Hivi mtu unapokuwa mgonjwa na hujaruhusiwa kutoka hospitalini au kuendelea na majukumu yako,kisheria unatakiwa kufanya jambo lolote la kiofisi?

Sheria ya utumishi wa umma iko wazi kabisa kwamba kama ukikosekana kazini kwa siku tatu mfululizo bila taarifa unakuwa umejifukuza kazi. Kama ulilazwa hospitali na baadaye ukaruhusiwa lakini daktari anaona bado huwezi kurudi kazini, atakupa barua ya kusema ulilazwa kuanzia siku fulani hadi siku fulani na sasa umetoka hospitali lakini unahitaji kupumzika nyumbani kwa siku kadhaa kabla ya kurudi kazini. Bila barua kama hiyo utakuwa umejifukuzaa kazi na wala si jukumu la muajiri kutafuta barua hiyo kutoka kwa daktari. Ni juu yako wewe mwenyewe kupeleka barua hiyo.
Mpaka hapa ujue tu Lissu ameshawashinda.
 
Kinachoendelea sasa mnaotoa si utetezi ni kujidhalilisha.Unazunguka ulimwenguni unaropoka halafu kujaza fomu ya tamko la mali unajiita mahututi?pathetic!

1. Wagonjwa wa akili au psychology disturbances anasafiri? Au kunakifungu cha sheria nikasema wasisafiri

2.Kwanini mtu anapoapa anasema NIKIWA NA AKILI TIMAMU

3. Nani kuthibitisha utimamu au kupona kwa mgonjwa
 
Poor communication skills between employee and employer..mie nilifutwa kazi baada ya mwezi tu. Kwanza wakemvumilia sana.
 
Kuzunguka dunia kuna tofauti gani na kuendelea na matibabu ukiwa nyumbani baada ya kupata nafuu?
Umetoa taarifa/maandishi ofsn kama bado unaumwa na upo kwny matibabu?

Tutakuamini vp upo kwny matibabu ilihali tunakuona ukizunguka nchi mbali mbali kufanya mikutano na mahojiano?

Kama umeweza kuzunguka huko na huko ukifanya mahojiano na mikutano, unashindwa nini kuja kazini?

Thanks
 
Kuzunguka dunia kuna tofauti gani na kuendelea na matibabu ukiwa nyumbani baada ya kupata nafuu?
Hifadhi ujinga wako. Tafuta namna nyingine ya kumtetea. Ulichoandika ni ujinga mtupu. Vyombo vya habari haviiti wagonjwa studio thuwafuata wodini. Lieu Hakuna busara kufanya mawasiliano na Ofisi yake eti ni mgonjwa. Kwa njia hiyo hiyo aliyoitumia kujibu mialiko ya Marekani, Ujerumani na Uingereza angeitumia kuwasiliana na Ofisi ya spika.
Hiii ni kuchamba mwingi... Kila mchuma janga hula na wakwao kuleni hilo janga na itieni hasara nchi kwa uchaguzi mdogo.
 
Kwahiyo kuandika makala mitandoni ni sawa na kufanya/kukamilisha majukumu ya kiofisi?

Au wewe ukiwa mgonjwa nyumbani lakini unaweza kutembea na hata kuandika basi uhukumiwe kwa kutofika kazini?

Hii miwatu akili imejaa tope kabisa!!!
Akili yako ndo imejaa tope mkuu
Kutoka nchi moja kwnlenda nyingine ni kutembea hapa na pale? Tena kwa mgonjwa?

Kama anaweza kuandika makala, anashindwaje kujaza fomu ya mali? Rudia tena, kujaza fomu ya mali? Hii nayo ilikuwa mpaka apone?
 
Umetoa taarifa/maandishi ofsn kama bado unaumwa na upo kwny matibabu?

Tutakuamini vp upo kwny matibabu ilihali tunakuona ukizunguka nchi mbali mbali kufanya mikutano na mahojiano?

Kama umeweza kuzunguka huko na huko ukifanya mahojiano na mikutano, unashindwa nini kuja kazini?

Thanks
Unajua maana ya kupewa discharge letter?

Kwa akili zenu,hata mgonjwa anaefanya mazoezi ya kutembea maeneo ya jirani na nyumbani kwake kwa maelekezo ya daktari au kuhudhuria mazoezi yanayosimamiwa na daktari ila hafiki kazini mtu huyo kwa akili zenu ni mtoro kazini na amepona kabisa!!!
 
