Jibu hoja za dhaifu(Ndugai)
Zile sio hoja ni vioja
Jibu hoja za dhaifu(Ndugai)
Zile sio hoja ni vioja
ShwaimiKinachoendelea sasa mnaotoa si utetezi ni kujidhalilisha.Unazunguka ulimwenguni unaropoka halafu kujaza fomu ya tamko la mali unajiita mahututi?pathetic!
Premature imbecile at kijani work .LISU amezunguka dunia nzima anatangaza "USHOGA" na kwa waliomtuma wanaamini alikuwa kazini na aliifanya kwa ruhusa ya madaktari!
Si jukumu la muajiri kuthibitisha kwamba mfanyakazi wake ana afya ya kutosha kufanya kazi; bali ni jukumu la mfanyakazi mwenyewe kuthibitisha kwamba afya yake haimruhusu kufanya kazi. Hivyo Spika yuko sawa kabisa kumsimamisha kazi Lissu mpaka atakapothibitisha mwenyewe kwa kuambatanisha maelezo ya daktari kwamba hakuweza kuhudhuria kazini.Mahakamani mtakapoulizwa kuzunguka dunia ndio kupona kwa mgonjwa,sijui mtajibu nini!!
Mtakapoambiwa mutoe ushahidi wa daktari kuwa Lissu amepona au anaweza kuendelea na majukumu yake,sijui mtatoa ushahidi gani?!
Pia, mtakapoulizwa mahakamani kupata nafuu na kutoka hospitalini na kisha kutembea hapa na pale ndio uthibitisho wa kupona mgonjwa,sijui mtajibu nini juu ya hili?
Na pia mtakapoulizwa kazi ya kutamka kuwa mgonjwa huyu yuko fiti kuendelea na kazi ni yenu au ni ya daktari,sijui mtakuwa na jibu gani!!
Umezungumzia Sheria ya utumishi wa umma maana yake ukikaa miezi 12 au 18 nje ya kituo chako cha kazi kwa sababu za ugonjwa utastaafishwa kwa mujibu wa sheriaEleza alichokosea na usahihi wa maamuzi ya spika.
Ndo shida yetu huwa inaanzia hapo! hivi upande wa pili umesha jibu hivyo vioja vya jamaa yetu dhaifu?
Kule kwenye interview za kimataifa huwa anatuma salamu za wagonjwa? Hospitalized indeed!can you define the terminology.Does political applies to someone hospitalised?
Kule kwenye interview za kimataifa huwa anatuma salamu za wagonjwa? Hospitalized indeed!can you define the terminology.
kwa hyo kutoka ubelgiji mpaka uingereza ndo alikuwa anafanya mazoez ya jiran na kwake?Unajua maana ya kupewa discharge letter?
Kwa akili zenu,hata mgonjwa anaefanya mazoezi ya kutembea maeneo ya jirani na nyumbani kwake kwa maelekezo ya daktari au kuhudhuria mazoezi yanayosimamiwa na daktari ila hafiki kazini mtu huyo kwa akili zenu ni mtoro kazini na amepona kabisa!!!
Sawa nesi wa zamu.... mpumbavu ni yule aliyeenda leba akakutoa wewe usojitambua! Sheria siyo siasa.Kuna evidence ya daktari asiongee?
Mbona Mpumbavu wewe!
Mahakamani mtakapoulizwa kuzunguka dunia ndio kupona kwa mgonjwa,sijui mtajibu nini!!
Mtakapoambiwa mutoe ushahidi wa daktari kuwa Lissu amepona au anaweza kuendelea na majukumu yake,sijui mtatoa ushahidi gani?!
Pia, mtakapoulizwa mahakamani kupata nafuu na kutoka hospitalini na kisha kutembea hapa na pale ndio uthibitisho wa kupona mgonjwa,sijui mtajibu nini juu ya hili?
Na pia mtakapoulizwa kazi ya kutamka kuwa mgonjwa huyu yuko fiti kuendelea na kazi ni yenu au ni ya daktari,sijui mtakuwa na jibu gani!!
Akili mbovu. Kujaza hizo fomu unahitaji vielelezo kibao ambavyo vingi huwezi kuvipata mpaka uwe Tanzania mfano bank statements, hisa na madeni mengine.Kama anaandika makala mbalimbali na kutuma kwenye mitandao anashindwa nini kujaza fomu za maadili?
