M mkurugenzi1 Senior Member Mar 22, 2009 122 28 Jan 5, 2011 #1 ....nijuzeni zina tolewa wapi?. Happy New Year.
kiraia JF-Expert Member Nov 20, 2007 1,716 999 Jan 5, 2011 #2 Kama unazitaka Nenda BOT, vipi umetengeza za kwako Mkuregenzi na ungetaka ziende sambamba? au ndio unata kukopy fasta?
Kama unazitaka Nenda BOT, vipi umetengeza za kwako Mkuregenzi na ungetaka ziende sambamba? au ndio unata kukopy fasta?
M mkurugenzi1 Senior Member Mar 22, 2009 122 28 Jan 5, 2011 Thread starter #3 siunajua hapa bongo...ukichelewa utalala njaa.
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,499 86,037 Jan 5, 2011 #4 Si ndio zile zilizoibwa pale Airport?? wana haha kutengeneza nyingine hahahahahhaaa
Single D JF-Expert Member Feb 27, 2007 457 14 Jan 5, 2011 #5 Nilitegemea juzi j3 ziwe zimejaa mtaani na kwenye ATM lakini hola!
drphone JF-Expert Member Sep 29, 2009 3,542 281 Jan 5, 2011 #7 mbona unaharaka sana kwani kuna dead line ya zamani au unazabandia mkuu