo universal health care....hahaha VIVA MAGUFULI KANYAGA TWENDE
Kigoma? You can't be serious. Au unazungumzia hiz taa za barabarani hapa Mwanga?
 
Yapo mambo kadhaa aliyoyazungumza Lissu ambayo, in theory, ndivyo yanavyopaswa yawe. Lakini, in practice, hasa katika mchi yetu, ukiyatekeleza ni kama kufungulia shimo la choo.

Uhuru wa kiuchumi. Kweli siasa za ujamaa zilitushinda. Alipokuja mzee Ruksa na uhuru wake wa kiuchumi wafanyakazi waliishi kama mashetani. Alipokuja mzee Mkapa na uhuru wake wa kiuchumi Lissu huyu huyu alikuwa akigombana naye takribani kila siku. Alipokuja Kikwete na uhuru wake wa kiuchumi nchi ikawa kama shimo la panya. Magufuli katight mambo kiaina kama ujamaa fulani but mambo yote yanakwenda. Not perfect lakini inaonekana uhuru wa kiuchumi kwa nchi yetu haiendi kama theory inavyosema.

So kwa kumjibu Lissu, nchi yetu inahitaji bado top-down control ya serikali.
 
Hahahah hapa ndio najua wanaomfuata nao hawajui wakiongeacho...Universal health care and Universal health insurance is one and the same bro....unaijua Obamacare? Blaza ni health care insurance for all...na kuhusu Mfuko wa Mafuta wa Norway haugawi pesa kwa watu kama anavyodai yeye ila unasimamia uwekezaji wa pesa zinazopatikana kwenye mafuta ni tofauti na anachokisema LISU nashukuru mungu ninaishi hapa Oslo na nafanya kazi kwenye sekta ya nishati hivyo naelewa zaidi kuliko ajuavyo yeye.

Na hapa Norway Umeme unaoongoza kwa unafuu na kwa kuzalishwa kwa wingi unatokana na maji na Norway ndio inaongoza bara la ulaya kwa kuwa na umeme mwingi wa Maji 54GW, Ujerumani anaongoza umeme wa Solar 46GW, Denmark anaongoza Kwa umeme wa Upepo 28GW. USA 70% ya umeme wao ni wa maji, china 80% ya Umeme wao ni Maji.
Alisema kwa nchi za tropical umeme wa maji siyo reliable una uncertainties nyingi. Sasa hiyo Norway unayo i refer ni nchi ya kitropikana, au tu bora umpinge Lissu.

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama siku ya kesho itaisha salama kwa ITV. Mwenendo wa Campaign unaonyesha JPM kachoka na anaongea ongea tu, nimeanza kuelewa kwanini JPM anamuhofia sana Lissu
Hofu kubwa ni endapo Tundu lisu ataingia ikulu kisha akamuondolea kinga ya kutoshitakiwa kama kule Malawi wakivyofanya sasa
 
Umeeleweka lakini unapata wapi ujasiri wa kupinga msemo huu wa Kiingereza usemao "Amlipaye mpiga zumari ndiye achaguaye wimbo" Au unatekeleza u kada? Maana hao ndo watu wasiojulikana.
 
Sijui kama siku ya kesho itaisha salama kwa ITV. Mwenendo wa Campaign unaonyesha JPM kachoka na anaongea ongea tu, nimeanza kuelewa kwanini JPM anamuhofia sana Lissu
Kilichobaki kwake sasa ni kucheza viduku, mapanga shaa na kuropoka vitu hata havipo. Hapo ndio kwanza kampeni zimeanza. Siku hizi kasahau hata kula mahindi barabarani, Lissu anamchosha sana akili.
 
Back
Top Bottom