Hongera Diamond Platnumz kuchaguliwa kuwania tuzo za BET

maddox

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
1,341
2,914
Niaje niaje.

Kongole Kwa Mr Diamond Platnumz kwakuwa kwenye nomination ya tuzo kubwa za BET AWARDS. Sio Jambo dogo maana Kwa Afrika wako wasanii wengi sana ambao wanafanya muziki.

Karibu tumpongeze Mtanzania mwenzetu kwa safari hii ya kugombea hiyo tuzo maana kuipata ni issue nyingine lakini kutajwa Tu inaleta msisimko kwamba wanajua upo na ufanya nini.

Asante.

Capture.PNG
 
Burna Boy.. Wizkd hawa ndo mapebari wengne ma young kbsa kwnye gemu Tuzo hii either achukue Platnumz or Wikdayo or Burna Boy Gram
Hivi mziki wa wizkid huwa mnauelewa? Kinachompa uungwaji mkono ni ujumbe anao imba au midundo na matamshi?
 
Niaje niaje ......kongole Kwa Mr diamond platnumz Kwa kuwa kwenye nomination ya tuzo kubwa za BET AWARDS.....sio Jambo dogo maana Kwa afrika wako wasanii wengi Sana ambao wanafanya muziki ........ karibu tumpongeze mtanzania mwenzetu Kwa safari hii ya kugombea hiyo tuzo ...maana kuipata ni issue nyingine lakini kutajwa Tu inareta msisimko kwamba wanajua upo na ufanya nini asante.
Anastahili sana..na kama taifa tunapaswa kujivunia mafanikio yake.. Kama wewe unamkubali Mond kama mimi LIKE hii post?
 
Lyrics za wale jamaa wa naijeria ni zakimataifa ngoma kama essence ya wizzo na banna boy yeah hataree sana hawa wa kwetu bado hawana nyimbo za maana zaidi ushambenga tu.top ten ya Barack Obama hawa jamaa wapo huyo simba wenu anasindikiza tu akirudi aje kula nyani tu kwenye pori lake
Burna Boy.. Wizkd hawa ndo mapebari wengne ma young kbsa kwnye gemu Tuzo hii either achukue Platnumz or Wikdayo or Burna Boy Gram
 
Hivi ngoma kama essence ya wiz kid katika top ten ya Obama iko wewe unakuwaje usielewe? I try to teach you but I need some lesson.hayo ni baadhi ya maneno matamu kwa hiyo ngoma wiz huwezi kumfananisha na huyo simba mla nyasi wakati simba ni minofu tu
Hivi mziki wa wizkid huwa mnauelewa? Kinachompa uungwaji mkono ni ujumbe anao imba au midundo na matamshi?
 
Lyrics za wale jamaa wa naijeria ni zakimataifa ngoma kama essence ya wizzo na banna boy yeah hataree sana hawa wa kwetu bado hawana nyimbo za maana zaidi ushambenga tu.top ten ya Barack Obama hawa jamaa wapo huyo simba wenu anasindikiza tu akirudi aje kula nyani tu kwenye pori lake
Muombee mwenzako mafanikio na wewe Mungu atakufungulia kwa upande wako.
 
Mafanikio kwa nyimbo zenye ubora gani? mashairi yenyewe hovyo matusi amini ninachokuambia jamaa bado sana anasindikiza tu atarudi hapa ,wenzetu wanaimba bhana wanajua nanachokifanya na elimu pia, hivi huyo wakwetu alialikwa kuimba world cup ama afcon jamani? akaenda na mbagala uwanjani yaani ndiyo maana simkubaligi kabisa yaani pale ndiyo dunia iliko sasa unaimba ushenzi sijui hao menejiment yake ikoje au na wao hawajui? What is mbagala?
Muombee mwenzako mafanikio na wewe Mungu atakufungulia kwa upande wako.
 
Mafanikio kwa nyimbo zenye ubora gani? mashairi yenyewe hovyo matusi amini ninachokuambia jamaa bado sana anasindikiza tu atarudi hapa ,wenzetu wanaimba bhana wanajua nanachokifanya na elimu pia, hivi huyo wakwetu alialikwa kuimba world cup ama afcon jamani? akaenda na mbagala uwanjani yaani ndiyo maana simkubaligi kabisa yaani pale ndiyo dunia iliko sasa unaimba ushenzi sijui hao menejiment yake ikoje au na wao hawajui? What is mbagala?
acha wivu wewe,
Hiyo nomination ya bet ni hatua kubwa mno hata kama asipoipata hiyo tuzo. Wapo nominated wasanii tano tu hapo, unajua wameachwa wangapi????
Eti anaimba matusi, muziki wake mpaka kusikika huko nje kwani wanajua kiswahili hao???
hivi unajua despacito na gangnam style wameimba nini mle????
Muziki ni zaidi ya lyrics acha chuki
Halafu hiyo playlist ya Obama huyo Obama ni mtu kama mimi so nyimbo kuwa kwenye playlist yake kisiwe kigezo.

Kumbuka pia wenzetu wanabebwa na industry yao ambayo imeshakuwa kubwa Afrika tofauti na kwetu so mpongeze kijana otherwise una chuki zako binafsi.
 
Niaje niaje.

Kongole Kwa Mr Diamond Platnumz kwakuwa kwenye nomination ya tuzo kubwa za BET AWARDS. Sio Jambo dogo maana Kwa Afrika wako wasanii wengi sana ambao wanafanya muziki.

Karibu tumpongeze Mtanzania mwenzetu kwa safari hii ya kugombea hiyo tuzo maana kuipata ni issue nyingine lakini kutajwa Tu inaleta msisimko kwamba wanajua upo na ufanya nini.

Asante.

View attachment 1800228
Hongera zake ila mi kwa Afrika huwa nampenda wizkid tu
 
Back
Top Bottom