Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,675
Mapenzi ni upuuzi tu ngoja nifocus na maisha, kiukweli nimefunga nimeomba kwa Mungu mke wangu siku akifika nitamuona tu, yaani sitatumia nguvu nyingi kama ninayotumia kwa huyu binti.
Kiukweli binti ni mzuri binti wa Manyovu huko mnanira asili yake ni kama mtusi fulani kutoka rwanda, black beauty yaani mashallah, huyu binti nilikua namuona church tu nikajaribu kutupia nia, nilimwambia nia yangu ni kua mchumba wangu then mke wangu, mwanzoni akachomoa mimi nikafuta namba yake nikafocus na mambo yangu maana huwa sipendi kujipa pressure za kijinga, lakini nikimuangalia mapigo yake ni kama alikua ananitaka, kwasababu hawezi pitisha siku mbili ananicheck, ikabidi nitangaze nia kwa mara nyingine akanikubalia.
Ajabu ni kwamba tokea anikubalie, moyoni mwangu nimedevelop hisia za juu sana kwake, namuwazia sana kuhusu future yetu, lakini dogo ni mpuuzi, namtumia sms asubuhi anajibu jioni, nilimuweka wazi kwamba hiyo tabia sipendi na kama alifanya maamuzi ya kunikubalia bila kutafakari vizuri arudi kuchakata mawazo yake, lakini yeye anasisitiza ananipenda mno, kwa experience yangu watu wakipendana lazima mawasiliano yawepo, najiuliza huyu hata kama nikikomaa nimuoe huko mbeleni atakuja kunisumbua tu?
Nina marafiki wengine wa kike ambao sio wapenzi wangu lakini tunajuliana hali mara nyingi zaidi, lakini huyu sijui anawaza nini kichwani mwake au kwa sababu bado mdogo? Ana miaka 21 sasa hivi.
Nb, hana kazi yoyote ya maana inayomfanya awe busy.
Kiukweli binti ni mzuri binti wa Manyovu huko mnanira asili yake ni kama mtusi fulani kutoka rwanda, black beauty yaani mashallah, huyu binti nilikua namuona church tu nikajaribu kutupia nia, nilimwambia nia yangu ni kua mchumba wangu then mke wangu, mwanzoni akachomoa mimi nikafuta namba yake nikafocus na mambo yangu maana huwa sipendi kujipa pressure za kijinga, lakini nikimuangalia mapigo yake ni kama alikua ananitaka, kwasababu hawezi pitisha siku mbili ananicheck, ikabidi nitangaze nia kwa mara nyingine akanikubalia.
Ajabu ni kwamba tokea anikubalie, moyoni mwangu nimedevelop hisia za juu sana kwake, namuwazia sana kuhusu future yetu, lakini dogo ni mpuuzi, namtumia sms asubuhi anajibu jioni, nilimuweka wazi kwamba hiyo tabia sipendi na kama alifanya maamuzi ya kunikubalia bila kutafakari vizuri arudi kuchakata mawazo yake, lakini yeye anasisitiza ananipenda mno, kwa experience yangu watu wakipendana lazima mawasiliano yawepo, najiuliza huyu hata kama nikikomaa nimuoe huko mbeleni atakuja kunisumbua tu?
Nina marafiki wengine wa kike ambao sio wapenzi wangu lakini tunajuliana hali mara nyingi zaidi, lakini huyu sijui anawaza nini kichwani mwake au kwa sababu bado mdogo? Ana miaka 21 sasa hivi.
Nb, hana kazi yoyote ya maana inayomfanya awe busy.