Hongera Bi. Elsie Kanza, mshauri wa Uchumi wa Rais Kikwete!

Kati ya washauri wa raisi waliobobea wa uchumi ni marehemu Justinian Rweyemamu.

Justinian Rweyemamu - Wikipedia, the free encyclopedia

Alikuwa mzuri kiasi kwamba hadi hapo mbeleni alipotofautiana na Nyerere kuhusu policy za uchumi, alijiuzuru na kuendelea na profession yake ya uchumi kwengine.

Kuna haja ya Tanzania kuwa na timu ya washauri wa uchumi walio full-time ikulu, who are non-partisan. Kwani sioni umuhimu wa kuwa na payroll kwa ajili ya wakurugenzi, katibu wakuu wa mikoa / wilaya.

Hichi kifaa mkuu ila watawezana na mwanafunzi wake JK?
 
Kwa mtazamo wangu nadhani wamemchukua makusudi ili kwenda kuionyesha jamii ya kimataifa kinachozimaliza nchi za kiafrika kiuchumi hasa Tz ni nini. Maana Duniani, Afrika tunaheshimika kwa kujaaliwa rasilimali nyingi za kila aina na Mwenyezi Mungu, ila tunadharaulika kwa umaskini uliokithiri. sasa kuna watu huko wanaumiza vichwa kujaribu kijua Tatizo ni nini? Kama Raisi Hajui kwa nini watu wake ni maskini, halafu mshauri wake kuhusu mambo ya uchumi si Mchumi tayari wanaweza kupata majibu wakiwalinganisha na watu wa nchi nyingine. Wakati mwingine hawamchukui kwa sifa zake , wanamteua kwa udhaifu wake ukilinganisha na nafasi yake ili akawe kielelezo.

Sijakuelewa, una maana kama onyesho! au kichekesho? ebu fafanua tafadhali sana
 
Sasa kwa taarifa tu NEC sio advisors wa rais soma vizuri utafahamu washauri wa rais katika masuala ya uchumi ni kina nani??? Vile vile imekuwaje unaniambia mie najifanya kujua kila kitu au nimekosea kukupa angalizo? Kwa taarifa zaidi soma hapo chini:-

The Council of Economic Advisers (CEA) is a group of three economists who advise the President of the United States on economic policy.[1] It is a part of the Executive Office of the President of the United States, and provides much of the economic policy of the White House. The council prepares the annual Economic Report of the President.

Source: Wikipedia.

Hizo superflous nuances unazokazania siyo muhimu kabisa kwani kimsingi NEC na CEA kazi zao ni kumshauri Obama kuhusu Uchumi, na wakuu wote wa NEC na CEA ambao ni professional scholars (ambao kwa pamoja waliunda so-called Obama's Economic "Dream Team" of 2008) wamejiuzulu. Sina zaidi ya kuchangia kwenye hii maada.
 
"....Bi Kanza nayo Shahada ya BSc katika Uongozi wa Biashara za Kimataifa kutoka United States International University-Africa (USIA-A), Shahada ya Uzamili ya MSc katika Fedha kutoka Chuo Kikuu cha Strathclyde cha Uingereza na Shahada nyingine ya Uzamili katika Uchumi wa Maendeleo kutoka Williams College, Marekani..." HAYA JAMANI YALE YALEEE

1. HUYU BIBIYE HAJASOMEA UCHUMI
2.VYUO ALIVYOSOMA VINA WALAKINI
3.KUPITIA ELIMU YA HUYU BIBIYE NDO MAANA UCHUMI UMESHINDWA KUIMARIKA KAMA KWELI NI MSHAURI WA JK
4.TABIA YA KUTHAMINI WATU WALIOSOMA NJE HATA KAMA VYUO NI OVYO OVYO NDO IMELIPELEKEA TAIFA HAPA TULIPO
5.KAMISHENI YA VYUO VIKUU TZ HAIVITAMBUI VYUO HIVI
6.SIASA NDO IMETUFIKISHA HAPA
7.WATAALAM HAWATHAMINIWI BALI WANASIASA!

HALAFU HAWA WEF VIPI?MTU GANI MWENYE KIPAJI ANASOMEA VYUO FEKI?!!HAYA MACHO YETU.USANII HUU UTAISHA TU
 
Dada huyu ni msaidizi tu wa Rais-mambo ya Uchumi, si Mshauri kama anavyotaka ieleweke. Tumpime kwa kazi yake ya usaidizi, yaani personal assistant-economic affairs na sio Economic Advisor to the President!
Hayo unayajua wewe, taarifa ya Ikulu, imesema Bibi Elsie Kanza ni Mshauri wa Uchumi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na consensus hapa, kama unavyoona, ni kwamba huyu mtu hana re'sume ya kuwa mshauri wa uchumi wa Rais, na hata hiyo aliyonayo time frame yake imekaa kimchakachuo.

...tena naamin haijui Tanzania vizuri na sidhani kama alisoma zile shule zetu za kuwahi namba ukiwa na kidumu cha maji na ufagio na mwendo wa kukopa visheti kwa walimu
Lakini hiyo generation ya product za Saint Mary's schools, Feza, Green Acres and what not, ndio wanaokuja sasa hivi kuchukua nchi, tupende, tuchukie.

Kwanza ndio wanaopata elimu nzuri zaidi kuliko watoto wa hohehahe wanaopelekwa kwenye ma dampo ya shule za Kata, pili ndio wenye uwezo kiuchumi kwa hiyo wanamudu kusogea mbele zaidi ya watoto wa makalagabaho ambao wakifeli darasa la saba ndio death sentence yao.

Sasa product ya watoto wa Saint Mary's ndio hao, wanajua ballet dancing na English grammar kama huyu dada anavyosifiwa lakini hawajui chochote kuhusu Tanzania, roots za matatizo ya umasikini, ignorance, disease, death and disaster.
 
Nani amekwambia hawa jamaa wameshindwa kazi ? Let me provide you with some statistics ujue wenzetu hawapigi siasa bali wanafanya kazi:-
a. Unemployment rate has fallen by 8.9% signs kuwa uchumi unakuwa, kazi zinapatikana na kuna uzalishaji.
b. GDP growth rate is 2.8% after the revisions.
c. Consumer spending is slowly growing by 0.2% this is partly after taking into accounting soaring food prices, oil prices etc.
d. Market capitalization (trading in the capital market) is growing showing a confidence in investors in US manufacturing industry.

Sasa kwa taarifa hizi kidogo hebu niambie wapi wamefeli. Ukiwalinganisha US na nchi kama Greece, Ireland, UK , France na Spain they are a doing a damn good job tuache siasa.

Tanzania aibu siasa nyingi hakuna output!!!!

Hey, couldn't let this one go by, so I'm gonna chirp in with my last 2 cents: if statistics rule, nini bora: GDP ya Tanzania inayokadiriwa kukuwa 6%-7% mwaka 2011 au ya US at 2.5% (na siyo 2.8%)?
 
Hizo superflous nuances unazokazania siyo muhimu kabisa kwani kimsingi NEC na CEA kazi zao ni kumshauri Obama kuhusu Uchumi, na wakuu wote wa NEC na CEA ambao ni professional scholars (ambao kwa pamoja waliunda so-called Obama's Economic "Dream Team" of 2008) wamejiuzulu. Sina zaidi ya kuchangia kwenye hii maada.

Coach Parcells washauri wa uchumi kwa Obama ni CEA bisha kataa ndio hivyo na huwa hawachagui wahasibu wala waalimu pale bali wanatafuta wachumi tu!!! Na nimekuuliza una data za kuprove wameshindwa na unajua wengine walijiuzulu kwasababu gani au wewe ni kusisitiza tu wamejiuzulu?
 
Hey, couldn't let this one go by, so I'm gonna chirp in with my last 2 cents: if statistics rule, nini bora: GDP ya Tanzania inayokadiriwa kukuwa 6%-7% mwaka 2011 au ya US at 2.5% (na siyo 2.8%)?

hahaha wewe una shida sana uchumi wa Tanzania unakuwa by 6% but metrics walizotumia kupima uchumi unajua kwanini walizibadilisha? Vilevile data wanazo wenyewe tukiwaomba tuzifanyie hesabu wanakataa. Unajua kuwa uchumi wa Tanzania first quarter of 2010 ulianguka by 4% mkuu wa nchi akapiga kelele. Hivyo basi hiyo 6% siamini la kwanza na pili hata kama ni kweli 6% uchumi wa Tanzania unategemea zaidi kilimo cha majira na huduma kama vile simu, mabenki na utalii. Sekta ya viwanda imekufa kabisa.

Evidence za kuprove haya ni hizi:-
a. Unequal distribution of income gap inakuwa kila mwaka by 10% kasi kubwa kuliko ukuaji wa uchumi. je uchumi kweli unakuwa? Kama unakuwa mbona watanzania walio wengi wanazidi kuwa maskini??? Jaza mwenyewe na wataalamu wenzio.
b. Kama uchumi unakuwa mbona serikali haina hela ya kuendesha shughuli zake. Hela za mapato ya uzalishaji zimeenda wapi? Jaza wewe na mshauri wako.
c. We are still the third poorest country in the world wakati tuna kila kitu madini, bandari, mafuta , gesi, vivutio na population lakini ni mafukara kwanini?
d. Tanzania leo hata afya ni mgogoro kwani vitanda hakuna vya wagonjwa.

