Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Dada Regia umesahau kuwa hata JK katika miaka yake ya hamsini na alijiita kijana??nampa Hongera zake...tunaomba tu atuwakilishe vyema!!
Lakini sio Tanzania iliyomchagua.Je na huko kwa wenzetu hawana limit za umri wa ujana?jus want to know.
By the way,nakutafuta sana we mdada.Twende chemba..