Hongera Bi. Elsie Kanza, mshauri wa Uchumi wa Rais Kikwete!

Samtym academic daznt matter...tzee kuna maprof wangap au pH.d holders za uchumi serikalin...Larkin kutokana na ushamba wao wameruhusu politiks na syo profesheno ziongoze mambo....nchi ya kipumbavu hiii
 
TanzaniA kinachokua ni sekta ya kifedha na syo uchumi....ukitaka ku prove jiulize kama Kweli unakuwa huo uchumi mbona hauna impact kwa mtanzaniA mmoja.mmoja
 
Appointees was mr president bwana,shida kwelikweli.

Huyu mtu hakuwa na experience yoyote kwenye private sector alafu anapewa nafasi kama hiyo,maendeleo ya kiuchumi ya nchi hii yataletwa na private enterprise,serikali inahitaji kuappoint watu wenye uelewa wa vitendo katika market economy.

By the way,how is the dude leading the Big result now faring in his new career?
 
Tanzania tuzo zinapendekezwa through Technical know who nasio technical know how.

Bi Elsi knows JK....

Tutajibeba tusie mjua mtu serikalini, hata kama ujuzi unao kama huna channel imekula kwako, vyeti vyako vitaozea stoo.

Nakumbuka tu vituko vya utawala uliopita ambao leo hii eti watu wana 'miss' faida zake. Wakati am,bao hatukujifahamu kwa nini sisi ni maskini!
 
Kati ya washauri wa raisi waliobobea wa uchumi ni marehemu Justinian Rweyemamu.

Justinian Rweyemamu - Wikipedia, the free encyclopedia

Alikuwa mzuri kiasi kwamba hadi hapo mbeleni alipotofautiana na Nyerere kuhusu policy za uchumi, alijiuzuru na kuendelea na profession yake ya uchumi kwengine.

Kuna haja ya Tanzania kuwa na timu ya washauri wa uchumi walio full-time ikulu, who are non-partisan. Kwani sioni umuhimu wa kuwa na payroll kwa ajili ya wakurugenzi, katibu wakuu wa mikoa / wilaya.
Awamu ya nne tulibeba marafiki, washikaji, vimada, nyumbandogo, and the like kuishi ikulu na kuwa washauri wa kuendesha nchi. Leo hii watu wanasema wana 'miss' hali hiyo!!
 
"....Bi Kanza nayo Shahada ya BSc katika Uongozi wa Biashara za Kimataifa kutoka United States International University-Africa (USIA-A), Shahada ya Uzamili ya MSc katika Fedha kutoka Chuo Kikuu cha Strathclyde cha Uingereza na Shahada nyingine ya Uzamili katika Uchumi wa Maendeleo kutoka Williams College, Marekani..." HAYA JAMANI YALE YALEEE

1. HUYU BIBIYE HAJASOMEA UCHUMI
2.VYUO ALIVYOSOMA VINA WALAKINI

3.KUPITIA ELIMU YA HUYU BIBIYE NDO MAANA UCHUMI UMESHINDWA KUIMARIKA KAMA KWELI NI MSHAURI WA JK
4.TABIA YA KUTHAMINI WATU WALIOSOMA NJE HATA KAMA VYUO NI OVYO OVYO NDO IMELIPELEKEA TAIFA HAPA TULIPO
5.KAMISHENI YA VYUO VIKUU TZ HAIVITAMBUI VYUO HIVI
6.SIASA NDO IMETUFIKISHA HAPA
7.WATAALAM HAWATHAMINIWI BALI WANASIASA!

HALAFU HAWA WEF VIPI?MTU GANI MWEN
YE KIPAJI ANASOMEA VYUO FEKI?!!HAYA MACHO YETU.USANII HUU UTAISHA TU
Asee hapo kwenye red umeamua kutuongopea tu. Chuo gani chenye walakini kati ya Hivyo? Williams College kina walakini? Strathclyde kina walakini? United States International University of Nairobi kina walakini? Basi vyuo vyote feki duniani. Na hiyo MA in Development Economics ni kitu gani hicho? Jiongeze mkuu.
 
Asee hapo kwenye red umeamua kutuongopea tu. Chuo gani chenye walakini kati ya Hivyo? Williams College kina walakini? Strathclyde kina walakini? United States International University of Nairobi kina walakini? Basi vyuo vyote feki duniani. Na hiyo MA in Development Economics ni kitu gani hicho? Jiongeze mkuu.
Acha kutetea upuuzi wewe! MA hiyo inaweza kukufanya mchumi? hawa ni watu feki tuu walioneemeka kwa urafiki, tena wa kipuuzi tu. ukimuangalia youtube, haoneshi ufahamu kabisa zaidi ya kuiga matamshi ya lugha na anapojisahau kuigiza matamshi ya kibantu yanarudi kwa nguvu saaana!
 
Acha kutetea upuuzi wewe! MA hiyo inaweza kukufanya mchumi? hawa ni watu feki tuu walioneemeka kwa urafiki, tena wa kipuuzi tu. ukimuangalia youtube, haoneshi ufahamu kabisa zaidi ya kuiga matamshi ya lugha na anapojisahau kuigiza matamshi ya kibantu yanarudi kwa nguvu saaana!
Yumkini hujasoma uchumi. Siwezi ku-argue na wewe. Byebye.
 
Acha kutetea upuuzi wewe! MA hiyo inaweza kukufanya mchumi? hawa ni watu feki tuu walioneemeka kwa urafiki, tena wa kipuuzi tu. ukimuangalia youtube, haoneshi ufahamu kabisa zaidi ya kuiga matamshi ya lugha na anapojisahau kuigiza matamshi ya kibantu yanarudi kwa nguvu saaana!

Uko alipo wanamkubali. Angekuwa feki asingemudu maana huko hawana unafiki.

Ulitaka uende wewe?

Asha Rose na PhD yake aliishiaje kule UN? Usikremu jibu maana kuna siku utabadilishiwa angle kwenye mtihani.
 
Hawa wote ni vijana WA JK. Bahati yake alisepa kabla ya Ngosha kushika hatamu. Vinginevyo angeisoma number.....
 
Uko alipo wanamkubali. Angekuwa feki asingemudu maana huko hawana unafiki.

Ulitaka uende wewe?

Asha Rose na PhD yake aliishiaje kule UN? Usikremu jibu maana kuna siku utabadilishiwa angle kwenye mtihani.
Rose kaingiaje hapa? PhD imekujaje hapa? Naona vyeti feki bado wana andika JF kumbe!
Wanamkubali! Umesikia kafanya nini cha maana zaidi ya face trading. Elewa psychology ya dunia hii. Kuna watu wakikupongeza unastahili kujiuliza kama kweli una la maana. JK hakualikwa hadi mikutano ya G7? Je uliamini ni kwa sababu alikuwa na mengi ya kujivunia? Au tulitaka asisimuke na kuwaona wanampenda huku makinikia yakiondoka?
 
Hawa wote ni vijana WA JK. Bahati yake alisepa kabla ya Ngosha kushika hatamu. Vinginevyo angeisoma number.....
Tulikuwa na serikali ya ajabu sana! Hata ukitambulishwa kwenye Disco, ilikuwa inatosha kabisa kukupa nafasi ya juu na yenye kishindo kwa maisha ya wengine bila kujali ubora wako.

Acha nchi ishike adabu angalau kwa miaka 5.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom