democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
Mungu aendelee kuyaumbua majambazi haya ya ccm
Zito hatuna cha kukulipa ila aliyeetuumba mambo haya hawezi kuyaacha hivihiviShukrani sana mh zitto, ikiwezekana na kamaa kanuni zinaruhuu liitihwe bunge la dharura baada ya hizo siku 14 ili liweze kujadili hoja hii kwa maslahi ya nchi yetu, ni gharama sana kuendelea na mzigo huu.
Jukumu la kukomboa nchi yetu ni letu sisi sote, tusimwachie mtu au kikundi cha watu wapigane dhidi ya haya majambazi.
Cha muhimu kama huwezi kukemea hadharani nenda hata uvunguni mwa kitanda chako unong'one kuwa naichukia CCM. Pili anza kuchukia rangi ya kijani popote uionapo.
Hawa watu hawana huruma hata kidogo. Kwanini tucheke na jambazi ambalo usiku likikuvamia linakuuwa.
Ni nani anafurahia kuona utajiri wa nchii unateketea mikononi mwa watu wachache then haohao wanatukashifu na kuturingishia utajiri wao?
ANAENDELEA HAPA
"@zittokabwe: Kanuni 27(4) Endapo manufaa ya Taifa yatahitaji....Spika anaweza, baada ya kushauriana na Kamati ya Uongozi....kuliita Bunge 'mapema' zaidi"
Hapa kazi kwa spika
kasema hajiuzulu mtu eti huu ni upepo utapita tu kwa maana nyingine Watanzania ni ***** hatuwezi kufanya lolote.
well said.
Hakuna mjadala hoja itatupwa nje ya ulingo wa ndondi
Lunch time mtu amchukue makinda akampe vitu