Hongera Chadema Bungeni, hongera Kitila Mkumbo...

Duh, mkuu wangu sikujukua kama wewe mgumu kiasi hicho lakini bado nitakwenda nawe kibaharia maanake tunatoka ktk mada yenyewe na hasa maswala ambyo nimeyaweka mwanzani..

Kuhusiana na kodi mbona watumishi wa serikali hulipa kodi miaka yote toka wakati wa Nyerere au una maana ya kodi za posho kwa sababu hilo swala lipo ktk chama kabla hata halijazungumziwa bungeni..Sijui ni kodi zipi unazoongelea hata hivyo mimi siko ktk mawazo yako au mapendekezo yako ila pale unapowahusisha watu wengine wanasema hivi ama vile kuhusiana na Chadema.

Na unapozungumzia hawa kina Lissu, Zitto na wengineo mkuu hawa ni watendaji wazuri wa kazi za chama lakini sio viongozi wazuri wa kiitikadi. Hatuwezi kuchukua ushauri wako kuwaweka watumishi wazuri kuwa viongozi wa kisiasa..Labda nirudie kusema hivi Mbowe na Dr.Slaa ni Wanasiasa na pengine Mbowe mzuri zaidi ya dr.Slaa ktk uongozi wa chama kwa sababu He is a born Politician, but again Dr.Slaa will make a better President!.

Lakini Zitto na Lissu hawa ni wabunge wetu, kusema kweli ni watu wanaolazimisha Siasa kwa kutumia zaidi elimu zao kufikisha ujumbe na kuhalalisha policies kwa ajili ya wananchi regardless...Na ndio maana Zitto wakati mwingi sana amekuwa akitoa maamuzi kinyume cha mtazamo wa chama (mrengo) au wanachama kwa kutumia elimu ya chuo. And correct me If I'm wrong Zitto ni kama mimi he is a conservative kama wale wazee wa CCM Asilia kina Butiku, Simba, Warioba, Sitta, Mwapachu, Sykes ambao walileta siasa za Uzawa na Uasilia.

Na ktk kumsoma hata Lissu nimegundua pia siasa anazilazimisha ingawa ni mwanasheria mzuri sana na yupo radhi kuitoa nafsi yake ktk kuetetea haki za wananchi regarless..Fikra kama hizi hazina mrengo wala itikadi na sio vizuri sana kuwapa mamlaka ya kichama wakati unawahitaji watu kama hawa ktk serikali kuu kwa hiyo kuwepo kwao ktk madaraka ya juu ya CDM kunaweza kuleta madhara kama ya CCM ambao leo hii wamekosa kabisa mwelekeo. Ni wao wanaunga mkono Ujamaa na Kujitegemea na wao pia ndio wapinzani wakuu wa Ujamaa na Kujitegemea!

Kuhusu ushindi wa Dr.Slaa bila shaka nilitegemea jibu hilo kutoka kwa mwana CCM kwaniu hakuna hata mmoja anayeweza kukubali kirahisi kwa sababu mfumo mzima ulijengwa na CCM ili kupokonya ushindi. sasa nikwambie kuhusu Wabunge na ushindi wake.

CUF ina wabunge nadhani karibu 23 ambao wanawakilisha wananchi wapatao chini ya millioni moja na Chadema kwa jimbo moja la Isamilo wana mbunge mmoja anayewakilisha hesabu zaidi ya population nzima ya wabunge wa CUF. Je ndio kusema maadam CUF ina wabunge 23 imepata ushindi mkubwa kuliko mgombea wa Isamilo kama ingekuwa tunahesabu kura zilizopigwa?.

Kwa hiyo kama utakubaliana na mfano wangu hapo juu ndicho nachozungumzia kuhusu Ushindi wa Dr.Slaa ambaye alichukua majimbo yote yenye hesabu kubwa ya wakazi isipokuwa Dar ktk wilaya za Kinondoni na Ilala. Na ushindi umetokana na ile dhana kwamba wapiga kura wengi wako vijijini lakini Chadema ilijikita mijini baada ya kutazama wingi wa population na wapiga kura hivyo kwa ujumla wake ktk kila wilaya walizoshinda zina population kubwa na hata waliposhindwa bado walipata kura nyingi sana za kiti cha Urais. Kifupi JK mijini alikwisha chokwa na anaendelea kuchokwa.

Sheria haziwezi kuzuia chama chochote kuanza kampeni za uchaguzi lakini sio kumnadi mgombea. Utaonekana mwendawazimu na nimetoa mfano wa US kwa sababu ni wakati wa kunadi wagombea ndani ya Republican hivyo wewe ulichotaka ni kwamba wakati CCM, CUF na TLP wanawanadi wagombea wake basi Chadema nayo ingefanya hivyo lakini tazama matokeo ya CUF na TLP - Lipumba alibakizwa Pumba na Mrema akaremea hadi akili.

Na kama unakumbuka CCM waliendeleza sana habari za Ukabila na kumpaka Mbowe na madeni ya NSSF, upinzani na Zitto na kadhalika wakifikiria ndiye mgombea na hakika watu wengi walikichoka chama lakini alipotokea dr.Slaa kuwa mgombea nyanga ziliwashuka. Na CCM hawakupata muda wa kumfitinisha kwani tayari muda wa kuendesha kampeni za uchaguzi zilipoanza..

