mama yuva
JF-Expert Member
- Aug 3, 2010
- 226
- 47
Tuelezee rafiki vizuri. kwa nchi za wengine nadhani ina include kutunzwa ukikwa mzee lakini pia ukiwa huna kazi kuna unemployment benefit, sasa hapa kwetu inaaply, au security uzeeni wakati sisi tunaofanya kwa mikataba kibarua kikiota majani ntakufa njaa au kwa frustration kama sijapata kibarua kingine? kwa sababu hakuna mipango ya kuwajali watu watu wakiwa hawana kazi, ndio maana mtu anachukua chake ili anendeshe maisha yake wakati anatafuta. ili aweze hata kulipa kodi ya nyumba.Mnajua maana ya Social Security?