Hivi ndivyo Mbowe anaadhimisha miaka 50 ya Uhuru na Kuzaliwa kwake!

Happy Birthday Freeman Mbowe!

Conglatulations.......

birthday yake ilikuwa septemba. Na jana ilikuwa ni ubatizo day. Umechelewa ndg, subiri septemba mwakani.

Hapa anafanya politics.
 
Hapo Boma mbowe inabidi pawe Clean kweli tushindane na moshi mjini, hasa maeneo ya soko la zamani na hapa stendi mpya! Hiyo movement ya Keep boma clean nimeipenda! HONGERA JEMBE MBOWE MUNGU AKULINDE .

Unaona huyu nae mambo ya kitaifa analeta tena uchagga!
 
nimesoma vizuri. Nina uhakika na ninachosema.

Nauliza, kama amezaliwa septemba 61 then disemba 61 akabatizwa. Sasa anachosherekea ni siku ya kuzaliwa kwake au siku ya ubatizo?.

Sherehe yake imekaa kisiasa siasa. Ni vigumu kuwaruhusu wachaga watawale nchi hii. Mungu atuepushie mbali..

Mzee bado hujaelewa na seems huwezi kuelewa. Kuna jambo ambalo unahitaji ufafanuzi zaidi ingawa bado nina mashaka kama utaelewa...look kwa imani ya kikristo ni kwamba mtu akibatizwa amezaliwa upya "ndiyo maana ya ubatizo" so yeye kusherehekea kuzaliwa kwake tarehe hiyo na mwezi huo bado ni sahihi kwake.

Mwisho: Uwezo wako wa kujenga hoja ni hafifu mno, na nikutahadharishe sana kauli zako zisizokuwa na mantinki, hoja wala busara uachane nazo. Kauli za "sifa za raisi", Rais hawezi kutoka "kaskazini", nafanya hivyo kujitafutia sifa nk...huu ni upuuzi uliopita mipaka kwa kijana au mzee kama unavyojiita kuweka kwenye post kama hii.

My Take: Mods watu wa jinsi hii bana hawapaswi kusamehewa hata kidogo, tulishasema posts ka kidini, ukabila na namna yoyote ya uchochezi zisipewe nafasi hata kidogo. Hizi zinapaswa kwenda dust bin na wahusika kupewa onyo kama si kupigwa BAN.
Asante.
 
Kama amezaliwa september inakuaje asherehekee Disemba?. Au ni kutafuta sifa?.

Hizi ni sifa za uraisi, hana lolote.

Raisi hawezi kutoka KASKAZINI. Atausikia kwenye bomba.


f.u.ck.$%%%%% uuuuuuuuuuuuu?
 
Mbowe mbona anachanganya mambo binadamu wote uwa wana Birthday moja tu..

Anachofanya Mbowe ni kupoteza muda wake na kulazimisha vitu ambavyo havipo..

Hakuna uhusiano wowote kati ya Desemba (12) na September (9),

Mbowe unataka kutuambia kila mwaka unafanya sherehe za kuzaliwa mara mbili?
 
Hapo Boma mbowe inabidi pawe Clean kweli tushindane na moshi mjini, hasa maeneo ya soko la zamani na hapa stendi mpya! Hiyo movement ya Keep boma clean nimeipenda! HONGERA JEMBE MBOWE MUNGU AKULINDE .

jInakuwaje unamwita kiongozi wako 'JEMBE'?

Kiinachoitwa jembe hutiwa mpini.
 
Mbowe mbona anachanganya mambo binadamu wote uwa wana Birthday moja tu..

Anachofanya Mbowe ni kupoteza muda wake na kulazimisha vitu ambavyo havipo..

Hakuna uhusiano wowote kati ya Desemba (12) na September (9),

Mbowe unataka kutuambia kila mwaka unafanya sherehe za kuzaliwa mara mbili?

Hapa tunajadiri birthday za watu au shughuli za maendeleo anazotarajia kuzifanya? Mbona hilo mnalokomalia halina tija yoyote. Watu makini hujadiri vitu vya msingi na si upuuzi, mtu akiamua kusherehekea birthday kila siku inatuhusu nini sisi. Acheni utoto kama si ujinga na ujuha bana...mna bore sana ninyi watu to mention few " Mzee na Ritz"
 
yule muislam aliyempiga kofi wakati wa uchaguzi atakuwepo?nadhani itakuwa nafasi nzuri amuombe Radhi.mbowe amefikiria vizuri badala ya kuhangaika na uchochezi na maandamano yaSiyo na tija.
Hilo neno "uchochezi" halina maana yoyote. Ni neno linalotumiwa na watu wa aina ya akina Gaddafi, Assad, CCM, n.k. Watu waovu waliojawa na woga.
 
