Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,914
- 218,700
Hakuna aliyesahau kwamba Waliopitisha Kikokotoo kwa kishindo ndani ya Bunge ni Wabunge wa CCM , Akiwemo huyu anayeitwa Musukuma, meza ziligongwa nusura zitoboke kwa kushangilia kikokotoo.
Sasa kinachotokea leo kwa Wabunge wa CCM kupambana na kutoa mapovu bungeni kupinga kikokotoo kinashangaza! Yaani wale waliopitisha kikokotoo hicho leo wanaonekana kukaza shingo na kumwaga povu kukipinga!
Huu bila shaka ni utapeli wa kiwango cha chini sana wa kisiasa kwa lengo la kuwadanganya wananchi ambao ccm imewafanya mabwege kwa zaidi ya miaka 60 na hili linatokana na uchaguzi unaokuja.
Lakini je Watanzania ni Mabwege kiasi cha kusahau kwamba Wabunge wa ccm ndio waliopitisha kikokotoo?
Ngoja tuone mwisho wa hii sinema.
Sasa kinachotokea leo kwa Wabunge wa CCM kupambana na kutoa mapovu bungeni kupinga kikokotoo kinashangaza! Yaani wale waliopitisha kikokotoo hicho leo wanaonekana kukaza shingo na kumwaga povu kukipinga!
Huu bila shaka ni utapeli wa kiwango cha chini sana wa kisiasa kwa lengo la kuwadanganya wananchi ambao ccm imewafanya mabwege kwa zaidi ya miaka 60 na hili linatokana na uchaguzi unaokuja.
Lakini je Watanzania ni Mabwege kiasi cha kusahau kwamba Wabunge wa ccm ndio waliopitisha kikokotoo?
Ngoja tuone mwisho wa hii sinema.