Dah, hili nalo linaweza kuwa somo jipya kwangu.
Imekuwa ni kawaida kwa wanawake wengi kuomba salio
kwa wapenzi wao, ajabu ni kwamba huwa hampigi simu
bali mmezoea kubeep, tena hata ukitumiwa salio bado utabeep
Asubuhi tu umetuma 5,000 Jioni anakubeep, bado sijaelewa hapa!
Hivi ninyi ni nani hasa huwa mnapenda kumpigia?
watu wanatoa vx wanaendesha wengine yeye buku tano tena ya tigo roho inamuuma bwana daaah#
mkuu upo kaka
mzima mkuu
naona jamaa ametoa 5000 roho inamuua mbaya
wengine hiyo sio issue bana
Bebii tuko level tofauti humu wengine wanahongana prado, nyumba, gx n.kmapenzi ya kishamba na ya zamani vocha kitu gani kitu gani wewe? watu wanaombwa vitz na wanatoa?
acha ubahili
Hivi nyie wanaume wa dot com mbona hamuishi kulalamika? Fanyeni kazi nyie muongeze kipato sio kulilia lia kila siku kama watoto.
Baba Enock kwenye phone book utakuwa umeseviwa kwa jina la VOCHA DAR lol!!!
Bebii tuko level tofauti humu wengine wanahongana prado, nyumba, gx n.k
halafu kuna level yetu ya kati ambayo ni simu, sofa kitanda n.k pia kumbuka
kuna level ya chini 1000, - 10,000. blauzi za 3000. Yeboyebo n.k
Naomba unitumie vocha ya Tigo ya 5000/=Hivi nyie wanaume wa dot com mbona hamuishi kulalamika? Fanyeni kazi nyie muongeze kipato sio kulilia lia kila siku kama watoto.
husninyo wewe ni wa level iyo ya 2? ahahaaakama upo hiyo level ya mwisho bora usihonge hadi uingie next level.
Wambie mdogo wangu, una buzi lako linatuma 50,000, wewe ukituma hako ka 5,000 unataka attention! nani kasema! unabeepiwa ili ukate tamaa uuvute to heaven! lol
Jana nilikutumia vocha ya 500 leo najitahidi nakutumia 1000 ikiisha utanieleza uliwapigia akina nani
Tatizo ni pale Wabeijing wanapolalamikia haki sawa, ndo maanaHivi nyie wanaume wa dot com mbona hamuishi kulalamika? Fanyeni kazi nyie muongeze kipato sio kulilia lia kila siku kama watoto.
papaa gazeti muzee ya botMzee wa Mavocha, Mutu ya Watu, Pedejee Vocha!
watu wanatoa vx wanaendesha wengine yeye buku tano tena ya(na) tigo (wanatoa) roho inamuuma bwana daaah
Nipunguzie vocha ya 250 kwenye simu yanguwatu wanatoa vx wanaendesha wengine yeye buku tano tena ya tigo roho inamuuma bwana daaah
watu wanatoa vx wanaendesha wengine yeye buku tano tena ya tigo roho inamuuma bwana daaah
Naomba unitumie vocha ya Tigo ya 5000/=
inaelekea huyo ukiomba hela ya saluni uambatanishe na profoma invoice 3 za bei tofauti ili achague ya bei nafuu pia urudi na receipt ndo mtaelewanawe mshikaji mlpare nini
buku na unauliza amempigia nani