Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
Hata kama huyo mtu alikuwa tapeli au mwizi, ndiyo afanyiwe unyama kiasi hicho?
Yaani kweli hayo makosa aliyotuhumiwa yanastahili hiyo adhabu aliyoipata?
Tena mbele ya chombo cha habari mtu anachomwa moto na wao wanaendelea tu kurekodi na hatimaye kuirusha hiyo footage kwenye taarifa yao ya habari bila ilani yoyote ile.
Have we become that desensitized to images of violence and awful cruelty like this one in the video below that we don't get bothered by it anymore?
Yaani kweli hayo makosa aliyotuhumiwa yanastahili hiyo adhabu aliyoipata?
Tena mbele ya chombo cha habari mtu anachomwa moto na wao wanaendelea tu kurekodi na hatimaye kuirusha hiyo footage kwenye taarifa yao ya habari bila ilani yoyote ile.
Have we become that desensitized to images of violence and awful cruelty like this one in the video below that we don't get bothered by it anymore?
Last edited by a moderator: