Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,292
Teh me monitres la std1-3, unaletewa ubuyu,vishet,mahindi ya kukaanga, sukari kwenye vikopo vya Ayu, ili usiwaandike majina ya usumbufu,dah nlikuwa nabebewa ad mfuko wangu wa kitambaa wa daftar kama mfalme! Duh nkapandishwa cheo na kuwa prefect wa area, la5 nikavuliwa, kwa kupigana.
F1-2,monitres, fm3 nkahama shule,fm4 nikawa montres baada ya montres nliyemkuta kupata preg na kuacha shule.dah!
A levo mhasibu Ukwata chuo mwanachuo.
F1-2,monitres, fm3 nkahama shule,fm4 nikawa montres baada ya montres nliyemkuta kupata preg na kuacha shule.dah!
A levo mhasibu Ukwata chuo mwanachuo.