Hoja Fupi: Ilikuwa ni Makosa kwa Vyombo vya Habari Kumsusia RC Dar

Boycott-Image-670x335.jpg
Na. M. M. Mwanakijiji

Miye nitawaambia kitu; suala la kususia habari za kiongozi wa kisiasa kwa lolote analofanya ni counter productive. Kwanza ni kwa sababu siyo jukumu la vyombo vya habari kufurahishwa na viongozi au na serikali. Kwamba, wakikasirishwa basi wanatakiwa wasuse! Lakini la pili ni kuwa jukumu la vyombo vya ahbari kupasha habari - iwe kwa ajili ya kufahamisha, kujulisha, kuibua hoja au vinginevyo.

Siyo jukumu la vyombo vya habari kufanya uharakati wa kisiasa isipokuwa kama ni chombo cha habari cha kisiasa au chenye itikadi Fulani. Lakini, leo hii kama Serikali ikiamua kujibu mapigo kwa kusema chombo chochote cha habari huru ambacho kimegomea kutangaza habari za kisiasa au za serikali basi serikali itapiga marufuku taasisi zake zote kutoa matangazo yake huko au kuviruhusu kuwepo kwenye tukio lolote la kiserikali ni chombo gani kitasalimika; si itakuwa ni tit for tat!? Ilikuwa ni bora Zaidi kuendelea kumuandika anayedaiwa kuwa ni Bashite kuliko kumsusia.

Vyombo vya habari havipo ili kudekezwa, kubembelezwa au kufurahishwa. Wakati vyombo vya habari vinavyopoona vinashambuliwa, vinadharauliwa au kuminywa ndio wakati ambapo vinapaswa kufanya kazi kwa jitihada (zeal), kwa ufanisi zaidi na kwa umakini na ufanisi zaidi. Kususia kuandika habari za mtu au chombo chochote kile ni kujiwekea kisu shingoni na kujiminya wenyewe sehemu zisizotajika.

Vyombo vya habari vilivyomsusia Makonda viondoe zuio lao ili vifanye kazi yao bila kuonekana vina fikra au tabia za kitoto za kususa kisa wameonewa au wameumizwa. Watu pekee ambao wanaweza kumsusia kiongozi fulani ni wananchi wenyewe wakiwa na ufahamu wa kutosha wa kwanini wamsusie kiongozi au kundi hilo. Tena wanaweza hata kususisa chombo cha habari wakikiona kimepoteza uhuru wake.

Hii ni hoja fupi.
Sio kila hoja ni lazima uchangie, vingine potezea kulinda utu wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boycott-Image-670x335.jpg
Na. M. M. Mwanakijiji

Miye nitawaambia kitu; suala la kususia habari za kiongozi wa kisiasa kwa lolote analofanya ni counter productive. Kwanza ni kwa sababu siyo jukumu la vyombo vya habari kufurahishwa na viongozi au na serikali. Kwamba, wakikasirishwa basi wanatakiwa wasuse! Lakini la pili ni kuwa jukumu la vyombo vya ahbari kupasha habari - iwe kwa ajili ya kufahamisha, kujulisha, kuibua hoja au vinginevyo.

Siyo jukumu la vyombo vya habari kufanya uharakati wa kisiasa isipokuwa kama ni chombo cha habari cha kisiasa au chenye itikadi Fulani. Lakini, leo hii kama Serikali ikiamua kujibu mapigo kwa kusema chombo chochote cha habari huru ambacho kimegomea kutangaza habari za kisiasa au za serikali basi serikali itapiga marufuku taasisi zake zote kutoa matangazo yake huko au kuviruhusu kuwepo kwenye tukio lolote la kiserikali ni chombo gani kitasalimika; si itakuwa ni tit for tat!? Ilikuwa ni bora Zaidi kuendelea kumuandika anayedaiwa kuwa ni Bashite kuliko kumsusia.

Vyombo vya habari havipo ili kudekezwa, kubembelezwa au kufurahishwa. Wakati vyombo vya habari vinavyopoona vinashambuliwa, vinadharauliwa au kuminywa ndio wakati ambapo vinapaswa kufanya kazi kwa jitihada (zeal), kwa ufanisi zaidi na kwa umakini na ufanisi zaidi. Kususia kuandika habari za mtu au chombo chochote kile ni kujiwekea kisu shingoni na kujiminya wenyewe sehemu zisizotajika.

Vyombo vya habari vilivyomsusia Makonda viondoe zuio lao ili vifanye kazi yao bila kuonekana vina fikra au tabia za kitoto za kususa kisa wameonewa au wameumizwa. Watu pekee ambao wanaweza kumsusia kiongozi fulani ni wananchi wenyewe wakiwa na ufahamu wa kutosha wa kwanini wamsusie kiongozi au kundi hilo. Tena wanaweza hata kususisa chombo cha habari wakikiona kimepoteza uhuru wake.

Hii ni hoja fupi.
Well said.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boycott-Image-670x335.jpg
Na. M. M. Mwanakijiji

Miye nitawaambia kitu; suala la kususia habari za kiongozi wa kisiasa kwa lolote analofanya ni counter productive. Kwanza ni kwa sababu siyo jukumu la vyombo vya habari kufurahishwa na viongozi au na serikali. Kwamba, wakikasirishwa basi wanatakiwa wasuse! Lakini la pili ni kuwa jukumu la vyombo vya ahbari kupasha habari - iwe kwa ajili ya kufahamisha, kujulisha, kuibua hoja au vinginevyo.

Siyo jukumu la vyombo vya habari kufanya uharakati wa kisiasa isipokuwa kama ni chombo cha habari cha kisiasa au chenye itikadi Fulani. Lakini, leo hii kama Serikali ikiamua kujibu mapigo kwa kusema chombo chochote cha habari huru ambacho kimegomea kutangaza habari za kisiasa au za serikali basi serikali itapiga marufuku taasisi zake zote kutoa matangazo yake huko au kuviruhusu kuwepo kwenye tukio lolote la kiserikali ni chombo gani kitasalimika; si itakuwa ni tit for tat!? Ilikuwa ni bora Zaidi kuendelea kumuandika anayedaiwa kuwa ni Bashite kuliko kumsusia.

Vyombo vya habari havipo ili kudekezwa, kubembelezwa au kufurahishwa. Wakati vyombo vya habari vinavyopoona vinashambuliwa, vinadharauliwa au kuminywa ndio wakati ambapo vinapaswa kufanya kazi kwa jitihada (zeal), kwa ufanisi zaidi na kwa umakini na ufanisi zaidi. Kususia kuandika habari za mtu au chombo chochote kile ni kujiwekea kisu shingoni na kujiminya wenyewe sehemu zisizotajika.

Vyombo vya habari vilivyomsusia Makonda viondoe zuio lao ili vifanye kazi yao bila kuonekana vina fikra au tabia za kitoto za kususa kisa wameonewa au wameumizwa. Watu pekee ambao wanaweza kumsusia kiongozi fulani ni wananchi wenyewe wakiwa na ufahamu wa kutosha wa kwanini wamsusie kiongozi au kundi hilo. Tena wanaweza hata kususisa chombo cha habari wakikiona kimepoteza uhuru wake.

Hii ni hoja fupi.
Hii hoja yako imesukumwa zaidi na "usukuma" wako kuliko ufahamu wako. Mwanakijiji siku hizi kutokana na effect ya usukuma umekuwa na hoja dhaifu kama tu Lizaboni na makuku mengine ya Lumumba.
 
SUSA' yenyewe ilshakwama maana kila siku tunapata habari za Kiutendaji za RC Makonda,acha waendelee na SUSA yao na Makonda anachapa kazi na umma unajua.
 
Badala ya kuandika vitu vifupi kama hivi ni bora umwambie Unayemtetea akiri kosa lake la kuvamia studio na aombe msamaha, huo ndiyo ustaarabu, sasa unataka victims wampe airtime mtu asiyewarespect?. Umerogwa wewe!!
 
Hii hoja yako imesukumwa zaidi na "usukuma" wako kuliko ufahamu wako. Mwanakijiji siku hizi kutokana na effect ya usukuma umekuwa na hoja dhaifu kama tu Lizaboni na makuku mengine ya Lumumba.
Ww nae unasumbuliwa na mihemko ya Ukabila kama sio UMBUMBU!
 
