GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,709
- 109,143
Mnaacha Kuwahimiza Watoto wenu wajikite na Masomo ( Taaluma ) ili waje kuwa Msaada kwa Taifa nyie mko busy Kuwapigania waanze kuwa Viongozi huko CCM Chipukizi kama mlivyo nyie Wazazi wao Serikalini.
Na kuna Mtoto Mmoja nae nimemwona ameshaanza kuwa Tapeli na Muongo Muongo kama alivyo Baba yake na kwa nilivyomuona Kisaikolojia huyu huko Ukubwani akiwa Kiongozi tukimkera atatufokea na kutuambia kama tunaona Tanzania hakutufai basi twende kuishi Somalia au Eritrea.
Na baadhi yao nasikia hata huko Shuleni MONEY BOYS ni Weak Academically kama walivyokuwa Wazazi Wao ambao Wengine walilazimika hadi kununua Majina Bandia ambayo yametusaidia kupata Doctorates zetu za kutusaidia Kugombea Urais wa nchi mwaka 2030 kwa Jeuri ya Fedha zetu tulizoiba na Kuzificha huko Cyprus na katika Mabenki makubwa Marekani, China na Afrika Kusini.
Na kuna Mtoto Mmoja nae nimemwona ameshaanza kuwa Tapeli na Muongo Muongo kama alivyo Baba yake na kwa nilivyomuona Kisaikolojia huyu huko Ukubwani akiwa Kiongozi tukimkera atatufokea na kutuambia kama tunaona Tanzania hakutufai basi twende kuishi Somalia au Eritrea.
Na baadhi yao nasikia hata huko Shuleni MONEY BOYS ni Weak Academically kama walivyokuwa Wazazi Wao ambao Wengine walilazimika hadi kununua Majina Bandia ambayo yametusaidia kupata Doctorates zetu za kutusaidia Kugombea Urais wa nchi mwaka 2030 kwa Jeuri ya Fedha zetu tulizoiba na Kuzificha huko Cyprus na katika Mabenki makubwa Marekani, China na Afrika Kusini.