M Mahengo Member Aug 26, 2009 6 0 Aug 26, 2009 #1 Jamani nawaombeni wadau wa hapa kunyumba nikaribisheni nimeingia janvini leo kwa mara ya kwanza. Asanteni sana ni mimi Mahengo.
Jamani nawaombeni wadau wa hapa kunyumba nikaribisheni nimeingia janvini leo kwa mara ya kwanza. Asanteni sana ni mimi Mahengo.
D Dawson Member Mar 6, 2009 43 3 Aug 26, 2009 #2 Karibu mama jisikie huko nyumbani lakini hakupikwai huku...!!
Sipo JF-Expert Member Jul 25, 2008 2,139 91 Aug 26, 2009 #3 karibu sana mdau sina shaka wewe ni mwanazuoni
GP JF-Expert Member Feb 5, 2009 2,049 160 Aug 26, 2009 #4 Dawson said: Karibu mama jisikie huko nyumbani lakini hakupikwai huku...!! Click to expand... amesema kama yeye ni shorizzzz?, utapewa za chembe wewee!!
Dawson said: Karibu mama jisikie huko nyumbani lakini hakupikwai huku...!! Click to expand... amesema kama yeye ni shorizzzz?, utapewa za chembe wewee!!