Sasa mie ninaithamini zaidi GDP ya 2.8% ya US kuliko GDP ya kutengenezwa ya Tanzania. Kwasababu nilizozitaja hapo juu
 
hahaha wewe una shida sana uchumi wa Tanzania unakuwa by 6% but metrics walizotumia kupima uchumi unajua kwanini walizibadilisha? Vilevile data wanazo wenyewe tukiwaomba tuzifanyie hesabu wanakataa. Unajua kuwa uchumi wa Tanzania first quarter of 2010 ulianguka by 4% mkuu wa nchi akapiga kelele. Hivyo basi hiyo 6% siamini la kwanza na pili hata kama ni kweli 6% uchumi wa Tanzania unategemea zaidi kilimo cha majira na huduma kama vile simu, mabenki na utalii. Sekta ya viwanda imekufa kabisa.

Evidence za kuprove haya ni hizi:-
a. Unequal distribution of income gap inakuwa kila mwaka by 10% kasi kubwa kuliko ukuaji wa uchumi. je uchumi kweli unakuwa? Kama unakuwa mbona watanzania walio wengi wanazidi kuwa maskini??? Jaza mwenyewe na wataalamu wenzio.
b. Kama uchumi unakuwa mbona serikali haina hela ya kuendesha shughuli zake. Hela za mapato ya uzalishaji zimeenda wapi? Jaza wewe na mshauri wako.
c. We are still the third poorest country in the world wakati tuna kila kitu madini, bandari, mafuta , gesi, vivutio na population lakini ni mafukara kwanini?
d. Tanzania leo hata afya ni mgogoro kwani vitanda hakuna vya wagonjwa.

Sasa mie ninaithamini zaidi GDP ya 2.8% ya US kuliko GDP ya kutengenezwa ya Tanzania. Kwasababu nilizozitaja hapo juu

Hizo sababu ulizotaja hata Marekani ni hivyohivyo tu more or less: kuanzia unequal distribution of income, kudorora na kufa kwa manufacturing industries hadi Serikali kukosa hela za kujiendesha na deni la nje la US kuongezeka maradufu. US ipo kwenye economic recession sasa hivi, na hali siyo nzuri kabisa. Lakini, back to statistics, GDP ya Tanzania kweli itakuwa by at least 6% mwaka huu, na vyanzo vya takwimu hiii ni vilevile vinavyotabiri uchumi wa US kukuwa kwa 2.5% in 2011.
 
Hizo sababu ulizotaja hata Marekani ni hivyohivyo tu more or less: kuanzia unequal distribution of income, kudorora na kufa kwa manufacturing industries hadi Serikali kukosa hela za kujiendesha na deni la nje la US kuongezeka maradufu. US ipo kwenye economic recession sasa hivi, na hali siyo nzuri kabisa. Lakini, back to statistics, GDP ya Tanzania kweli itakuwa by at least 6% mwaka huu, na vyanzo vya takwimu hiii ni vilevile vinavyotabiri uchumi wa US kukuwa kwa 2.5% in 2011.

Kwa jibu swali lako angalia hizi figures za World Bank:-

US GDP ni $14,119,000 ('Millions)

Tanzania GDP ni $21,623 ('Millions)


Hivyo basi nikuulize ukuaji wa GDP wa US utaulinganisha na wa Tanzania? Ukisema Manufacturing sectors in US zinakufa you are lying kwasababu statistics nilizonazo kichwani mwangu zinasema the other side of the view. According to Bloomberg statistics zinaonyesha manufacturing index until Feb 2011 has grown by 61.4% the highest level since May 2004. Ninashaka na wewe hujui unalolisema zaidi tu kusumbua watu.

What bother the Economist in US ni inflation pressure the receive from food prices na oil prices kwani hilo linaweza kuharibu US recovery performance. Tanzania mwaka huu uchumi hautokuwa zaidi ya 4.5% labda miujiza itokee na kubadilike kwa ghafla kwa policy za uchumi wa Tanzania.
 
Kwa jibu swali lako angalia hizi figures za World Bank:-

US GDP ni $14,119,000 ('Millions)

Tanzania GDP ni $21,623 ('Millions)


Hivyo basi nikuulize ukuaji wa GDP wa US utaulinganisha na wa Tanzania? Ukisema Manufacturing sectors in US zinakufa you are lying kwasababu statistics nilizonazo kichwani mwangu zinasema the other side of the view. According to Bloomberg statistics zinaonyesha manufacturing index until Feb 2011 has grown by 61.4% the highest level since May 2004. Ninashaka na wewe hujui unalolisema zaidi tu kusumbua watu.

What bother the Economist in US ni inflation pressure the receive from food prices na oil prices kwani hilo linaweza kuharibu US recovery performance. Tanzania mwaka huu uchumi hautokuwa zaidi ya 4.5% labda miujiza itokee na kubadilike kwa ghafla kwa policy za uchumi wa Tanzania.

