Kwaherini Kawe (Dar es Salaam), Hodi Mapinga (Pwani)

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,580
108,931
Wana Mapinga Bagamoyo Mkoani Pwani GENTAMYCINE nasema kwa Heshima, Unyenyekevu na Taadhima kubwa sana kwenu kuwa Hodi Hodi na Hodi tena kwa mara ya Tatu.

Sasa tutakuwa pamoja kwa Shida na Raha kama ambavyo nilikuwa Kawe. Kwa Samaki wenu hawa Watamu wa hii Beach yenu nzuri ya Mchango wa Hela nasema Akhsanteni.
 
Wana Mapinga Bagamoyo Mkoani Pwani GENTAMYCINE nasema kwa Heshima, Unyenyekevu na Taadhima kubwa sana kwenu kuwa Hodi Hodi na Hodi tena kwa mara ya Tatu.

Sasa tutakuwa pamoja kwa Shida na Raha kama ambavyo nilikuwa Kawe. Kwa Samaki wenu hawa Watamu wa hii Beach yenu nzuri ya Mchango wa Hela nasema Akhsanteni.
Aaliyyah huyu tena! Ni wengi ajabu
 
Kawe kubwa mzee.

Rain bow kule kote kawe hadi clouds kawe lugalo kawe yote hiyo Maana Kara ya kawe ina mitaa minne.

Mzimuni
Ukwamani.
Mbezi beach A
Mbezi beach B
Hiyo ya pili ndio kawe anayoizungumzia mwenye Uzi wake. Tofautisha kawe na jimbo la kawe ni vitu viwili tofauti
 
Back
Top Bottom