Siku ukiwa karibu nae jaribu kuijepa simu yake JIDIPU uone amekusevu vipi, kama unatumatuma vocha usije ukashangaa kukuta umeseviwa vocha dar [/QUOTE]
Hahahahahahah! Dah hiyo kali
My dia, wa kwanza ni huyo jibaba aliyemtumia, mi nimetumiwa kiporo cha jibaba lake. Angekuwa wifi mbona angejidai, ni binti tu ambaye nilikutana nae wakati nipo Moro kikazi, akadai amevutiwa na mimi huku akidai anamuogopa mwanamke mwenzake (yaani alidhani nina mke au mpenzi), nikamwambia asijali kwani sina mke wala mpenzi tuendelee kuwasiliana tu kama friends
Sasa mwambie leo mbadilishane simu kama ishara ya upendo uone simu zitakazomiminika hapo utajua mpo wangapi.
Sms huwa haina maana iwapo mtumaji hajaiandika mwenyewe hasa kuhusu suala la upendo.
Kwa nini usiandike sms wewe mwenyewe ili ueleze hisia zako badala ya ku send sms aliyoiandika mwenzako???
Daaah mbona jina hilo zuri tu, halafu limekaa kimahaba-mahaba fulani hivi . . . CPU M-BAYAAAAAAAAAAAA halafu wakat huo huo unajileta mwenyewe nakukumbatia huku umelegea mwili mzima, naanza kukubusu halafu naanza k . . . . . .
Yaani sijui watu hawazisomagi vizuri au hawajui maana yake???!!!
Namshangaa kweli, katumiwa msg ya u-valentine na jibaba lake usiku wa kuamkia leo halafu anai-fowadi kwangu saa hizi saa tatu na nusu asubuhi, eti "am the first to wish you happy valentine this night, sleep well my sweet"
Mboa kawaida tu hayo siku hizi
Ha ha haaaa ha! Hiyo itakuwa komesha ubishi.Sasa mwambie leo mbadilishane simu kama ishara ya upendo uone simu zitakazomiminika hapo utajua mpo wangapi.
Wee acha tu;
Mimi ndo kwanza imetinga moja kwenye kiselula changu. Baada ya longolongo za kawaida inamalizia eti: "HAPPY VALENTINE SISTER"
But I am a Brother or lather a man. Nikampigia muhusika bahati akajibu kuwa na yeye alifowadiwa.
Whats the point?
Wee acha tu;
Mimi ndo kwanza imetinga moja kwenye kiselula changu. Baada ya longolongo za kawaida inamalizia eti: "HAPPY VALENTINE SISTER"
But I am a Brother or lather a man. Nikampigia muhusika bahati akajibu kuwa na yeye alifowadiwa.
Whats the point?
Mbona hii meseji ni exactly kama nloltumia mpenzi wangu Sheila wa Moro, usiku wa jana!!!!!!!!!!!! Ina maana kakufowadia wewe? Asalaalee!!