Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,091
- 32,519
Wana JF.
Kuna habari tumezisikia kupitia kwenye vyombo vya habari hapa Tanzania, kuwa Mwenyikiti wa Chadema, Freeman Mbowe anakidai chama Sh. 188 milioni. aliongezea kununua vifaa, Bendera, Kanga, Kofia, Fulana, kwa ajili ya uchaguzi Mkuu mwaka 2010.
Na Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo anakidai chama Sh. 296 milioni, kwa ajili Helikopta zake zilitumika kwenye kampeni za uchaguzi Mkuu mwaka 2010
Kuna habari tumezisikia kupitia kwenye vyombo vya habari hapa Tanzania, kuwa Mwenyikiti wa Chadema, Freeman Mbowe anakidai chama Sh. 188 milioni. aliongezea kununua vifaa, Bendera, Kanga, Kofia, Fulana, kwa ajili ya uchaguzi Mkuu mwaka 2010.
Na Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo anakidai chama Sh. 296 milioni, kwa ajili Helikopta zake zilitumika kwenye kampeni za uchaguzi Mkuu mwaka 2010