Labda niseme tu silaha kubwa ya JK ni pale alipokataa kongamano na Dr.Slaa pia jinsi CCM walivyotumia mbinu za kuzuia vyombo vya habari kuwanadi CDM. Hizi ndio sababu kubwa sana zilizomkata makali dr.Slaa lakini sii kujitokeza kwake mapema kungesaidia kitu zaidi ya kuwasaidia CCM kuanzisha hizi siasa za majitaka na Udini mapema zaidi. Na sidhani kama ushauri wako wakuvunja sheria unaweza kuwasaidia CDM ikiwa CCM ndilo wanalolitafuta toka CDM kuwafungia au kuwaondosha wananchi imani. Sielewi kwa nini unataka CDM iwape CCM sababu za kukiua chama tena basi leo hii wajitangaze wao mgombea wakati swala la kuwaelimisha wananchihaki zao ni kubwa na lenye malengo mazuri zaidi kwa chama kuliko kumjenga mgombea mmoja..

Kifupi Ushauri wako mzuri tu kama unataka CDM wasiweze kushinda mwaka 2015, hajifichi mtu inajulikana ni lazima CDM watamsimamisha mgombea na wanachama ndio wenye uwezo wa kufanya uteuzi huo hatuwezi kusikiliza majungu ya watu..
 
Duh, mkuu wangu sikujukua kama wewe mgumu kiasi hicho lakini bado nitakwenda nawe kibaharia maanake tunatoka ktk mada yenyewe na hasa maswala ambyo nimeyaweka mwanzani..

Kuhusiana na kodi mbona watumishi wa serikali hulipa kodi miaka yote toka wakati wa Nyerere au una maana ya kodi za posho kwa sababu hilo swala lipo ktk chama kabla hata halijazungumziwa bungeni..Sijui ni kodi zipi unazoongelea hata hivyo mimi siko ktk mawazo yako au mapendekezo yako ila pale unapowahusisha watu wengine wanasema hivi ama vile kuhusiana na Chadema.

Na unapozungumzia hawa kina Lissu, Zitto na wengineo mkuu hawa ni watendaji wazuri wa kazi za chama lakini sio viongozi wazuri wa kiitikadi. Hatuwezi kuchukua ushauri wako kuwaweka watumishi wazuri kuwa viongozi wa kisiasa..Labda nirudie kusema hivi Mbowe na Dr.Slaa ni Wanasiasa na pengine Mbowe mzuri zaidi ya dr.Slaa ktk uongozi wa chama kwa sababu He is a born Politician. Lakini Zitto na Lissu hawa ni wabunge wetu kusema kweli ni watu wanaolazimisha Siasa kwa kutumia zaidi elimu zao kuhalalisha policies kwa ajili ya wananchi regardless...Na ndio maana Zitto wakati mwingi sana amekuwa akitoa maamuzi kinyume cha mtazamo wa chama (mrengo) au wanachama kwa kutumia elimu ya chuo. And correct me If I'm wrong Zitto ni kama mimi he is a conservative kama wale wazee wa CCM Asilia kina Butiku, Simba, Warioba, Sitta, Mwapachu, Sykes ambao walileta siasa za Uzawa na Uasilia.

Na ktk kumsoma hata Lissu nimegundua pia siasa anazilazimisha ingawa ni mwanasheria mzuri sana na yupo radhi kuitoa nafsi yake ktk kuetetea haki za wananchi regarless..Fikra kama hizi hazina mrengo wala itikadi na sio vizuri sana kuwapa mamlaka ya kichama wakati unawahitaji watu kama hawa ktk serikali kuu kwa hiyo kuwepo kwao ktk madaraka ya juu ya CDM kunaweza kuleta madhara kama ya CCM ambao leo hii wamekosa kabisa mwelekeo. Ni wao wanaunga mkono Ujamaa na Kujitegemea na wao pia ndio wapinzani wakuu wa Ujamaa na Kujitegemea!

Kuhusu ushindi wa Dr.Slaa bila shaka nilitegemea jibu hilo kutoka kwa mwana CCM kwaniu hakuna hata mmoja anayeweza kukubali kirahisi kwa sababu mfumo mzima ulijengwa na CCM ili kupokonya ushindi. sasa nikwambie kuhusu Wabunge na ushindi wake.

CUF ina wabunge nadhani karibu 23 ambao wanawakilisha wananchi wapatao chini ya millioni moja na Chadema kwa jimbo moja la Isamilo wana mbunge mmoja anayewakilisha hesabu zaidi ya population nzima ya wabunge wa CUF. Je ndio kusema maadam CUF ina wabunge 23 imepata ushindi mkubwa kuliko mgombea wa Isamilo kama ingekuwa tunahesabu kura zilizopigwa?.

