Uchaguzi 2020 Hivi pamoja na "promo" yote ya mabango yaliyotapakaa nchi nzima, ni kwanini CCM inapelekwa mchamchaka na Tundu Lissu?

Sababu CCM mpya imewaletea njaa na kubomoa mioyo ya watz Lissu ameahidi kurejesha furaha na kuondoa njaa, hata wwe utamfata nani hapo.
 
Dikteta huwa tumia watumishi wa umma kuonekana kuwa anapendwa sn
Dikteta wote uwekeza kwenye propaganda zaidi kwa futereless people means wanyonge coz Hawa ni rahisi kuwapropaganda,unakuta masikini anashabikia ndege Hali hata ukiwauuza ukoo mzima huwezi pata nauli ya kupandia ndege
 
T
Hahahaaa endelea kujifariji! Eti Tinde iwe na watz wanaotufautiana sana mtizamo na Kagongwa, Kahama na Nzega na wakati hilo ni eneo moja linalofanana changamoto?
Danganya maccm wenzako tu
Unaweza kuturushia clip ya tinde na hayo maeneo mengine tafadhali.
 
Kuhusu umati wa watu anao ukusanya, hiyo ni sawasawa na tanker la petrol likianguka umati linaokusanya na madhara yake - waulize Morogoro mwaka juzi.
Nilitaka kukusifu kwa ubunifu ulioandika huko juu.
Huu mstari wa mwisho ukaharibu kabisa kila kitu ulichoweka kwenye bandiko zima.

Hata hivyo, hiyo dhana yako ya mwanafunzi anayelazimisha A ni ya kipuuzi kabisa.
Hakuna mwanafunzi mwenye uwezo mkubwa anayehangaika kiasi hicho kuitafuta A.
 
mnatiana ujinga humu na huko twitter mkija kupigwa KO mnasingizia kuna wizi.

ndio maana wananchi huwa hawaendi na nyinyi wakati kama huo.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Nabaki nacheka sana,kuna vilaza walikuwa wanatembea nchi nzima eti wanaweka mitambo.

Nina mashaka na elimu zao hakika.

Huu mwaka hawatakuja usahau maisha yao yote

Alisema TL hatujawahi kupata rais mshamba kama JPM.Aibu amigo
 
Ndugu yangu nakueleza tu ukweli ,chadema nao wanapiga promo vibaya mno mi mwanzo nilikuwa najua watu wanafuatilia kupitia simu ndio wanajua mikutano ilipo lakini jana nilikuwa natokea mwanza nikapumzika tinde kwa siku mbili, huwezi amini matangazo kila dakika gari linapita wamekesha wakitangaza kuwa lissu atapita kuhutubia hapo sasa kilichotokea ni kwamba hakuna aliyejitokeza kumsikiliza
akaamua kujiondokea mpaka kahama, hoja yangu ni kwamba wanaojitokeza kwenye kampeni za lissu hawajileti wanatafutwa kwa Matangazo na ushawishi kubwa kwa ujumla kuna usanii kwenye kampeni japo si sehemu zote.
Hivi wewe unaona kweli mabango yaliyozagaa nchi nzima, yana uwiano kati ya yale ya CCM VS CHADEMA?

Hivi wewe hujaona "upendeleo" maalum unaofanywa na Televisheni yetu ya Taifa TBC, katika utangazaji wa kampeni, kwa kumpendelea dhahiri mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli, kwa kumpa airtime kubwa zaidi?
 
Fedha yote ya kampeni CCM ni fedha za umma. Hii inazidisha hasira kubwa sana. Kifo cha CCM kwa lugha yeyote ile ni tarehe 28 Oktoba 2020.
Kwani hawapati ruzuku na ikumbukwe wana wabunge wengi kuliko chama kingine.
 