Najiuliza,hivi kwa sheria za nchi yetu hasa zinazohusu utumishi wa umma na kwa mujibu wa taratibu za kitabibu,mtumishi wa umma ambae yuko katika matibabu either akiwa amelazwa au anahudhuria matibabu huku akiwa anatokea nyumbani baada ya kulazwa na hana discharge letter kutoka kwa daktari,mtumishi wa aina hii anaweza kuadhibiwa kwa kutofika kazini au kutotimiza jukumu lolote la kiofisi kama kujaza form ya maadili?
Yaani kwa mfano leo hii mtumishi mwenye wadhifa unaomtaka ajaze form ya maadili na bahati mbaya akapata ajali na kulazwa Muhimbili na baada ya muda akaruhusiwa kwenda nyumbani huku akiendelea na matibabu kama mgonjwa wa nje,mtumishi huyu anaweza kuwajibishwa kwa kutokukamilisha majukumu fulani ya kiofisi ili hali bado yuko kwenye matibabu na bado afya yake haimruhusu kurudi kazini?
Kwa maneno mengine,ukiwa mgonjwa na afya yako haikurusu kurudi kazini au kurudi nchini kuendelea na majukumu yako,unaweza kutumiwa nyaraka yoyote ya kiofisi isohusiana na matibabu yako uifanyie kazi?
Na kwa anaetibiwa nje ya nchi sio ndio kabisa?
Alafu sijui walitaka Lissu aingie Bungeni na machuma miguuni!!!!
LISU amezunguka dunia nzima anatangaza "USHOGA" na kwa waliomtuma wanaamini alikuwa kazini na aliifanya kwa ruhusa ya madaktari!
Mgonjwa ataambiwa awasilishe Barua ya kulazwa.Mahakamani mtakapoulizwa kuzunguka dunia ndio kupona kwa mgonjwa,sijui mtajibu nini!!
Mtakapoambiwa mutoe ushahidi wa daktari kuwa Lissu amepona au anaweza kuendelea na majukumu yake,sijui mtatoa ushahidi gani?!
Pia, mtakapoulizwa mahakamani kupata nafuu na kutoka hospitalini na kisha kutembea hapa na pale ndio uthibitisho wa kupona mgonjwa,sijui mtajibu nini juu ya hili?
Na pia mtakapoulizwa kazi ya kutamka kuwa mgonjwa huyu yuko fiti kuendelea na kazi ni yenu au ni ya daktari,sijui mtakuwa na jibu gani!!
Sick leave with pay Ni miezi 6. Baada ya hapo unalipwa nusu mshahara.Jokes aside, hutakiwi kujishughulisha na mambo ya ofisi wakati una leave ya hospitali
Umeandika maelezo marefu na mazuri nilidhani unazungumzia suala la kiutumishi wa Umma nikajiandaa kuelezea facts kwa mujibu wa utumishi wa Umma. Lakini mwishoni naona umemalizia na habari za Tundu Lissu nikaona nikae kimya maana masuala ya kibunge/siasa hayaendani na Utumishi wa Umma. Basi kwa hilo wataalamu ngoja waelezee.Najiuliza,hivi kwa sheria za nchi yetu hasa zinazohusu utumishi wa umma na kwa mujibu wa taratibu za kitabibu,mtumishi wa umma ambae yuko katika matibabu either akiwa amelazwa au anahudhuria matibabu huku akiwa anatokea nyumbani baada ya kulazwa na hana discharge letter kutoka kwa daktari,mtumishi wa aina hii anaweza kuadhibiwa kwa kutofika kazini au kutotimiza jukumu lolote la kiofisi kama kujaza form ya maadili?
Yaani kwa mfano leo hii mtumishi mwenye wadhifa unaomtaka ajaze form ya maadili na bahati mbaya akapata ajali na kulazwa Muhimbili na baada ya muda akaruhusiwa kwenda nyumbani huku akiendelea na matibabu kama mgonjwa wa nje,mtumishi huyu anaweza kuwajibishwa kwa kutokukamilisha majukumu fulani ya kiofisi ili hali bado yuko kwenye matibabu na bado afya yake haimruhusu kurudi kazini?
Kwa maneno mengine,ukiwa mgonjwa na afya yako haikurusu kurudi kazini au kurudi nchini kuendelea na majukumu yako,unaweza kutumiwa nyaraka yoyote ya kiofisi isohusiana na matibabu yako uifanyie kazi?
Na kwa anaetibiwa nje ya nchi sio ndio kabisa?
Alafu sijui walitaka Lissu aingie Bungeni na machuma miguuni!!!!