Theodora
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 802
- 570
Duh,,,,,
jamani hizi bra ,sijui sidiria za kisasa za
wasichana zinababaisha mno.......
I mean unakutana na msichana unamtazama kifuani
unakuta saa sita kamili,matiti yamejaa jaa...
Kimoyoyo unasema ntafaidi mimi....
Siku ya siku uko na huyo msichana chumbani,unayavamia
matiti na kuanza kusalula hiyo bra sijui sidiria...
Mara ghafla matiti yanadondoka chini pwaa....duh...kumbe
ni sidiria za kichina hizi sijui.....
Yaani.....ningeweza ningepiga marufuku hizo sidiria
manake unaweza zuzuka na matiti ya msichana kumbe
ni sidiria tu.....yaani.....
Really funny, lkn this serves right kwa wale wanaume ambao wanathink below the belt...Women who like faking it, naomba waendelee vivyo hivyo.