Couldn't care less (neither am I impressed) with all that stupid talk about "indexes", "growth rates" and otherwise your undue over reliance on statistical garbage that has little, if any bearing on actual reality as lived by ordinary folks. Wewe endelea kubwata na kulalamika na nadharia zako za Wiki. Who knows, labda vijakazi wa Kikwete wataku-notice, maana inaonekana una machungu sana na huyu mdada mshauri wa Rais aliyeshinda tuzo.
 
Bla bla bla kama kawaida ye2 wa Tz.
Ndulu alikuja na sifa tele, leo hii na uprofessor wake kafanya nin?
 
Kumbe washauri wa uchumi wa Rais hawajasome uchumi duh ndio maana vitu vinaharibika. Halafu what is US International University iliyopo Nairobi, Kenya??? Something is wrong here?
ndiye aliyeshauri kununua Bajaj za wajawazito?
 
Acheni ushabiki na hoja mbofumbofu jamani. Mbona hamuulizi Williams College ina hadhi gani mmeng'ngania USIU-A tu?

Kubobea kwenye taaluma ya uchumi siyo hoja vilevile: Larry Summers, mmoja wa Wataaluma wa juu kabisa Marekani wa mambo ya Uchumi, na Msomi wa kuotea mbali aliyewahi kuwa Mkuu wa Chuo cha Harvard mbona alijuzulu cheo cha Mshauri Mkuu wa Uchumi wa Obama mwaka jana? Hakuna la maana alilomsaidia Obama, na uchumi wa Marekani bado unadidimia kila kukicha.

uko wrong weye ...ni mshabiki wa sarah palin nini?
 
Coach parcells,

Mie ni muuza kahawa tu pale kariakoo sina vigezo wala sifa stahiki, ila kuna watu stahiki wenye ujuzi wa hayo mambo ni vema wapewe kipaumbele. Na let me ask a question performance ya kazi yako unaipimaje? Au wewe uchumi wa nchi unapima kwa kuangalia ndugu na Jamaa waliokuzunguka? Kama wote wanaendesha Magari basi uchumi unakua Kama wamefilisika uchumi haukui bila shaka hii ni fikra sahihi kwako. Kama una uhusiano na huyu mshauri good for you but that does not change the fact kwamba yeye si mchumi. Sipingi vyuo alivyosoma ila nachokipinga ni kwamba huwezi kumchukua engineer akafanye kazi ya upasuaji hospitali tegemea Maaafa. Nilikuwapo
 
Tungeona sura yake tungem-jaji vizuri zaidi ya shahada alizonazo, mnamfahamu vizuri msanii JK mambo yake.......
 
IMG_8416.JPG

The President of the United Republic of Tanzania, His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete has congratulated his Personal Assistant for Economic Affairs, Miss Elsie Kanza (pictured), on her appointment to the position of Head of Africa at the prestigious Institution – The World Economic Forum. Her appointment takes place effective Monday, August 8, 2011.

In his statement, today, Friday, August 12, 2011, the President has thanked Miss Kanza for the “wonderful service” she rendered to the nation in the six years she served as the Personal Assistant to the President on Economic Affairs since March, 2006.

The president appreciates her intellect, knowledge and above all commitment and dedication to work and has no doubt in his mind that Miss Kanza will raise to the challenges of her new responsibilities and she will excel.

The President believes that her appointment is, indeed, an honour for Tanzania and on return she will have gained new horizons of experience which will be useful for the country. The President wishes her success and best of luck in her new responsibilities.

The President appreciates her intellect, knowledge and above all her commitment and dedication to work. The President has no doubt in his mind that Miss Kanza will rise to the challenges of her new responsibilities and excel. It is indeed, an honour for Tanzania and the President believes that on return she will have gained new horizons of experience which will be useful for the country. The President wishes her success and best of luck in her new responsibilities.


Released by:
Directorate of Presidential Communications,
State House,
DAR ES SALAAM.
12[SUP]th[/SUP] August, 2011
 
This is a good appointment... It seems that she does a good work @ State House Economy Panel...
 
mmh, miujiza ya siasa hii! uchumi wenyewe wa tz huu halafu washauri wake wawe role models! au ni post inayoamuliwa kwa dialogue za kisiasa/kidiplomasia tu hizo, kwamba eeh, sasa zamu ya afrika/tz?. manake kwa performance ya kiuchumi kwa tz inakuwa ngumu ku-applause

otherwise, waliomteua nao lazima wana roho ngumu kama ya wendawazimu

best wishez kanza, umemtutoa kimasomaso mpendwa!
 
SHEIN

tafakali ya kwamba huyu ndiye tumemkabidhu uchumi wa nchi,
ana sifa za kutosha na uzoefu? kudidimia kwa shilingi je?
 
Back
Top Bottom