theophilius
Senior Member
- Nov 19, 2010
- 150
- 54
Kwangu binafsi nilijua ile siku ya jumamosi jioni wangekuwa wamemaliza mchakato wa kujiuzuru kwa jinsi walivyo ihujumu Tanzania. Lakini mpaka saa hivi kimya au ndio kanyaga twende Watanzania ni wepesi kulalama na kusahau
wanasubiri kutemewa mate mbele ya aliyewateua....