Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
nadhani ni fundisho ili wengine wasitudie
Jamii haifundishwi hivyo kaka.
nadhani ni fundisho ili wengine wasitudie
Future World Marketing!oaHIVI NINASIKI ITV WAMELETA KING'amuzi chao je ni kweli?
Kwani tupo hapa kukubaliana!!?? hata yeye hakubaliani na wewe!!Sikubaliani na wewe mkuu kulikuwa hakuna sababu ya msingi ya kuonyesha kijana akichomwa moto mpaka kifo kwenye Tv yao, na mbaya zaidi bila hata tahadhari, siyo sahihi kwa mtazamo wangu.
Sikubaliani na wewe mkuu kulikuwa hakuna sababu ya msingi ya kuonyesha kijana akichomwa moto mpaka kifo kwenye Tv yao, na mbaya zaidi bila hata tahadhari, siyo sahihi kwa mtazamo wangu.
Sioni tatizo kwa ITV kuonyesha matukio kama hayo, hata kama kuna watoto. Wakiona mwizi anavyochomwa moto ni moja ya mafunzo kwao. Imefikia wakati ambapo watoto wanaweza kuangalia matukio kama hayo ambayo yatawafungua akili zaidi na kuelewa kuwa kuna vita, kuna ajali na kuna vitu vya kuvikwepa na kuvikimbilia.
Kwa fundisho sio tatizo. Ingekuwa picha za ngono na vitendo vya mapenzi ningewalaumu ITV.
Kwani tupo hapa kukubaliana!!?? hata yeye hakubaliani na wewe!!
Yaani kwa ujumla hawa ITV & Radio1 thinktank cabinet yao ni ya vilaza kweli kweli, almost wana kila aina za facilities muhimu kwa waandishi wa habari, lakini habari zao bado zinakosa mvuto! ila watangazaji wao wakihamia vituo vingine wana perform wonders! sijui tatizo ni operating procedures au managerial
hapa najiuliza kwanini watu huwa tunataka kuona habari za matukio kama yale yaliyotokea songea juzijuzi...na tena utasikia watu wananalalamika vyombo vyetu vya habari ni fake kwa sababu badala ya kuonyesha matukio kama hayo wanaonyesha vipindi vingine kama mziki...humu humu watu huwa wanalialia kila siku linapokea tukio lolote(hata liwe la umwagaji damu) "wekeni picha wekeni picha wekeni picha"...hayo matukio yanatofauti gani na hili la kijana kuchomwa moto? siungi mkono jamaa waliomchoma kijana moto ila jamii inatakiwa ione na vivile kukemewa kuhusu kujichukulia sheria mkononi...!Ni sahihi kwa kuwa hatuna askari nchi hii
waliopo ndo wanaowatuma.
kwa anaebisha ngoja yamkute utakuwa wa kwanza!!oa
Sr. Magdalene.
Siyo ITV tu, hata jamaa wa clouds nao walionyesha kijana akiwa anafanywa bbq live on TV mbele ya watoto wetu, japo kuwa wao walitoa tahadhari kuhusu picha.
nadhani ni fundisho ili wengine wasitudie