Watanzania tutamuonesha kama tunajilewa hawezi kutumia pesa zote hizo kwa kufanya kampeni wakati alikuwa na mda wa kufanya mema kwa nchi na watu kumoenda pasipo kutumia nguvu kubwa kama anavofanya yy
 
Kuna msemo wa wahenga usemao kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza......................

Kwa namna CCM ilivyosambaza mabango nchi nzima, wakati wapinzani wao wa kisiasa, vyama vya upinzani, wakiwa hoi bin taabani, naweza ulinganisha usemi huo na hali halisi ya hivi sasa.

Hivi unawezaje kulinganisha mapokezi makubwa mno anayoyapata Tundu Lissu, ukimlinganisha na John Magufuli, wakati akiwa hana bango hata moja nchi nzima?

Ni wazi kuwa watu wao wa "marketing" wanafanya kazi ya ziada katika kufanya hiyo "promo" kwa kumtangaza kwa nguvu zote huyo mgombea wao wa kiti cha Urais, John Pombe Magufuli na ya wagombea wengine wa CCM.

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi nguvu yote wanayotumia CCM ni ya nini wakati walishautangazia ulimwengu, kuwa vyama vya upinzani vimeshajifia "natural death" kutokana na utendaji wa kutukuka wa Magufuli!

Nimejiuliza pia hivi ni serikali ya CCM hii hii ambayo imekuwa ikisema kwa miaka 5 mfululizo, ikiwagomea kabisa kabisa kuwaongezea mishahara ya wafanyakazi wa Umma kwa madai kuwa serikali haina fedha hizo za kuwaongezea mishahara watumishi hao, lakini wakati huo huo wananchi tukishuhudia chama tawala cha CCM kikitapanya mali ya Umma kwa kusambaza mabango kila mahali hadi kubandika mabango hayo kwenye miti na kwenye sehemu za "kujisaidia" watu uchochoroni?

Hivi wananchi wanajisikiaje kuhusu matumizi haya mabaya kabisa ya pesa, wakati hospitali zetu nyingi, wananchi wengi wanakufa, kwa kukosa dawa muhimu za panadol?

Hivi nyinyi maccm mnawezaje kufanya "promo" kwenye mikutano yenu ya CCM, kwa kuwalipa mamilioni ya pesa wasanii maarufu akina Diamond, wakati watoto wetu wanakalia matofali, kwa kukosa madawati mashuleni?

Imenenwa na wahenga kuwa kupanga ni kuchagua..............

Kwa hiyo kwa CCM kwao wamepanga, kipaumbele chao ni kufanya "promo ya kufa mtu" kwa mgombea wao Magufuli nchi nzima hadi yanakinaisha na kuleta kichefu chefu!
Over product promotion is a sign of questionable quality. CCM are a poor quality product, and thus, needs heavy promotion.
 
Kuna msemo wa wahenga usemao kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza......................

Kwa namna CCM ilivyosambaza mabango nchi nzima, wakati wapinzani wao wa kisiasa, vyama vya upinzani, wakiwa hoi bin taabani, naweza ulinganisha usemi huo na hali halisi ya hivi sasa.

Hivi unawezaje kulinganisha mapokezi makubwa mno anayoyapata Tundu Lissu, ukimlinganisha na John Magufuli, wakati akiwa hana bango hata moja nchi nzima?

Ni wazi kuwa watu wao wa "marketing" wanafanya kazi ya ziada katika kufanya hiyo "promo" kwa kumtangaza kwa nguvu zote huyo mgombea wao wa kiti cha Urais, John Pombe Magufuli na ya wagombea wengine wa CCM.

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi nguvu yote wanayotumia CCM ni ya nini wakati walishautangazia ulimwengu, kuwa vyama vya upinzani vimeshajifia "natural death" kutokana na utendaji wa kutukuka wa Magufuli!

