Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu nimekuwa nikisikia neno hili changudoa na kujiuliza nini hasa chanzo cha hawa ndugu kujiingiza na tabia changu aifanyao?wakati mwingine nimekuwa nikijiuliza kuwa hii biashara ni wadada maskini au ambao hawajasoma au laah.Mpaka hivi ninavyoandika hii hoja sijapata jibu.
ukienda casino,Jolly Club,maisha club,club ambience kwa ufupi tu japo zipo kumbi nyingi ambazo unaweza kutana na hao wadada achilia mbali kwa mama cheni na kinondoni makaburini,temeke na mahosetli mengi (hostel ya Buguruni,mabibo Hostel kwa ufupi tu.
Wakuu nini hasa kinachopelekea dada yangu mkubwa kujiuza?ni kweli nikutafuta kipato au ni hulka?nikufuata mkumboa au ni sifa za kijinga?
kama nikutafuta kipato mbona wenye kazi zao utawakuta wapo kwenye biashara hiyo?
Na kama ni ukosefu wa elimu mbona walioko vyuoni ndo wanaongoza jahazi?
reference hall three,mabibo hostel,mzumbe,St gasper Mwanza tumaini university?
wakuu nisaidieni maake imekuwa kero na tabia hii ya ndugu zangu.
ukienda casino,Jolly Club,maisha club,club ambience kwa ufupi tu japo zipo kumbi nyingi ambazo unaweza kutana na hao wadada achilia mbali kwa mama cheni na kinondoni makaburini,temeke na mahosetli mengi (hostel ya Buguruni,mabibo Hostel kwa ufupi tu.
Wakuu nini hasa kinachopelekea dada yangu mkubwa kujiuza?ni kweli nikutafuta kipato au ni hulka?nikufuata mkumboa au ni sifa za kijinga?
kama nikutafuta kipato mbona wenye kazi zao utawakuta wapo kwenye biashara hiyo?
Na kama ni ukosefu wa elimu mbona walioko vyuoni ndo wanaongoza jahazi?
reference hall three,mabibo hostel,mzumbe,St gasper Mwanza tumaini university?
wakuu nisaidieni maake imekuwa kero na tabia hii ya ndugu zangu.