Sheria ya utumishi wa umma iko wazi kabisa kwamba kama ukikosekana kazini kwa siku tatu mfululizo bila taarifa unakuwa umejifukuza kazi. Kama ulilazwa hospitali na baadaye ukaruhusiwa lakini daktari anaona bado huwezi kurudi kazini, atakupa barua ya kusema ulilazwa kuanzia siku fulani hadi siku fulani na sasa umetoka hospitali lakini unahitaji kupumzika nyumbani kwa siku kadhaa kabla ya kurudi kazini. Bila barua kama hiyo utakuwa umejifukuzaa kazi na wala si jukumu la muajiri kutafuta barua hiyo kutoka kwa daktari. Ni juu yako wewe mwenyewe kupeleka barua hiyo.
Well said
 
Najiuliza,hivi kwa sheria za nchi yetu hasa zinazohusu utumishi wa umma na kwa mujibu wa taratibu za kitabibu,mtumishi wa umma ambae yuko katika matibabu either akiwa amelazwa au anahudhuria matibabu huku akiwa anatokea nyumbani baada ya kulazwa na hana discharge letter kutoka kwa daktari,mtumishi wa aina hii anaweza kuadhibiwa kwa kutofika kazini au kutotimiza jukumu lolote la kiofisi kama kujaza form ya maadili?

Yaani kwa mfano leo hii mtumishi mwenye wadhifa unaomtaka ajaze form ya maadili na bahati mbaya akapata ajali na kulazwa Muhimbili na baada ya muda akaruhusiwa kwenda nyumbani huku akiendelea na matibabu kama mgonjwa wa nje,mtumishi huyu anaweza kuwajibishwa kwa kutokukamilisha majukumu fulani ya kiofisi ili hali bado yuko kwenye matibabu na bado afya yake haimruhusu kurudi kazini?

Kwa maneno mengine,ukiwa mgonjwa na afya yako haikurusu kurudi kazini au kurudi nchini kuendelea na majukumu yako,unaweza kutumiwa nyaraka yoyote ya kiofisi isohusiana na matibabu yako uifanyie kazi?

Na kwa anaetibiwa nje ya nchi sio ndio kabisa?
Siungi mkono kitendo alichofanya ndugai ila Lissu kwa namna Moja au nyingine amekosea
 
LISU amezunguka dunia nzima anatangaza "USHOGA" na kwa waliomtuma wanaamini alikuwa kazini na aliifanya kwa ruhusa ya madaktari!
Jib swali kwasheria za kiutumishi tz ,zinasemaje.unaweza kua shoga wewe.mamboyote aliyofanyiwa kaka wa taifa,unaona ushoga basi!!,zamani tulikua tunafuta ujinga watu wazima,leo vijana ndo wanafutwa ujinga.kweli yooooote lisu amefanya ushoga ndo umeona...bongochosha.
 
Jibu hoja za dhaifu(Ndugai)
Najiuliza,hivi kwa sheria za nchi yetu hasa zinazohusu utumishi wa umma na kwa mujibu wa taratibu za kitabibu,mtumishi wa umma ambae yuko katika matibabu either akiwa amelazwa au anahudhuria matibabu huku akiwa anatokea nyumbani baada ya kulazwa na hana discharge letter kutoka kwa daktari,mtumishi wa aina hii anaweza kuadhibiwa kwa kutofika kazini au kutotimiza jukumu lolote la kiofisi kama kujaza form ya maadili?

Yaani kwa mfano leo hii mtumishi mwenye wadhifa unaomtaka ajaze form ya maadili na bahati mbaya akapata ajali na kulazwa Muhimbili na baada ya muda akaruhusiwa kwenda nyumbani huku akiendelea na matibabu kama mgonjwa wa nje,mtumishi huyu anaweza kuwajibishwa kwa kutokukamilisha majukumu fulani ya kiofisi ili hali bado yuko kwenye matibabu na bado afya yake haimruhusu kurudi kazini?

Kwa maneno mengine,ukiwa mgonjwa na afya yako haikurusu kurudi kazini au kurudi nchini kuendelea na majukumu yako,unaweza kutumiwa nyaraka yoyote ya kiofisi isohusiana na matibabu yako uifanyie kazi?

Na kwa anaetibiwa nje ya nchi sio ndio kabisa?
 
Akili yako ndo imejaa tope mkuu
Kutoka nchi moja kwnlenda nyingine ni kutembea hapa na pale? Tena kwa mgonjwa?

Kama anaweza kuandika makala, anashindwaje kujaza fomu ya mali? Rudia tena, kujaza fomu ya mali? Hii nayo ilikuwa mpaka apone?

Kwenye maelekezo ya madakitari unafaham wameshauri nini?

Unafaham dakitari anauwezo kukushauri unitumie choo cha shimo Bali cha kukaa kwa kuzingatia mahitaji ya matibabu yako?
 
Back
Top Bottom