Ww nae unasumbuliwa na mihemko ya Ukabila kama sio UMBUMBU!
Inawezekana mimi nikawa MBUMBUMBU lakini najua kuwa Mwanakijiji amekuwa na hoja dhaifu sana lately ambazo zimesababishwa na usukuma wa mwenyekiti, sitasemea ukatoliki! Maskini JK kumbe kila siku alikuwa anaandamwa na msukuma mwanakijiji kwa sababu ya dini na kabila lake!
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia kwa dhamana mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lissu, kinyume na maombi yaliyowekwa na mawakili wa Jamhuri ya kuzuia asipewe dhamana.

Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Wilbard Mashauri amesema, baada ya kupitia hoja za serikali na majibu ya mawakili wa utetezi, haoni mantiki ya kuzuia dhamana kwa Lissu. Hivyo mahakama hiyo imemuachia Lissu kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili watakaosaini bondi ya Sh.10 milioni, kila mmoja.!
 
Nami nakubaliana na hoja ya Mwanakijiji. Tena mbaya zaidi vyombo vya habari vinashurutisha wale wasiokua tayari - kuwa mwandishi yeyote atakaekwenda kinyume na matakwa hayo (ambayo si sahihi) atachukuliwa hatua. Ni kweli siyo wajibu wa vyombo vya habari kuchukua hatua walizozichukua!
 
Boycott-Image-670x335.jpg
Na. M. M. Mwanakijiji

Miye nitawaambia kitu; suala la kususia habari za kiongozi wa kisiasa kwa lolote analofanya ni counter productive. Kwanza ni kwa sababu siyo jukumu la vyombo vya habari kufurahishwa na viongozi au na serikali. Kwamba, wakikasirishwa basi wanatakiwa wasuse! Lakini la pili ni kuwa jukumu la vyombo vya ahbari kupasha habari - iwe kwa ajili ya kufahamisha, kujulisha, kuibua hoja au vinginevyo.

Siyo jukumu la vyombo vya habari kufanya uharakati wa kisiasa isipokuwa kama ni chombo cha habari cha kisiasa au chenye itikadi Fulani. Lakini, leo hii kama Serikali ikiamua kujibu mapigo kwa kusema chombo chochote cha habari huru ambacho kimegomea kutangaza habari za kisiasa au za serikali basi serikali itapiga marufuku taasisi zake zote kutoa matangazo yake huko au kuviruhusu kuwepo kwenye tukio lolote la kiserikali ni chombo gani kitasalimika; si itakuwa ni tit for tat!? Ilikuwa ni bora Zaidi kuendelea kumuandika anayedaiwa kuwa ni Bashite kuliko kumsusia.

Vyombo vya habari havipo ili kudekezwa, kubembelezwa au kufurahishwa. Wakati vyombo vya habari vinavyopoona vinashambuliwa, vinadharauliwa au kuminywa ndio wakati ambapo vinapaswa kufanya kazi kwa jitihada (zeal), kwa ufanisi zaidi na kwa umakini na ufanisi zaidi. Kususia kuandika habari za mtu au chombo chochote kile ni kujiwekea kisu shingoni na kujiminya wenyewe sehemu zisizotajika.

Vyombo vya habari vilivyomsusia Makonda viondoe zuio lao ili vifanye kazi yao bila kuonekana vina fikra au tabia za kitoto za kususa kisa wameonewa au wameumizwa. Watu pekee ambao wanaweza kumsusia kiongozi fulani ni wananchi wenyewe wakiwa na ufahamu wa kutosha wa kwanini wamsusie kiongozi au kundi hilo. Tena wanaweza hata kususisa chombo cha habari wakikiona kimepoteza uhuru wake.

Hii ni hoja fupi.
Duh kweli m,sifie mtu akishafariki. Kwa hiyo kipindi chote alichofungiwa Bashite, hukuliona hili ndo umekuja kuona leo wakati serikali imepanga kuanza kufungia vyombo vya habari kwa hoja za uchochezi nk? Yaani unaandika uzi huu ili kesho serikali ikiviadhibu vyombo vya habari uje kufanya quotation ya hii habari kwamba ulionya ? Mkuu mtu wako hajui anaipeleka wapi nchi, na wewe ndo ulikuwa mpiga debe namba moja mitandaoni. Kubali tu kwamba ulidanganywa ukadanganyika. Magu amewaangusha , na sasa unaona things are falling apart at the greatest speed only God knows our terrible fate, we as Tanzanians.
 
