Hizi msg za Valentine za kufowadiana . . . .

My dia, wa kwanza ni huyo jibaba aliyemtumia, mi nimetumiwa kiporo cha jibaba lake. Angekuwa wifi mbona angejidai, ni binti tu ambaye nilikutana nae wakati nipo Moro kikazi, akadai amevutiwa na mimi huku akidai anamuogopa mwanamke mwenzake (yaani alidhani nina mke au mpenzi), nikamwambia asijali kwani sina mke wala mpenzi tuendelee kuwasiliana tu kama friends

Sasa inakuumaje............... ichukulie kama adventure tu.
 
Sms huwa haina maana iwapo mtumaji hajaiandika mwenyewe hasa kuhusu suala la upendo.
Kwa nini usiandike sms wewe mwenyewe ili ueleze hisia zako badala ya ku send sms aliyoiandika mwenzako???

Very much to the point; mtu anaweza kujipendekeza kwamba amekutumia bonge la msg tamu kumbe ukisoma between the lines unagundua kuwa kuna mtu anachakachua nyuma ya pazia - mwingine analiforward tu jinsi lilivyo bila kuedit kidogo angalau kureflect your reality
 
Daaah mbona jina hilo zuri tu, halafu limekaa kimahaba-mahaba fulani hivi . . . CPU M-BAYAAAAAAAAAAAA halafu wakat huo huo unajileta mwenyewe nakukumbatia huku umelegea mwili mzima, naanza kukubusu halafu naanza k . . . . . .

Sipiyuu acha kuniambia ambia hayo maneno, nitatokea hapo kwenye skriini. Halafu utaona dawa yake!!
 
Yaani sijui watu hawazisomagi vizuri au hawajui maana yake???!!!

Namshangaa kweli, katumiwa msg ya u-valentine na jibaba lake usiku wa kuamkia leo halafu anai-fowadi kwangu saa hizi saa tatu na nusu asubuhi, eti "am the first to wish you happy valentine this night, sleep well my sweet"

Mimi hata hiyo concept ya valentine naiona upuuzi mtupu.Mitanzania sijui tukoje,badala ya kuelekeza nguvu zetu kwenye real issues, tunawaza ngono tu, hovyo sana.Halafu hatuko selective hata kidogo,kila kinachokuja tunadaka tu,this thing called Valentine, ni kitu cha kishenzi tu,chenye nia ya kuhamasisha umalaya.Ngoja watukomeshe,shida zitatupamba mpaka utosini.
 
Mboa kawaida tu hayo siku hizi

CPU nimekustukia kinakuuma unajikaza tu. Yani nikutumie msg inaonesha ilitoka kwa Asprin, afu ukaushe tu!! Hata kama unanidanganya unanipenda!! Lazima karoho kakuume kidogo. Sema ukweli!!
 
Wee acha tu;

Mimi ndo kwanza imetinga moja kwenye kiselula changu. Baada ya longolongo za kawaida inamalizia eti: "HAPPY VALENTINE SISTER"

But I am a Brother or lather a man. Nikampigia muhusika bahati akajibu kuwa na yeye alifowadiwa.

Whats the point?

POLE :coffee:
 
Wee acha tu;

Mimi ndo kwanza imetinga moja kwenye kiselula changu. Baada ya longolongo za kawaida inamalizia eti: "HAPPY VALENTINE SISTER"

But I am a Brother or lather a man. Nikampigia muhusika bahati akajibu kuwa na yeye alifowadiwa.

Whats the point?


pole mtu wangu mie ngoma ilidunda eti anahitaji kujua kesho ntakuwa wapi hapo ni tayari tar 14 tena saa sita....
 
kha! Ha,ha,ha,ha,haaaa... Kaz kwel kwel yote shda ya nn mimi nimewapanga tuu hakuna hata mmoja niliemtumia vocha sasa hv wala kumtumia sijui hapi valentine zaid ya wao kushndana huyu kaniforwadia ujumbe huu na ule mpaka naona ni bora nizime simu mana huyu anapiga tigo huyu voda yule airtel yan ni raha mustarehe kuwa na wanawake wengi hawakuumiz kichwa na kesho ninasafir
 
miaka ya nyuma mambo ya valentine yalikuwa hayasikiki kiivyo.siku hizi imekuwa kama mcharuko fulani
 
Imeshauriwa wapenzi/wachumba au mke na mume wabadilishane simu za mikononi angalau masaa sita siku ya Valentine kama kweli wanapendana kwa dhati? Inamaanisha mwachie mpenzi wako akae na simu yako na wewe uondoke na simu yake! :A S embarassed::A S embarassed:
 
hii kitu itafanya kazi kwa wale sio aminiana tu ila kama unamwamini ya nini stress za mwenzi wako.. aahaaa
 
Mbona hii meseji ni exactly kama nloltumia mpenzi wangu Sheila wa Moro, usiku wa jana!!!!!!!!!!!! Ina maana kakufowadia wewe? Asalaalee!!

Ehehehehheeheh.... Namimi pia kani''forwad''ia haka kameseji daaah sheila ametupanga bwana.. Ila mi nlie moro acha nifumue linda,.. Ntawahadithia yalojiri
 
Back
Top Bottom