Hizi bra za kisasa za wasichana

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,885
Duh,,,,,
jamani hizi bra ,sijui sidiria za kisasa za wasichana zinababaisha mno.......

I mean unakutana na msichana unamtazama kifuani unakuta saa sita kamili, matiti yamejaa jaa...
Kimoyoyo unasema ntafaidi mimi....

Siku ya siku uko na huyo msichana chumbani, unayavamiamatiti na kuanza kusalula hiyo bra sijui sidiria...
Mara ghafla matiti yanadondoka chini pwaa....duh...kumbe ni sidiria za kichina hizi sijui.....

Yaani.....ningeweza ningepiga marufuku hizo sidiria manake unaweza zuzuka na matiti ya msichana kumbe
ni sidiria tu.....yaani.....
 
Ha ha ha!Nicheke mie,uroho utakuua Boss..Sasa ukipiga marufuku utawapataje?utavutiwa na nini sasa na wewe wababaika na ngoma saa sita?
 
mchina oyeeeeeeeeeeeeeee

wenyewe wanaita 'wonder bra'...

ukivaa lazima akina The boss wapoteze direction na kuanza kuwonder wonder
 
Dah! "Boss" umenifurahisha kweli...
Wengi wanavaa hivyo ili waonekane "attractive", na pia ili kuvutia, the opposite sex... Na ndo maana na wewe ukiwaona unapagawa...
Pole sana mzee!!!
 
Lol...hata mimi nshawahi kuingia mkenge mara kibao.

Unakutana na demu unaambiwa nyonyo hizo...zinadunda dunda tu...udenda unaanza kukutoka huku ukizipigia mahesabu ya jinsi ya namna utakavyozifaudu......unasema leo ndio leo....zitanikoma.

Mkishaanza gemu unaanza kumchojoa item moja baada ya ingine ukifikia kwenye sidiria unaifungua... unaitoa......lol....vitu hivyo vinajidondokea kaa matawi ya mgomba yaliyojikaukia.

Inaudhi sana aisee. Ni bora kujua moja tokea mwanzo kuliko kuangushwa katikati ya safari
 
sijakuelewa ina maana unataka tutembee barabarani hivyo hivyo na malapa yetu?
WEWE ndiye unapaswa kujua,ukiona vile inawezekana hayo maziwa ni yake ama yamepigwa jeki...!
 
Halafu siku hizi si sidiria tu.....kuna booty pads....kuna chupi hizo zinazofanya demu aonekane ana ****** mazuri ya mviringo mviringo. Siku hizi bana...kila demu mzuri lakini uzuri wa kununua. Si nywele, si nyonyo, si makalio, si ngozi...kheeeee...tunaelekea kuzimu
 
Lol...hata mimi nshawahi kuingia mkenge mara kibao.

Unakutana na demu unaambiwa nyonyo hizo...zinadunda dunda tu...udenda unaanza kukutoka huku ukizipigia mahesabu ya jinsi ya namna utakavyozifaudu......unasema leo ndio leo....zitanikoma.

Mkishaanza gemu unaanza kumchojoa item moja baada ya ingine ukifikia kwenye sidiria unaifungua... unaitoa......lol....vitu hivyo vinajidondokea kaa matawi ya mgomba yaliyojikaukia.

Inaudhi sana aisee. Ni bora kujua moja tokea mwanzo kuliko kuangushwa katikati ya safari

kabisa kabisa.....bora ukute kandambili ujue moja
 
halafu siku hizi si sidiria tu.....kuna booty pads....kuna chupi hizo zinazofanya demu aonekane ana ****** mazuri ya mviringo mviringo. Siku hizi bana...kila demu mzuri lakini uzuri wa kununua. Si nywele, si nyonyo, si makalio, si ngozi...kheeeee...tunaelekea kuzimu

hizo booty pads zikiingia bongo
sipati picha........
Itafikia wakati unaingia chumbani na mrembo
mnaanza kugombana kwanza..............
 
HIZO BOOTY PADS ITAKUWA KILA MSICHANA YUPO HIVI
NAONA.......


27030_416080840624_571425624_4996283_2084202_n.jpg
 
HIZO BOOTY PADS ITAKUWA KILA MSICHANA YUPO HIVI
NAONA.......