Boycott-Image-670x335.jpg
Na. M. M. Mwanakijiji

Miye nitawaambia kitu; suala la kususia habari za kiongozi wa kisiasa kwa lolote analofanya ni counter productive. Kwanza ni kwa sababu siyo jukumu la vyombo vya habari kufurahishwa na viongozi au na serikali. Kwamba, wakikasirishwa basi wanatakiwa wasuse! Lakini la pili ni kuwa jukumu la vyombo vya ahbari kupasha habari - iwe kwa ajili ya kufahamisha, kujulisha, kuibua hoja au vinginevyo.

Siyo jukumu la vyombo vya habari kufanya uharakati wa kisiasa isipokuwa kama ni chombo cha habari cha kisiasa au chenye itikadi Fulani. Lakini, leo hii kama Serikali ikiamua kujibu mapigo kwa kusema chombo chochote cha habari huru ambacho kimegomea kutangaza habari za kisiasa au za serikali basi serikali itapiga marufuku taasisi zake zote kutoa matangazo yake huko au kuviruhusu kuwepo kwenye tukio lolote la kiserikali ni chombo gani kitasalimika; si itakuwa ni tit for tat!? Ilikuwa ni bora Zaidi kuendelea kumuandika anayedaiwa kuwa ni Bashite kuliko kumsusia.

Vyombo vya habari havipo ili kudekezwa, kubembelezwa au kufurahishwa. Wakati vyombo vya habari vinavyopoona vinashambuliwa, vinadharauliwa au kuminywa ndio wakati ambapo vinapaswa kufanya kazi kwa jitihada (zeal), kwa ufanisi zaidi na kwa umakini na ufanisi zaidi. Kususia kuandika habari za mtu au chombo chochote kile ni kujiwekea kisu shingoni na kujiminya wenyewe sehemu zisizotajika.

Vyombo vya habari vilivyomsusia Makonda viondoe zuio lao ili vifanye kazi yao bila kuonekana vina fikra au tabia za kitoto za kususa kisa wameonewa au wameumizwa. Watu pekee ambao wanaweza kumsusia kiongozi fulani ni wananchi wenyewe wakiwa na ufahamu wa kutosha wa kwanini wamsusie kiongozi au kundi hilo. Tena wanaweza hata kususisa chombo cha habari wakikiona kimepoteza uhuru wake.

Hii ni hoja fupi.
Umezunguka mbuyu weee.... Kwani hawamwandiki kisa Hawampendi?.. Hamuandiki sababu aliwavamia tena kwa silaha... Wakaomba msamaha kutoka kwake akakataa.... Unataka nini?...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa hizi Makonda ndo anaharibu kabisa na hakuna wa kumwandika.Amewanyanyasa na kuwadharilisha maafisa elimu kata na amebaki kuongelewa mitandaoni tuu.

Wangekubaliana bhasi wasiandike habari positive zinazomhusu na zote ziwe za kumkosoa, wangekuwa wamemuweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kufanya hivyo Vyombo vya habari vimevunja Ibara ya 18 kifungu (d) Cha katiba ya 1977 ya JMT.

18. Every person - (a) has a freedom of opinion and expression of his ideas;

(b) has out right to seek, receive and, or disseminate information regardless of national boundaries; Act No.1 of 2005 Art.6

(c) has the freedom to communicate and a freedom with protection from interference from his communication;

(d) has a right to be informed at all times of various important events of life and activities of the people and also of issues of importance to the society.
 
vyombo vya habari wako sahihi, jamaa ana nguvu (nyuma ya pazia) kuliko vyombo hivi hivyo hawana njia ya kupigana nae zaidi ya kumsusia

rejea jamii zilizo kuwa dhaifu kwa uvamizi wa ukoloni zilifanyaje?

kama unataka habari za ngosha mwenzio nenda blog ochwara zinamwandika sana tu
Habari zake zina maslai makubwa kwa umma kuliko yeye.Kususia ni kuadhibu umma.

Mathalani mimi nimebaka leo na habari kuhusu kubaka kwangu zisisambae, hii inakuwa nafuu kwangu. Makonda ana madudu mengi ambayo alitakiwa kuwa anakemewa kila siku kupitia media.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom