naona u mbishi kaka kama ujakutana na rar file za kihivyo jaribu kuextract file nililo attach then liweke hapa tuone!!!!hivi winrar nazo zinadai password? Mbona mimi naipakua tu na kuisanikisha bila ya kuhitaji neno la siri!
nenda torrentz.eu search winrar password remover although kuna guarantee ndogo utapata password
wandungu naomba mweny utalamu wa ku-crack password za winrar anisaidie kuna file nimedowload hapa linazingua