chakula cha watoto
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 462
- 974
Hodi humu! Nimekuja kuomba msaada kama huku Kuna mjuzi anisaidie kupata dawa ya kuweza kunisaidia kuongea na wafu, marehemu mama angu amefariki mwezi ulopita na mimi sikuwepo nilikuwa nje kikazi nikakuta washamzika, nataka niende kaburini kuongea nae kwa Mara ya mwisho hata kwa dakika tatu tu.
Kama humu hayupo basi mnielekeze hata kwa wataalam waganga wa kienyeji jamani.
Asanteni
Kama humu hayupo basi mnielekeze hata kwa wataalam waganga wa kienyeji jamani.
Asanteni