Ekzaktli!! Unyamwezini siku hizi kila demu ana matiti makubwa na makalio makubwa yaliyovingirika. Tena siku hizi kuna silicone booty injections...lol....unyamwezini ukienda kiwanja kujirusha wewe jirushe tu na wala usijidai kuomba namba za mademu maana yale mataa mataa ya rangi rangi na lile giza giza humfanya kila demu aonekane Halle Berry.....

Mtu kama mimi ndio maana nimeamua kurudi kwetu Ikungulyabashashi...huku hakuna cha wonder bra wala babake booty injections....totoz zote ni organic.....na kila kitu bado au naturale...

Kibaya zaidi siku kuna ma tranny ambao ni wazuri kushinda hata mademu wenyewe. Mtu unaweza ukawa unatoka na demu kumbe mwenzio ni transgender bana....zamani alikuwa njemba kaa wewe....hapa tumsalie mtume tu ikitokea hiyo....
 
mhhh...
bongo hawa wachina hawa....
utashangaa.
na hili la bikira bandia pia,maana nimeshakutana
na warembo kama watano sasa,wote wanasema ni mabikira
na wanataka kuolewa kwanza,THINK ABOUT THAT........
 
Dah hawa wenzetu bwana yaani wanatudanganya kila kitu, kuanzia muonekano wa nje, viungo vyao vya mwili mpaka maneno. Wanatupanga kama mafungu wachache sana walio waaminifu wa kweli. Tatizo kubwa ni kutojiamini na kujikubali. Mtu hataki kukubali kuwa yeye ndiye ameumbwa hivyo na kuwa haiwezekani kuvutia watu wote.

Yaani nywele wanatudanganya, nyuso zao wanatudanganya kwa mapambo yaliyopitiliza mpaka wengine hupoteza hadi uzuri na kuwa kama vinyago. Sasa huku kwa wazungu yaani dada zetu ni aibu tupu, mimi hujisikia vibaya sana kumwona mtoto mzuri wa kiafrica anahangaika na minywele bandia, amebeba kilo kadhaa za katani au manyoya kichwani eti kisa afanane kama mzungu, awe na nywele ndefu kama mzungu, inakera sana na kutia kinyaa.

Wazungu nao ni waongo pia, wengine hupaka rangi nywele basi kero tupu, pia huvaa mavazi yao skin tight yenye rangi ya miili yao, sasa huonekana wako soft lakini ukimvua nguo ngozi iko tofauti kabisa na alivyoonekana kwanza.
 
hizo booty pads zikiingia bongo
sipati picha........
Itafikia wakati unaingia chumbani na mrembo
mnaanza kugombana kwanza..............

mkuu mbona zishaingia..............kuna maduka kibao yanauza
 
hizo booty pads zikiingia bongo
sipati picha........
Itafikia wakati unaingia chumbani na mrembo
mnaanza kugombana kwanza..............

cheki humo mkuu

KARIBUNI DUKA LIPO KATI SINZA MORI NA MAPAMBANO LINATAZAMANA NA GBP PETROL STATIONS
KUONA BIDHAA ZAIDI INGIA
HUMU


2.jpg


INAVYOONEKANA KWA NYUMA....INA ****** NA MAHIPS

1.jpg


WALA USIHOFU...NI KAMA SPONCH YA SIDIRIAA...HAKUNA AWEZAYE STUKIA LABDA UMWAMBIE

3.jpg


MAHIPSI KAMA YANAVYOONEKANA....RANGI ZIKO NYEUSI NA CREAM SIZE L.XL.XXL
 
Duh,,,,,
jamani hizi bra ,sijui sidiria za kisasa za
wasichana zinababaisha mno.......

I mean unakutana na msichana unamtazama kifuani
unakuta saa sita kamili,matiti yamejaa jaa...
Kimoyoyo unasema ntafaidi mimi....

Siku ya siku uko na huyo msichana chumbani,unayavamia
matiti na kuanza kusalula hiyo bra sijui sidiria...
Mara ghafla matiti yanadondoka chini pwaa....duh...kumbe
ni sidiria za kichina hizi sijui.....
Yaani.....ningeweza ningepiga marufuku hizo sidiria
manake unaweza zuzuka na matiti ya msichana kumbe
ni sidiria tu.....yaani.....


Bosi hujatulia. Oa ukae na wako unayejua yukoje sio kusubiria kufungua gift paper kila siku hujui ndani kuna zawadi gani. Mkuu praktiko zitakuua, kama sio presha basi mdudu!!! Mahips kibao bongo feki ndio maana kila mwanamke mzuri,shauri yenu mnaoingia mkenge.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom