UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,529
- 7,733
hizo sifa zote sababu ya urais
Wabongo sijui mpaka mfanyiwe nini ndo mridhike. Mtu akiwa fisadi kama Kikwete mnalalamika; mtu akijihusisha kwenye shughuli za maendeleo kama hizi anazoanzisha Mbowe mnalalamika pia; Mtu akiamua kukaa tu bila kufanya lolote mnamwita *****! Hivi mnataka mtu afanye nini ndo mrizike?