Hongera GT, Ikulu yaja na website mpya

J4MAYOKA

Senior Member
Jul 16, 2011
147
84
viewer-5.png


Baada ya takriban miaka 6 na matusi na kelele za kila namna za GAME THEORY na zingine akazihamishia kule twitter, Facebook, na kwa jamaa wa Open Government Partnership hatimaye SALVA RWEYEMAMU, PREMI KIBANGA na kurugenzi nzima ya mawasiliano ikulu wamegive in na wameleta website mpya ya ikulu

tazameni website mpya ya ikulu yetu:

ikulu.go.tz

sasa kilichobaki ni kuichambua na kutazama kama kweli itakuwa updated na sasa pia ni nafasi nzuri kujua wanaomshauri rais ni akina nani na elimu zao

Zaidi ya hayo pongezi sana kwa JAMIIFORUMS na zaidi kwa GT

lakini mbona haina habari mpya au habari ya who is who mle kwenye kasri?

halafu mbona bado wanatumia e-mail ya YAHOO?
 
Kuwa na website ni kitu kimoja na ku-maintain website ni swala jingine kabisa. Time will tell very very soon!
 
Baada ya takriban miaka 6 na matusi na kelele za kila namna za GAME THEORY na zingine akazihamishia kule twitter, Facebook, na kwa jamaa wa Open Government Partnership hatimaye SALVA RWEYEMAMU, PREMI KIBANGA na kurugenzi nzima ya mawasiliano ikulu wamegive in na wameleta website mpya ya ikulu

tazameni website mpya ya ikulu yetu:

ikulu.go.tz

sasa kilichobaki ni kuichambua na kutazama kama kweli itakuwa updated na sasa pia ni nafasi nzuri kujua wanaomshauri rais ni akina nani na elimu zao

Zaidi ya hayo pongezi sana kwa JAMIIFORUMS na zaidi kwa GT

Wamekosa cha kufanya, website yenyewe haina tija kwa watanzania, ni yaleyale maneno mengi mazuri toka kinywani, lakini vitendo hakuna. ikulu.go.tz
 
Nitambue jitihada za Ikulu kuweka hii website lakini nimeingalia, it is extremely amateurish. Sijui ni ushabiki wa vyama vya siasa lakini rangi ya kijani is too powering to the point of causing partial blindness. Kwa mtu mwenye matatizo ya bright colours basi nashauri asifungue hii website. Then kuna sehemu nyingine maandishi yako kwa rangi ya kijani, sasa ukichanga na background ya kijani hakuna kinachosomeka.

Picha ya Statehouse building imefanyiwa maujanja ya computer, haiko natural na most shockingly, nembo ya taifa resolution yake ndogo sana, maneno kwenye nembo hayasomeki!

Pamoja na nia yao ya kuweka website, Ikulu watafute mtu-professional anayeweza kuiweka hii website kwenye standards zinazokubalika. Kwa sasa imekaa kama imetengenezwa na mwanafunzi aliyenza training week iliyopita. Very tacky!
 
njoga niendelee kuperuzi kutafuta makosa
Kosa kubwa ni Ikulu kutotengeneza CMS yake, fedha si zipo. Hili limewashinda nini? Basically kwa gharama za juu sana kutengeneza tovuti hii ni kati ya TZS 3,000,000 - 5,000,000 (gharama za kutengeneza tu) lakini si ajabu tukaambiwa zimetumiwa TZS 50mil au zaidi! Administration page basi iwe customized kidogo lol, - ikulu.go.tz - Administration

Hii bg color ni ya nchi gani (GREEN), Tanzania? Au ndo wameamua kuchukua moja tu kwenye bendera ya Taifa?

Angalia link hii - Blog manake nini?

Homepage peke yake ina Total page size ya 1.18MB; ni kubwa sana hii na generally website haiko optimized.

Ngoja nisiendelee :poa
 
Tatizo la website ya IKULU ni kuwa update yake itachukuwa Miaka; Sasa hata ukiiangalia hii utaona habari yake na picha

Zake ni za zamani sio Mpya na ndilo Tatizo la IKULU WEBSITES; na wakishituka imekaa muda mrefu bila update

Wanaanzisha Mpya kama kawaida yao; kutumia pesa bila Maumivu. Poor Management Poor Administration...
 
NEGATIVE THINKERS wanatafuta makosa tu; kuna WEAKNESS na STRENGTH kwa kila kitu.

We vipi, we unafikiri kusifiwa strength zako ni kukujenga??. Waache wataalamu wadadavue, sisi tusiojua hayo mambo wnatufungua. Hebu check comment ya Invisible..constructive! Kazi kwao Ikulu.
 
Kosa kubwa ni Ikulu kutotengeneza CMS yake, fedha si zipo. Hili limewashinda nini? Basically kwa gharama za juu sana kutengeneza tovuti hii ni kati ya TZS 3,000,000 - 5,000,000 (gharama za kutengeneza tu) lakini si ajabu tukaambiwa zimetumiwa TZS 50mil au zaidi! Administration page basi iwe customized kidogo lol, - ikulu.go.tz - Administration

Hii bg color ni ya nchi gani (GREEN), Tanzania? Au ndo wameamua kuchukua moja tu kwenye bendera ya Taifa?

Angalia link hii - Blog manake nini?

Homepage peke yake ina Total page size ya 1.18MB; ni kubwa sana hii na generally website haiko optimized.

Ngoja nisiendelee :poa
Invisible, hii website ina makosa mengi mno mno mno to the point of being un-ethical! Nimeacha kutaja mengine maana sitaki niwavunje moyo sana. Lakini kweli kama wanasoma hapa JF wamtafute mtu anayejua website ni nini. Imekaa kisanii na aibu ya nchi.
 
Jamii Forums ndiyo kiboko yao Tanzania nzima, na kila siku uongozi wa JF uko makini kuhakikisha unapeperusha bendera. Hakuna website yenye live news na kuwa na mada kila aina kama JF. CCM wameanza yao lakini hakuna mteja kwani uhuru wa kutoa maoni na kuweka mada zenye kuwavutia watu JF ndio kiongozi wa Ikulu yenyewe.
 
Halafu inatumia Joomla. Not bad lakini Ikulu should have resources to customize it or pick something better.

Sijui aliyetengeneza atakuwa amewacharge bei gani?
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Kosa kubwa ni Ikulu kutotengeneza CMS yake, fedha si zipo. Hili limewashinda nini? Basically kwa gharama za juu sana kutengeneza tovuti hii ni kati ya TZS 3,000,000 - 5,000,000 (gharama za kutengeneza tu) lakini si ajabu tukaambiwa zimetumiwa TZS 50mil au zaidi! Administration page basi iwe customized kidogo lol, - ikulu.go.tz - Administration

Hii bg color ni ya nchi gani (GREEN), Tanzania? Au ndo wameamua kuchukua moja tu kwenye bendera ya Taifa?

Angalia link hii - Blog manake nini?

Homepage peke yake ina Total page size ya 1.18MB; ni kubwa sana hii na generally website haiko optimized.

Ngoja nisiendelee :poa

Kuna pesa dola laki 6 zilitolewa na JK kutengeneza website lakini zikaliwa
wakaja na free blogspot

hilo uliloliona nimeliona

sana
 
swali la kizushi:

JE Aliyedesign website ya Ikulu ndio huyo huyo aliyedesign website ya CCM?

Je nape na mkono kwenye hili?
 
mwenye uwezo wa kupiga screen shots afanye atuletee maana inabidi tuifanyie archiving...

au kama zipo website zinazo archive upuuzi kama huu uletwe
 
Back
Top Bottom