Kwa hiyo kama utakubaliana na mfano wangu hapo juu ndicho nachozungumzia kuhusu Ushindi wa Dr.Slaa ambaye alichukua majimbo yote yenye hesabu kubwa ya wakazi isipokuwa Dar ktk wilaya za Kinondoni na Ilala. Na ushindi umetokana na ile dhana kwamba wapiga kura wengi wako vijijini lakini Chadema ilijikita mijini baada ya kutazama wingi wa population na wapiga kura hivyo kwa ujumla wake ktk kila wilaya walizoshinda zina population kubwa na hata waliposhindwa bado walipata kura nyingi sana za kiti cha Urais. Kifupi JK mijini alikwisha chokwa na anaendelea kuchokwa.

Sheria haziwezi kuzuia chama chochote kuanza kampeni za uchaguzi lakini sio kumnadi mgombea. Utaonekana mwendawazimu na nimetoa mfano wa US kwa sababu ni wakati wa kunadi wagombea ndani ya Republican hivyo wewe ulichotaka ni kwamba wakati CCM, CUF na TLP wanawanadi wagombea wake basi Chadema nayo ingefanya hivyo lakini tazama matokeo ya CUF na TLP - Lipumba alibakizwa Pumba na Mrema akaremea hadi akili.

Na kama unakumbuka CCM waliendeleza sana habari za Ukabila na kumpaka Mbowe na madeni ya NSSF, upinzani na Zitto na kadhalika wakifikiria ndiye mgombea na hakika watu wengi walikichoka chama lakini alipotokea dr.Slaa kuwa mgombea nyanga ziliwashuka. Na CCM hawakupata muda wa kumfitinisha kwani tayari muda wa kuendesha kampeni za uchaguzi zilipoanza..

Labda niseme tu silaha kubwa ya JK ni pale alipokataa kongamano na Dr.Slaa pia jinsi CCM walivyotumia mbinu za kuzuia vyombo vya habari kuwanadi CDM. Hizi ndio sababu kubwa sana zilizomkata makali dr.Slaa lakini sii kujitokeza kwake mapema kungesaidia kitu zaidi ya kuwasaidia CCM kuanzisha hizi siasa za majitaka na Udini mapema zaidi. Na sidhani kama ushauri wako wakuvunja sheria unaweza kuwasaidia CDM ikiwa CCM ndilo wanalolitafuta toka CDM kuwafungia au kuwaondosha wananchi imani. Sielewi kwa nini unataka CDM iwape CCM sababu za kukiua chama tena basi leo hii wajitangaze wao mgombea wakati swala la kuwaelimisha wananchihaki zao ni kubwa na lenye malengo mazuri zaidi kwa chama kuliko kumjenga mgombea mmoja..

Kifupi Ushauri wako mzuri tu kama unataka CDM wasiweze kushinda mwaka 2015, hajifichi mtu inajulikana ni lazima CDM watamsimamisha mgombea na wanachama ndio wenye uwezo wa kufanya uteuzi huo hatuwezi kusikiliza majungu ya watu..

1. Bob Dr. Slaa na Mbowe, wameshindwa tayari na sio mara moja, sasa ustaarabu wa siasa uantaka kuwaachia wengine, kurudisha gari la ubunge sio dhana ya kua Rais mzuri, Zitto sio siri kwamba ndiye mbunge namba moja wa Upinzani mwenye heshima sana ndani ya bunge kwa uelewa wa ishus, Lissu ana style yake ya in your face ambayo ndio hasa hili taifa tunaiihitaji, kwa hiyo kama ni siasa ni wakati muafaka wa kuwapa na wengine nafasi sasa, baada ya kushindwa tayari!

2. Majimbo ya Kinondoni na Ilala peke yake hayatoi Urais, infact kuna majimbo ambayo Chadema hawakuweka mgombea kabisaa, idadi ya wabunge wa CCM na Chadema iko mbaali sana mkuu, ambayo inatakiwa kuwa mfano mdogo sana on kushindwa kwa Slaa, na ninasema tena sijawahi kumsikia Slaa mwenyewe akisema alishinda, ukweli ni kwamba Chadema mara nyingi nimeona wakitengeneza mazingara ya sababu za kutokea mapema kwa hiyo wakishindwa tu, haikua Demokrasia, wameibiwa kura, lakini wakishinda huwa ni saafi.

3. Well, uamuzi ni wenu mkuu, lakini kwa Chadema kwenda tena kwenye uchaguzi ujao na walioshindwa tayari yaani Slaa na Mbowe ni wenu, sisi wengine watazamaji tu!, ingawa kwa kuwa hapa ni uwanja wa maoni, ya kwangu ni kwamba panahitajika mabadiliko kwenye safu ya mbele, yaani sura inahitaji kubadilika kidogo!

Willie @ NYC, USA.
 
kwa kila mwenye akila sasa atakuwa amepata ukweli wa wabunge wanaopigania
haki za wananchi na wale wanaopigania maslahi yao na familia zao kwani dhahiri
sasa ukweli utatuweka huru tumeshuudia ,tumeona, na tumeelewa , sasa ni
wakati wakutoa matongo tongo machoni petu ,hawa watu Wanaitwa MAWAZIRI
WADOGO Ni watu ambao awana mamlaka kamili ndani ya wizara ni wasaidizi wa MAWAZIRI

Kwa ajili yakubeba mafaili yao kuhakikisha waziri wake amekunywa chai ,kushughulikia
nyuma ndogo za hawo wakubwa zao ,yaani wako kama hawa wabunge wanawake wa
viti maalum hawana nguvu yoyote kimadaraka ndani ya wizara usika huyu waziri
mdogo wabishane na wabunge wa viti maalum siyo vichwa kama vya kina zitto ,mnyika ,lissu
awataweza jamaaaani.
 
