Nyalumana originally
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 408
- 1,319
Nadhani utamaduni wetu wabongo kutopenda vitu vya bei ya chini sana tukiamini kitu kikishakuwa bei ya chini tunahisi kina kasoro fulani mf; Kilimanjaro water imekaa kwenye bei halisi miaka mingi kwa ujazo ule ule bila kubadilika.
Linganisha matumizi pia ya bidhaa za Coca-Cola na Pepsi,Coca ipo juu daima,ukienda sehemu mwenzio apewe coca wewe uliepewa Pepsi utajisikia hovyo
Kuna Colgate na Whitedent,whitedent watasubiri sana kwa colgate
Bidhaa za Toyota na Tata,Tata watasubiri sana japo bidhaa zao ni za bei ya chini.
Sisi Watanzania tunapenda kujiaminisha kupitia bei tukiamini kitu cha bei kubwa ndicho kizuri,hatuangilii cha bei ya chini kwani tunaamini udogo wa bei ndio mapungufu yake
Linganisha matumizi pia ya bidhaa za Coca-Cola na Pepsi,Coca ipo juu daima,ukienda sehemu mwenzio apewe coca wewe uliepewa Pepsi utajisikia hovyo
Kuna Colgate na Whitedent,whitedent watasubiri sana kwa colgate
Bidhaa za Toyota na Tata,Tata watasubiri sana japo bidhaa zao ni za bei ya chini.
Sisi Watanzania tunapenda kujiaminisha kupitia bei tukiamini kitu cha bei kubwa ndicho kizuri,hatuangilii cha bei ya chini kwani tunaamini udogo wa bei ndio mapungufu yake