unamuonea wapi huyo mtoto wa kike!!Hi' wanajamii!
Hivi ni kweli kwamba bikini kwa hapa bongo inaashiria uhuni au ukahaba kwa mvaaji,,,?
Naombeni mtazamo wenu kwa hili,binafsi huwa nafurahi sana kumuona mtoto wa kike akiwa ameivaa.
Mr Leo sio uhuni... what your take on the matter?
mmmh, tule tumikanda kanda
vila bana, utadhani wajif... Mwenyewe bana
Nime google wanasema asili yake ni Afrika . Lol.
Jina sahihi ni G String na si bikini...ingawa wengi tunaita bikini.
mtoa mada amemisuse the term bikini...a bikini is a two piece swimsuit yani piece moja sidiria,piece nyingine chu*i...a bikini underwear ndo hizi ambazo twavaa ndani zinazofunika sehemu kidogo ya t*ko...thong ni zile ambazo kwa nyuma kuna material nyembamba about 2 inchez or less...and when the material is so thin inaitwa g-string...Mi sina utaalamu wa nguo...ila nayovaa inanifit vizuri tu. Hizo specification nyingine mi sizijuagi..ndio maana naita bikini.
Sasa kama inapita juu ya t.a.k.o ...mleta mada mbona ameona ni big deal? Au na yeye ni mwenzangu na mie ana generalize tu.
Sasa mchina wangu picha sijui nawekaje. Ila asante kwa kumuelimisha.mtoa mada amemisuse the term bikini...a bikini is a two piece swimsuit yani piece moja sidiria,piece nyingine chu*i...a bikini underwear ndo hizi ambazo twavaa ndani zinazofunika sehemu kidogo ya t*ko...thong ni zile ambazo kwa nyuma kuna material nyembamba about 2 inchez or less...and when the material is so thin inaitwa g-string...
mtoa mada amemisuse the term bikini...a bikini is a two piece swimsuit yani piece moja sidiria,piece nyingine chu*i...a bikini underwear ndo hizi ambazo twavaa ndani zinazofunika sehemu kidogo ya t*ko...thong ni zile ambazo kwa nyuma kuna material nyembamba about 2 inchez or less...and when the material is so thin inaitwa g-string...
Saa hizi atakuwa keshalewa gongo hata macho hayaoni, si unajua bia zimepanda bei?
Akinikamata nimekwisha!eep:
Hahahahaaaaa! Umenikumbusha lile kundi la Khanga Ndembendembe , Khanga Moko, Laki si Pesa, Milioni Deni
afadhali wee hata umejua na majina
mie naona wanajifunga zijikamba tu.