Sijaona wa kuzima moto wa CDM bungeni hata kitaa............Mnajua tanzania na viongozi wake wanajua kuwa watanzania ni wasahaulifu sana juu ya hoja za msingi, wataanziasha kihoja chochote ili tu tusahau kuhusu KATIBA.

Kitila Mkumbo BIG UP kaka, I real appreciate u.....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hongera mwandishi

hongera Dr Mkumbo.. wewe umekuwa icon katika jamii ya wasomi hasa pale umaposimamia hoja bila kuangalia makunyanzi...

by the way, will visit dar sometimes na i will call for a soup again close to fine travellers...

hongera tena kwa kuwa Seniour Lecturer.. a Professor in the making.

sidhani
 
Nikuulize kaka Will!! Kama ww ungependa ujihusishe moja kwa moja na siasa za Bongo au mtazamaji na mshauri wa siasa kama unavyofanya sasa?
 
Jenerali Ulimwengu alimshauri Dr. Slaa azungumze pale tu inapobidi.

Dr. ana hadhi ya mkuu wa nchi si vyema akaongea hovyo hovyo kila mara.

Kuhusu katiba hapo umenena Mkuu, hawa CCM wanajua watanzania ni wasahaulifu kwa hiyo si vyema kuacha moto wa katiba ukazimwa na jambo jingine lolote.
Kwa umuhimu katiba ichukue nafasi ya kwanza!

Mkuu RM,

Sikujua hili. Nod maana siku hizi Dr. hasikiki sana, hii itasaidia kuondokana na kubishana na wa wapuuzi kina Tambwe na wenzake.
 
1. Bob Dr. Slaa na Mbowe, wameshindwa tayari na sio mara moja, sasa ustaarabu wa siasa uantaka kuwaachia wengine, kurudisha gari la ubunge sio dhana ya kua Rais mzuri, Zitto sio siri kwamba ndiye mbunge namba moja wa Upinzani mwenye heshima sana ndani ya bunge kwa uelewa wa ishus, Lissu ana style yake ya in your face ambayo ndio hasa hili taifa tunaiihitaji, kwa hiyo kama ni siasa ni wakati muafaka wa kuwapa na wengine nafasi sasa, baada ya kushindwa tayari!

2. Majimbo ya Kinondoni na Ilala peke yake hayatoi Urais, infact kuna majimbo ambayo Chadema hawakuweka mgombea kabisaa, idadi ya wabunge wa CCM na Chadema iko mbaali sana mkuu, ambayo inatakiwa kuwa mfano mdogo sana on kushindwa kwa Slaa, na ninasema tena sijawahi kumsikia Slaa mwenyewe akisema alishinda, ukweli ni kwamba Chadema mara nyingi nimeona wakitengeneza mazingara ya sababu za kutokea mapema kwa hiyo wakishindwa tu, haikua Demokrasia, wameibiwa kura, lakini wakishinda huwa ni saafi.

3. Well, uamuzi ni wenu mkuu, lakini kwa Chadema kwenda tena kwenye uchaguzi ujao na walioshindwa tayari yaani Slaa na Mbowe ni wenu, sisi wengine watazamaji tu!, ingawa kwa kuwa hapa ni uwanja wa maoni, ya kwangu ni kwamba panahitajika mabadiliko kwenye safu ya mbele, yaani sura inahitaji kubadilika kidogo!

Willie @ NYC, USA.


Wille,

Mawazo yako ni mazuri sana.

hilo la kuwaweka Slaa au Mbowe linahitaji mjadala
Ila la muhimu ni ile elimu ya uraia kwa watu wajue haki yao wajue wajibu wa kupiga kura wajue wanahitaji kiongozi wa namna gani wajue wanapata nini kwa kiongozi wao na wajue wana wajibu gani kwa kiongozi wao na ikiwezekana wawe na sauti ya kumuondoa pindi anapoharibu. Viongozi wengi wamekuja kujulikana ni mzigo baada ya kuchaguliwa maana wamejikuta wanapambana kurejesha madeni waliyokopa kwa ajili ya kampeni wanawasahau wananchi waliowachagua . Elimu ya uraia ni muhimu sana na wananchi wakishajua wajibu na ni nini wanataka hata sura zikirudi zile zile hakuna kitakakachowazuia kuzichagua
Tusiseme Slaa au Mbowe tayari ni washindwa japo ni kweli tunahitaji sura mpya kwenye uchaguzi na sio zile zile ila bado tuna nafasi ya kufanya upembuzi wa pumba ni zipi na mchele ni upi tukapata sura ile ile au sura nyingine kwenye uchaguzi ujao kutokana na matakwa ya wale wanaokwenda kuwachagua maana hapo kila chama nacho kinaangalia sura na mtu anayeuzika na sio kumuweka fulani kwa kuwa ameonekana sana kwenye tv au anaongea sana ila amefanya nini na ni nini usafi wake.

