Tundu Lissu ni shujaa wa nyakati zijazo na CHADEMA ndio chama chetu

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,984
18,817
Kati ya mambo mengi ambayo kwayo Tundu Lissu atakumbukwa nayo ni ushujaa wake katika kutetea ukweli. Lissu hana unafiq na yupo tayari hata kufa ili kutetea ukweli. CHADEMA tuna hazina kubwa sana kupitia kwa mwanasiasa huyu machachari Tundu Lissu na tunapaswa kumuunga mkono, ameonesha njia!

Huu muungano, hii katiba na hii tume ya uchaguzi kwa jinsi vilivyo sasa ni kejeli kwa Watanzania. Tunashukuru kuwa CHADEMA wamevalia njuga mambo haya na watakumbukwa daima kwa kuwafungua Watanzania macho na kuwaonesha njia.

Watanzania nani aliyetuloga hadi kufikia makabila kuhamishwa maeneo yao ya asili kupisha Waarabu wawinde wanyama?!

Watanzania tuwaunge mkono CDM tuondokane na udhalimu wa CCM, wakati ni huu!
 
Kati ya mambo mengi ambayo kwayo Tundu Lissu atakumbukwa nayo ni ushujaa wake katika kutetea ukweli. Lissu hana unafiq na yupo tayari hata kufa ili kutetea ukweli. CHADEMA tuna hazina kubwa sana kupitia kwa mwanasiasa huyu machachari Tundu Lissu na tunapaswa kumuunga mkono, ameonesha njia!

Huu muungano, hii katiba na hii tume ya uchaguzi kwa jinsi vilivyo sasa ni kejeli kwa Watanzania. Tunashukuru kuwa CHADEMA wamevalia njuga mambo haya na watakumbukwa daima kwa kuwafungua Watanzania macho na kuwaonesha njia.

Watanzania nani aliyetuloga hadi kufikia makabila kuhamishwa maeneo yao ya asili kupisha Waarabu wawinde wanyama?!

Watanzania tuwaunge mkono CDM tuondokane na udhalimu wa CCM, wakati ni huu!

..LISSU alianza kujulikana mwaka 1996/97 wakati alipowatetea wananchi wa RUFIJI DELTA wasinyang'anywe maeneo yao ya kuvua na kupewa muwekezaji. Huyu bwana hajabadilika kimsimamo mpaka leo.
 
Back
Top Bottom