Wapendwa mimi huwa nasoma hii Forum lakini sasa nimeamua kujiunga na watu makini, wenye mawazo ya kujenga hii nchi yetu ya Tanzania. Niweze kuchangia pia. Naomba kukaribishwa!!
karibu lakini mbona tayari uko sebuleni na umekaa then unabisha hodi?
tunataka mawazo chanya toka kwako........
Karibu sana me ni mmoja wa marafiki zako bila shaka.Hi all mimi naitwa mary nimgeni hapa. ningependa kukaribishwa niko nje naningefurahi kupata marafiki mbalimbali.