Na vile vile suala la nani awepo kweney ugombea nadhani chama kitakuwa na agenda yake na wanafuata wananchi wanasema nini maana wananchi ndio watakwenda kupokea sera na kusikiliza mgombea atawapa nini na sio kwa kuwa amekuwa tuu kiongozi tumuweke agombee
 
1. Bob Dr. Slaa na Mbowe, wameshindwa tayari na sio mara moja, sasa ustaarabu wa siasa uantaka kuwaachia wengine, kurudisha gari la ubunge sio dhana ya kua Rais mzuri, Zitto sio siri kwamba ndiye mbunge namba moja wa Upinzani mwenye heshima sana ndani ya bunge kwa uelewa wa ishus, Lissu ana style yake ya in your face ambayo ndio hasa hili taifa tunaiihitaji, kwa hiyo kama ni siasa ni wakati muafaka wa kuwapa na wengine nafasi sasa, baada ya kushindwa tayari!

2. Majimbo ya Kinondoni na Ilala peke yake hayatoi Urais, infact kuna majimbo ambayo Chadema hawakuweka mgombea kabisaa, idadi ya wabunge wa CCM na Chadema iko mbaali sana mkuu, ambayo inatakiwa kuwa mfano mdogo sana on kushindwa kwa Slaa, na ninasema tena sijawahi kumsikia Slaa mwenyewe akisema alishinda, ukweli ni kwamba Chadema mara nyingi nimeona wakitengeneza mazingara ya sababu za kutokea mapema kwa hiyo wakishindwa tu, haikua Demokrasia, wameibiwa kura, lakini wakishinda huwa ni saafi.

3. Well, uamuzi ni wenu mkuu, lakini kwa Chadema kwenda tena kwenye uchaguzi ujao na walioshindwa tayari yaani Slaa na Mbowe ni wenu, sisi wengine watazamaji tu!, ingawa kwa kuwa hapa ni uwanja wa maoni, ya kwangu ni kwamba panahitajika mabadiliko kwenye safu ya mbele, yaani sura inahitaji kubadilika kidogo!
Willie @ NYC, USA.
Bwana Malecela, mimi nawaheshimu sana mwana kijiji na Dr Kitila. Na Dr Kitila ninamfahamu binafsi. Mwanakijiji sikosi makala yake kila wiki magezetini. Nawakubali sana wote wawili.
Hata hivyo, sikubaliani na wewe kwenye Red hapo juu. Una maana gani kusemaSlaa na Mbowe ni watu walioshindwa tayari? Mbowe alipopewa Chadema ilikuwa kama TLP au Chausta - haijulikani. Dr Slaa aligombea tukiwa na wabunge wote 11 ingawa mbowe alishakitangaza chama nchi nzima kwa ruzuku kidogo na michango yake binafsi - leo tuna wabunge 48 kwa ushawishi wa Dr Slaa 2010 . Wameshindwa nini na wapi?
Pili, hapo kwenye red tena, kwamba kura za Dr Slaa ziliibiwa siyo siri. ccm wasivyo na aibu waliiba hata maeneo ambayo chadema ina nguvu kama ubungo. Je, kule ambako hatukuwa na mtandao wenye nguvu wa viongozi wetu si waliiba kura nyingi zaidi? Kwa ufipi, kilichopo kwenye website ya NEC sicho tulicho nacho chadema ubunge- njoo tukupe evidence moja hapa ubungo japo zinafutika. Je, wewe unajua kwanini NEC imechelewa kuweka matokeo ya majimbo yote ktk website yao?
Mwisho, Jimbo la segerea walitangaza matokeo feki mbele ya macho yangu. Je, wameiba ktk majimbo mangapi ili tujue kama chadema ina majimbo machache au mengi? Then, tujue kuwa Dr Slaa alishindwa kwa kiasi gani?

Kama waliiba za kura za Slaa mwaka 2010, chadema ikiwa bora zaidi kimtandao na kiuongozi, kwanini nisiamini kwamba waliiba pia kura za mbowe mwaka 2005 wakati chadema ikiwa haina viongozi maeneo mengi? wote wawili hawajashindwa, CCM ni wezi wa kura, full stop.

 
Wille,

Mawazo yako ni mazuri sana.

hilo la kuwaweka Slaa au Mbowe linahitaji mjadala
Ila la muhimu ni ile elimu ya uraia kwa watu wajue haki yao wajue wajibu wa kupiga kura wajue wanahitaji kiongozi wa namna gani wajue wanapata nini kwa kiongozi wao na wajue wana wajibu gani kwa kiongozi wao na ikiwezekana wawe na sauti ya kumuondoa pindi anapoharibu. Viongozi wengi wamekuja kujulikana ni mzigo baada ya kuchaguliwa maana wamejikuta wanapambana kurejesha madeni waliyokopa kwa ajili ya kampeni wanawasahau wananchi waliowachagua . Elimu ya uraia ni muhimu sana na wananchi wakishajua wajibu na ni nini wanataka hata sura zikirudi zile zile hakuna kitakakachowazuia kuzichagua
Tusiseme Slaa au Mbowe tayari ni washindwa japo ni kweli tunahitaji sura mpya kwenye uchaguzi na sio zile zile ila bado tuna nafasi ya kufanya upembuzi wa pumba ni zipi na mchele ni upi tukapata sura ile ile au sura nyingine kwenye uchaguzi ujao kutokana na matakwa ya wale wanaokwenda kuwachagua maana hapo kila chama nacho kinaangalia sura na mtu anayeuzika na sio kumuweka fulani kwa kuwa ameonekana sana kwenye tv au anaongea sana ila amefanya nini na ni nini usafi wake.