Nimejiuliza pia hivi ni serikali ya CCM hii hii ambayo imekuwa ikisema kwa miaka 5 mfululizo, ikiwagomea kabisa kabisa kuwaongezea mishahara ya wafanyakazi wa Umma kwa madai kuwa serikali haina fedha hizo za kuwaongezea mishahara watumishi hao, lakini wakati huo huo wananchi tukishuhudia chama tawala cha CCM kikitapanya mali ya Umma kwa kusambaza mabango kila mahali hadi kubandika mabango hayo kwenye miti na kwenye sehemu za "kujisaidia" watu uchochoroni?

Hivi wananchi wanajisikiaje kuhusu matumizi haya mabaya kabisa ya pesa, wakati hospitali zetu nyingi, wananchi wengi wanakufa, kwa kukosa dawa muhimu za panadol?

Hivi nyinyi maccm mnawezaje kufanya "promo" kwenye mikutano yenu ya CCM, kwa kuwalipa mamilioni ya pesa wasanii maarufu akina Diamond, wakati watoto wetu wanakalia matofali, kwa kukosa madawati mashuleni?

Imenenwa na wahenga kuwa kupanga ni kuchagua..............

Kwa hiyo kwa CCM kwao wamepanga, kipaumbele chao ni kufanya "promo ya kufa mtu" kwa mgombea wao Magufuli nchi nzima hadi yanakinaisha na kuleta kichefu chefu!
wanakata pumzi mapema saaana hawaamini macho yao
 
Kuna msemo wa wahenga usemao kuwa kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza......................

Kwa namna CCM ilivyosambaza mabango nchi nzima, wakati wapinzani wao wa kisiasa, vyama vya upinzani, wakiwa hoi bin taabani, naweza ulinganisha usemi huo na hali halisi ya hivi sasa.

Hivi unawezaje kulinganisha mapokezi makubwa mno anayoyapata Tundu Lissu, ukimlinganisha na John Magufuli, wakati akiwa hana bango hata moja nchi nzima?

Ni wazi kuwa watu wao wa "marketing" wanafanya kazi ya ziada katika kufanya hiyo "promo" kwa kumtangaza kwa nguvu zote huyo mgombea wao wa kiti cha Urais, John Pombe Magufuli na ya wagombea wengine wa CCM.

Nimekuwa pia nikijiuliza hivi nguvu yote wanayotumia CCM ni ya nini wakati walishautangazia ulimwengu, kuwa vyama vya upinzani vimeshajifia "natural death" kutokana na utendaji wa kutukuka wa Magufuli!

Nimejiuliza pia hivi ni serikali ya CCM hii hii ambayo imekuwa ikisema kwa miaka 5 mfululizo, ikiwagomea kabisa kabisa kuwaongezea mishahara ya wafanyakazi wa Umma kwa madai kuwa serikali haina fedha hizo za kuwaongezea mishahara watumishi hao, lakini wakati huo huo wananchi tukishuhudia chama tawala cha CCM kikitapanya mali ya Umma kwa kusambaza mabango kila mahali hadi kubandika mabango hayo kwenye miti na kwenye sehemu za "kujisaidia" watu uchochoroni?

Hivi wananchi wanajisikiaje kuhusu matumizi haya mabaya kabisa ya pesa, wakati hospitali zetu nyingi, wananchi wengi wanakufa, kwa kukosa dawa muhimu za panadol?

Hivi nyinyi maccm mnawezaje kufanya "promo" kwenye mikutano yenu ya CCM, kwa kuwalipa mamilioni ya pesa wasanii maarufu akina Diamond, wakati watoto wetu wanakalia matofali, kwa kukosa madawati mashuleni?

Imenenwa na wahenga kuwa kupanga ni kuchagua..............

Kwa hiyo kwa CCM kwao wamepanga, kipaumbele chao ni kufanya "promo ya kufa mtu" kwa mgombea wao Magufuli nchi nzima hadi yanakinaisha na kuleta kichefu chefu!
CCM tumewakataaa
 
Back
Top Bottom