Hizi post za ualimu,zitanitenganisha na mke wangu mtarajiwa!

Kwani lazima wote mfanye kazi Serikalini???

Kwani lazima wote muajiriwe???

Tafakari hayo maswali kwanza na usiwe na pupa katika maamuzi.

Kila lakheri

Duh!Hii nayo idea. Lkn tatzo lake ni kuwa anapenda kazi kuliko mahusiano.KWA HYO IDEA HAYUKO TAYARI!
 
Kahama kwa jinsi kulivyo kuzuri mkuu kumechangamka kweli yani daahh ningelikua mwalimu ningechaguaga kahama mjini kupo pouwa sana yani....
 
Pole sana kwa walimu hawa walivyo na tamaa nakuonea huruma,nenda kafanye kazi kama wako basi itakua ingawa nisizungumze sana kafanye kazi
 
Pole sana kwa walimu hawa walivyo na tamaa nakuonea huruma,nenda kafanye kazi kama wako basi itakua ingawa nisizungumze sana kafanye kazi
 
sasa kuna umbl gani misingwi na kahama hata mara tano kwa siku unaeza enda na kurudi..km ningekua ww ningebadlshn na huyo wa misingwi
 
Ni mwanamke ninayempenda sana na nishapeleka kishika uchumba kwao,tatizo ni kuwa yeye kapangwa wilaya ya KAHAMA,mi nimepangwa wilaya ya NJOMBE,mwenye ushauri anishauri nifanye nini ili tuwe wilaya moja? coz naona NDOTO ZA NDOA ZIMEINGIA DOA

Bora ameenda mbali! mshahara wa 240,000/= ungetunzaje familia kama sio kwenda kumtesa mtoto wa watu
 
kwa kweli hawa TAMISEMI hawatukakii mema mie pia nimechanganyikiwa mtarajiwa wangu katupwa Morogoro(ULANGA)sijui hata tufanyeje!!
 
sasa kuna umbl gani misingwi na kahama hata mara tano kwa siku unaeza enda na kurudi..km ningekua ww ningebadlshn na huyo wa misingwi

naogopa wasijekusema 'NIMEOLEWA' nataka mwanamke ndo aje njombe,mi nlijaza njombe for strategic reasons.
 
mkafanye kazi walimu mlikua mlikua mnalia lia kuuliza post lini? sasa saivi hamtaki?
 
Back
Top Bottom