Na vile vile suala la nani awepo kweney ugombea nadhani chama kitakuwa na agenda yake na wanafuata wananchi wanasema nini maana wananchi ndio watakwenda kupokea sera na kusikiliza mgombea atawapa nini na sio kwa kuwa amekuwa tuu kiongozi tumuweke agombee

Mr Rocky nakuunga mkono,
Viongozi wengi waliingia madarakani kwa maneno mengi mazuri na matumaini lakini ukweli hujulikana baadaye mfano mzuri ni JK wa kuchonga tuliye naye- Siyo JK Nyerere. Kwa sasa suala siyo sura mpya au ya zamani, suala ni kuwasikiliza sera zao na kucheck rekodi zao za nyuma then tunapembua mchele na Pumba.
Pili, chadema huwa wanafanya utafiti wa kisayansi nchi nzima. This is best approach ambayo mimi naikubali kuliko zote.
 
- Sawa sawa, nimesema mara nyingi sana kwamba Dr. Kitila na Mwanakijiji, wanatakiwa kuwa sura ya the future of Chadema, Viongozi wa sasa wa Chadema wanatakiwa kuanza kuwatayarisha hawa kushika usukani huko!

Willie @ NYC, USA.


Nakubaliana na wewe kama mpenda maendeleo, vp na wewe mbona kama tunakuhitaji CDM? Maana mapambano ya kule CCM sidhani kama utayaweza, maana hata baba yako ukimwuliza atakwambia hali ni ngumu sana kule sisiem.

Njoo waongezee nguvu kina Kitila Mkumbo na mwanakijiji.
 
1. Bob Dr. Slaa na Mbowe, wameshindwa tayari na sio mara moja, sasa ustaarabu wa siasa uantaka kuwaachia wengine, kurudisha gari la ubunge sio dhana ya kua Rais mzuri, Zitto sio siri kwamba ndiye mbunge namba moja wa Upinzani mwenye heshima sana ndani ya bunge kwa uelewa wa ishus, Lissu ana style yake ya in your face ambayo ndio hasa hili taifa tunaiihitaji, kwa hiyo kama ni siasa ni wakati muafaka wa kuwapa na wengine nafasi sasa, baada ya kushindwa tayari!

2. Majimbo ya Kinondoni na Ilala peke yake hayatoi Urais, infact kuna majimbo ambayo Chadema hawakuweka mgombea kabisaa, idadi ya wabunge wa CCM na Chadema iko mbaali sana mkuu, ambayo inatakiwa kuwa mfano mdogo sana on kushindwa kwa Slaa, na ninasema tena sijawahi kumsikia Slaa mwenyewe akisema alishinda, ukweli ni kwamba Chadema mara nyingi nimeona wakitengeneza mazingara ya sababu za kutokea mapema kwa hiyo wakishindwa tu, haikua Demokrasia, wameibiwa kura, lakini wakishinda huwa ni saafi.

3. Well, uamuzi ni wenu mkuu, lakini kwa Chadema kwenda tena kwenye uchaguzi ujao na walioshindwa tayari yaani Slaa na Mbowe ni wenu, sisi wengine watazamaji tu!, ingawa kwa kuwa hapa ni uwanja wa maoni, ya kwangu ni kwamba panahitajika mabadiliko kwenye safu ya mbele, yaani sura inahitaji kubadilika kidogo!

Willie @ NYC, USA.

It is to comment but acting?

napenda sana kusoma maoni ya watu flaniflani ndani ya jukwaa hili ambao wameonekana ni wachangiaji wazuri sana,natoa tahadhari tu kuwa je dhamira zenu ni sawa na yale mnayofikiria? pili katika kufanya utafiti mkiwa mmeukubali kwa kiasi gani utafiti wenu?

naomba nitoe mfano:
Huwezi kumjua mke mwema au mume mwema kabla hujaishi nae.kwa maana hiyo ni vigumu kuelezea ni jinsi gani ndoa ni tamu au chungu kabla hujaingia ndani ya ndoa.

ninamaanisha nini? Watu wengi mmekuwa wepesi sana kutoa mawazo wakinadharia kulingana na mawazo yenu bila kujua uhalisia uliopo ndani ya watendaji wote mnaowachambua.msipende sana kukielezea kitabu kabla hamjakisoma na unaposoma kitabu mara ya kwanza huwezi kukieleza vizuri mpaka ukisome mara kwa mara na kukielewa.
 
