NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Kwani kura zishaibiwa marangapi na hapakuchimbika shimo?Lissu ni kichwa, hataibiwa kura. Anaposema patachimbika kweli anamaanisha.
Mbona mlipigwa pini kufanya siasa miaka mitano na hapakuchimbika?
Hamasa tu za kwenye mitandao hamna lolote ni ushuzi tu.