Unaona huyu nae mambo ya kitaifa analeta tena uchagga!

Nadhani upunguze uvivu wa kusoma ndugu yangu.ungekuwa umesoma hii habari tangu mwanzo..na kutambua kuwa manispaa ya moshi ni moja kati ya zinazoongoza kwa usafi Tanzania,kulingana na ranks za karibuni..ungejifunza.
 
birthday yake ilikuwa septemba. Na jana ilikuwa ni ubatizo day. Umechelewa ndg, subiri septemba mwakani.

Hapa anafanya politics.

Mzee nakukaribisha kwenye thread yangu yenye kichwa Star TV.... Nadhani mawazo na uzoefu wako vinahitajika.
 
Nadhani upunguze uvivu wa kusoma ndugu yangu.ungekuwa umesoma hii habari tangu mwanzo..na kutambua kuwa manispaa ya moshi ni moja kati ya zinazoongoza kwa usafi Tanzania,kulingana na ranks za karibuni..ungejifunza.

si za karibuni! Za muda mrefu sana! Hata miaka kumi sasa!
 
Nimeipenda sana hii Mwekiti Mbowe nafikiri kila mwanachadema akifanya hivi kwa nafasi yake tutajitofautisha sana na hao mafisadi na makupe.
Kweli kabisa. Kila Mbunge wa CDM haufanye mkakati kama huu jimboni kwake. Na kule ambapo si majimbo ya CDM utafutwe utaratibu wa chama kuonekana katika kuendesha shughuli za maendeleo kwenye grassroots. Najua kuna gharama lakini penye nia pana njia.
 
Hapa tunajadiri birthday za watu au shughuli za maendeleo anazotarajia kuzifanya? Mbona hilo mnalokomalia halina tija yoyote. Watu makini hujadiri vitu vya msingi na si upuuzi, mtu akiamua kusherehekea birthday kila siku inatuhusu nini sisi. Acheni utoto kama si ujinga na ujuha bana...mna bore sana ninyi watu to mention few " Mzee na Ritz"

kwani si typo ile?! Ama... Kwani typo inajadiliwaga??!
 
Hapa tunajadiri birthday za watu au shughuli za maendeleo anazotarajia kuzifanya? Mbona hilo mnalokomalia halina tija yoyote. Watu makini hujadiri vitu vya msingi na si upuuzi, mtu akiamua kusherehekea birthday kila siku inatuhusu nini sisi. Acheni utoto kama si ujinga na ujuha bana...mna bore sana ninyi watu to mention few " Mzee na Ritz"

Nadhani wewe ndio unajichanganya inawezekana una mahaba sana na Mbowe..

Soma kicha cha habari kwenye hii thread..
"Hivi ndivyo Mbowe anaadhimisha miaka 50 ya Uhuru na Kuzaliwa kwake"

Sasa wewe utaki tujadili Kuzaliwa kwake?

Kama upendi watu wajadili kaa pembeni usiwapangie watu wazima cha kuandika
 
Mbowe mbona anachanganya mambo binadamu wote uwa wana Birthday moja tu..

Anachofanya Mbowe ni kupoteza muda wake na kulazimisha vitu ambavyo havipo..

Hakuna uhusiano wowote kati ya Desemba (12) na September (9),

Mbowe unataka kutuambia kila mwaka unafanya sherehe za kuzaliwa mara mbili?
Siku yake ya 'kuzaliwa kiroho' (ubatizo) atafanya harambee ya kujenga Msikiti. Na mgeni rasmi ni Sheikh wa Mkoa. Kweli siasa ni mchezo mchafu.
 
Kweli kabisa. Kila Mbunge wa CDM haufanye mkakati kama huu jimboni kwake. Na kule ambapo si majimbo ya CDM utafutwe utaratibu wa chama kuonekana katika kuendesha shughuli za maendeleo kwenye grassroots. Najua kuna gharama lakini penye nia pana njia.
Kuhusu gharama usiwe na shaka, kwa kuwa mwykt katuonyesha mfano wa harambeee! Siasa za kenya za tangu enzi hizooo za hayati Mzee Jomo Kenyata na Mama Ngina eeenh?
 
Back
Top Bottom