Mr Rocky nakuunga mkono,
Viongozi wengi waliingia madarakani kwa maneno mengi mazuri na matumaini lakini ukweli hujulikana baadaye mfano mzuri ni JK wa kuchonga tuliye naye- Siyo JK Nyerere. Kwa sasa suala siyo sura mpya au ya zamani, suala ni kuwasikiliza sera zao na kucheck rekodi zao za nyuma then tunapembua mchele na Pumba.
Pili, chadema huwa wanafanya utafiti wa kisayansi nchi nzima. This is best approach ambayo mimi naikubali kuliko zote.

Mikael asante mkuu
Mimi napenda uwazi na ukweli katika kuchangia na kumjibu mtu
Kwa chama chochote cha siasa suala sio tuu kuweka mgombea ni suala la ushindi ni suala la kupata kura za wananchi kutokana na sera na mipango yako ya nini utawafanyia pindi ukichaguliwa. Swala lingekuwa ni sura tuu kusingekuwa na haja ya kampeni. Ila ni kuwaambia sera za chama chako na mipango yako na namna utakavyotumia pato la taifa kuwaondolea kero zao
Tunahitaji wanamapinduzi wakweli wenye uchungu na hii nchi wenye kuona kuwa tuna rasilimali na wenye kuzitumia kwa ajili ya kuondoa umaskini wa wananchi na tuwachague kwa hilo na tukiwachagua wafanye na watetee kile walichotuahidi. Biashara ya kuwa na wanasiasa uchwara ambao wanatuambia yale wasiyoweza kuyatekeleza ni mbaya sana na tunajikuta tumewachagua kumbe nia ni kuwapa ulaji wa miaka mitano.
nafikiri muda wa chama kama CDM kujipanga upo w akutosha na kupata wagombea bora ambao watakuwa chachu ya kuondoa umaskini wetu na kuturudishia heshima iliyokwishapotea upo na ambao wako tayari kupambana kuondoa ufisadi na umangimeza wa viongozi wetu. Muda wa kupanga pale ambao hawakufanya vizuri kwa uchaguzi uliopita na muda wa kufukia makosa yaliyofanyika. Muda wa kuwaambia wananchi kuhusu haki zao na elimu ya uraia ili kila mmoja alelewe anatakiwa kufanya nini na kwa wakati gani. Nafikiri CDM wakijipanga wana kila sababu ya kufanya vizuri katika chaguzi zijazo
 
- Sawa sawa, nimesema mara nyingi sana kwamba Dr. Kitila na Mwanakijiji, wanatakiwa kuwa sura ya the future of Chadema, Viongozi wa sasa wa Chadema wanatakiwa kuanza kuwatayarisha hawa kushika usukani huko!

Willie @ NYC, USA.

Yeah!

Btw: Ni wakili mzuri wa demokrasiasa,ni muumini mzuri wa kanuni asiye na woga.Ni mtu ambaye ana ushauri mzuri hasa kwa wanasiasa wachanga kupitia vyama Mbadala.He is a man of unwavering conscience who would run the cleanest administration the nation has ever seen.

Congratulation Comrade Kitila!
 
Yeah!

Btw: Ni wakili mzuri wa demokrasiasa,ni muumini mzuri wa kanuni asiye na woga.Ni mtu ambaye ana ushauri mzuri hasa kwa wanasiasa wachanga kupitia vyama Mbadala.He is a man of unwavering conscience who would run the cleanest administration the nation has ever seen.

Congratulation Comrade Kitila!

Naona mnazidi kuimarisha Mtandao.hivi huyo mkumbo si ndiye aliyehusishwa na uchakachuzi viti maalumu?Si ndiye anayehusishwa mtandao wa zitto? Na wewe si ndiyo ulihisihwa kambi ya zitto?hapa mmedhihirisha umoja wenu haramu.

Kwanza,kama ni mshauri wa vijana maswala ya siasa/harakati........Je,alikushauri kweli kuhusu Hiyo New Pan African Movement/Pan african reinnassence ? Je,alikushauri nini kuhusu hatari ya kuwa kwenye huo mtandao? Juzi mlikuwa Nairobi,hadi hoteli mliyofikia tunajua.Mlifikia Snow Park Hotel mkafanya vikao vyenu.Ni kwa nini kwenye huo mtandao wenu hamjauweka wazi ili vijana kutoka nchi zote afrika washiriki? Siku ya Alhamisi Mbunge kijana wa Kenya na Naibu waziri Peter Kennet aliungana nanyi,pia mkamuita Askofu mwenye ushawishi kwa siasa za Kenya Peter karanja aliyetumwa na Odinga na kuchangia mfuko wenu....

