MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Sipiyu alokutumia ni wifi au? nimeguswa na hapo aliposema yeye ni wa kwanza!!Yaani sijui watu hawazisomagi vizuri au hawajui maana yake???!!!
Namshangaa kweli, katumiwa msg ya u-valentine na jibaba lake usiku wa kuamkia leo halafu anai-fowadi kwangu saa hizi saa tatu na nusu asubuhi, eti "am the first to wish you happy valentine this night, sleep well my sweet"