mbogo31
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 711
- 173
- Sawa sawa, nimesema mara nyingi sana kwamba Dr. Kitila na Mwanakijiji, wanatakiwa kuwa sura ya the future of Chadema, Viongozi wa sasa wa Chadema wanatakiwa kuanza kuwatayarisha hawa kushika usukani huko!
Willie @ NYC, USA.
Kwa mbali naanza kuuona msimamo wako, Hongera ila ipe nafasi nafsi yako utakuwa huru zaidi.
Natoa Pongezi kwa Dr Kitila na Chadema Team yote kwa ujumla wake, Good performance bungeni.