Julius Malema yuko kikaangoni South africa kwa sababu anahusishwa na huo mtandao wenu wa kuleta mapinduzi Afrika tena ya gharama ya damu huku mkifadhiliwa na wafanyabiashara.Pia Mwanadada Dambisa Zindonga yupo kizuizini aliporudi zimbabwe juzi,Je huu mtandao haramu akina Kitila,uliyemuita mshauri mzuri anajua? Natoa wito kwa vyombo vya Usalama viingilie kati hili suala,naona unataka kuiletea Tanzania balaa.Kuna mbunge mmoja kijana huko Msumbiji mnamtumia vibaya hadi sasa anataka kuacha ubunge ili aje kuimarisha mtandao wenu,kama huo mtandao ni wa kheri ni wanasiasa gani Tanzania umewahisisha?Mbona katika huo mtandao wenu ni wakristu tu hadi Askofu anamwaga hela,je ajenda ya siri ni nini?Kama hujakiambia chama chako juu ya hilo na au hujatoa taarifa serikalini kwenda kufanya muungano/usharika wa kisiasa nje ya Tanzania tena na genge hatari la vijana wapenda madaraka/masultani Afrika unastahili kutoa maelezo ya kutosha.Unataka kutuletea balaa taiufa amabalo limesifika kwa Amani,kwanza ulienda kama nani?Uongozi wako kule hukuweka kwenye CV yako ulipokua unagombea uenyekiti wa Bavicha kwa kuwa unajua malengo ya ule mtandao wenu ni haramu.Nitaendelea kufuatilia nitamwaga data hapa,hadi ukimbie hili jukwaa dogo....Pepo mkubwa !
 
Naona mnazidi kuimarisha Mtandao.hivi huyo mkumbo si ndiye aliyehusishwa na uchakachuzi viti maalumu?Si ndiye anayehusishwa mtandao wa zitto? Na wewe si ndiyo ulihisihwa kambi ya zitto?hapa mmedhihirisha umoja wenu haramu.


Kwanza,kama ni mshauri wa vijana maswala ya siasa/harakati........Je,alikushauri kweli kuhusu Hiyo New Pan African Movement/Pan african reinnassence ? Je,alikushauri nini kuhusu hatari ya kuwa kwenye huo mtandao? Juzi mlikuwa Nairobi,hadi hoteli mliyofikia tunajua.Mlifikia Snow Park Hotel mkafanya vikao vyenu.Ni kwa nini kwenye huo mtandao wenu hamjauweka wazi ili vijana kutoka nchi zote afrika washiriki? Siku ya Alhamisi Mbunge kijana wa Kenya na Naibu waziri Peter Kennet aliungana nanyi,pia mkamuita Askofu mwenye ushawishi kwa siasa za Kenya Peter karanja aliyetumwa na Odinga na kuchangia mfuko wenu....

Julius Malema yuko kikaangoni South africa kwa sababu anahusishwa na huo mtandao wenu wa kuleta mapinduzi Afrika tena ya gharama ya damu huku mkifadhiliwa na wafanyabiashara.Pia Mwanadada Dambisa Zindonga yupo kizuizini aliporudi zimbabwe juzi,Je huu mtandao haramu akina Kitila,uliyemuita mshauri mzuri anajua? Natoa wito kwa vyombo vya Usalama viingilie kati hili suala,naona unataka kuiletea Tanzania balaa.Kuna mbunge mmoja kijana huko Msumbiji mnamtumia vibaya hadi sasa anataka kuacha ubunge ili aje kuimarisha mtandao wenu,kama huo mtandao ni wa kheri ni wanasiasa gani Tanzania umewahisisha?Mbona katika huo mtandao wenu ni wakristu tu hadi Askofu anamwaga hela,je ajenda ya siri ni nini?Kama hujakiambia chama chako juu ya hilo na au hujatoa taarifa serikalini kwenda kufanya muungano/usharika wa kisiasa nje ya Tanzania tena na genge hatari la vijana wapenda madaraka/masultani Afrika unastahili kutoa maelezo ya kutosha.Unataka kutuletea balaa taiufa amabalo limesifika kwa Amani,kwanza ulienda kama nani?Uongozi wako kule hukuweka kwenye CV yako ulipokua unagombea uenyekiti wa Bavicha kwa kuwa unajua malengo ya ule mtandao wenu ni haramu.Nitaendelea kufuatilia nitamwaga data hapa,hadi ukimbie hili jukwaa dogo....Pepo mkubwa !

dR MKUMBO ndiye alikuwa consulted na kudevelop vigezo baada ya selection za wabunge viti maalumu kuchakachuliwa.
 
- Mkuu wangu Bob, huku mtaani nina jina moja maarufu sana ninaitwa bad news, kama unataka kusikia ukweli ambao huwezi kuambiwa na mtu yoyote duniani about anything nitafute mimi maana sijui kuchanganya maneno, ni straight to the point, sasa uamuzi ni wako kusuka au kunyoa!

Wilie @ NYC, USA.

-

- Kuhusu maneno ya kupandikizwa ubaguzi, mimi kwanza siyaamini sana isipokuwa kwa kawaida kwenye siasa kuna mengi sana ya nyuma ya pazia ambayo sio rahisi kufahamika na wengi, for some reasons
I know a lot huko behind the curtain ya Chadema na vyama vingine ambayo siwezi kuyaweka hapa! na hasa the reason behind Slaa kuingia dakika za mwishoni as opposed na what was said, So siasa ni mchezo mchafu lakini some of us tutaendelea kuzifuatilia kwa undani na kujaribu kuweka uwazi as much as we can, tunajua siku zote sio rahisi kupokelewa kwa urahisi, lakini somebody has to do it!

Willie @ NYC, USA.

What has happened Mr. Bad News??
 
Back
Top Bottom