Hongera GT, Ikulu yaja na website mpya

njoga niendelee kuperuzi kutafuta makosa
Mkuu J4M, ukisema unaperuzi ili kutafuta makosa, ina maanisha wewe ni "fault finder!, hilo ni tatizo la kisaikolojia bila wewe kujijua!.

Niliwahi kusema, moja ya matatizo makubwa ya baadhi yetu ni kulalamika na kunung'unika!.

Hakuna ubaya wowote kuperuzi kwa lengo la kutoa crtique lakini kusema "kutafuta makosa" ni ukosefu wa shukrani!.

Nawaombeni sana, tuwe na shukrani katika madogo ili tuweze kupata na hayo makubwa!.

Kama website imepigiwa kelele wee hatimaye imepatikana, hebu na kwanza na tushukuru kwa uwepo tuu wa hiyo website, then ndipo tukosoe ubora.
 
Mkuu Pasco,zisikusumbue hizo ni lugha tu za vijana...ana maana hiyo hiyo ya kui-peruse with a critical eye...which is not bad at all,I think.
Lakini pia nakushauri ufungue hizo link kwanza ndipo u-comment. Kwa mtu mwenye uelewe kidogo sana tu wa web design,this,as glorious as the white house can be,is a DISGRACE to say the least! Joomla hahaa...Lol!
Mkuu J4M, ukisema unaperuzi ili kutafuta makosa, ina maanisha wewe ni "fault finder!, hilo ni tatizo la kisaikolojia bila wewe kujijua!.

Niliwahi kusema, moja ya matatizo makubwa ya baadhi yetu ni kulalamika na kunung'unika!.

Hakuna ubaya wowote kuperuzi kwa lengo la kutoa crtique lakini kusema "kutafuta makosa" ni ukosefu wa shukrani!.

Nawaombeni sana, tuwe na shukrani katika madogo ili tuweze kupata na hayo makubwa!.

Kama website imepigiwa kelele wee hatimaye imepatikana, hebu na kwanza na tushukuru kwa uwepo tuu wa hiyo website, then ndipo tukosoe ubora.
 
sio kwamba ni mpya .. Wamesahau password ya website ya zamani kwa hiyo wakaamua watengeneze mpya.. Kwa nini wameingia gharama za kutengeneza mpya ilihali wangeweza kuboresha iliyopo
 
Mumewakosoa naona washaanza weweseka!

This site is down for content update . Please check back again soon.
 
Kosa kubwa ni Ikulu kutotengeneza CMS yake, fedha si zipo. Hili limewashinda nini? Basically kwa gharama za juu sana kutengeneza tovuti hii ni kati ya TZS 3,000,000 - 5,000,000 (gharama za kutengeneza tu) lakini si ajabu tukaambiwa zimetumiwa TZS 50mil au zaidi! Administration page basi iwe customized kidogo lol, - ikulu.go.tz - Administration

Hii bg color ni ya nchi gani (GREEN), Tanzania? Au ndo wameamua kuchukua moja tu kwenye bendera ya Taifa?

Angalia link hii - Blog manake nini?

Homepage peke yake ina Total page size ya 1.18MB; ni kubwa sana hii na generally website haiko optimized.

Ngoja nisiendelee :poa
BTW....arifu hii website imejengwa kwa free software..jomla.....nitanshangaa sana kama wakija na gharama za zaidi ya mil 2 kuijenga hii tovuti mfu.....

.....kwangu mie nikiingia naona iko uchi uchi tu administrative login iko nje nje.....log in the administrative za jomla ni very easy kuingia......
 
ivi Game Theory yupo wapi, mbona simuoni humu siku hizi. Jamaa alikuwa na michango mizuri sana Jamani
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom