Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,287
- 7,388
Habari wakuu,
Tangu walipotangaza mabadiliko ya nauli za daladala imekua ni kero kwenye kila daladala. Mtu ukipanda wakati wa kutoa nauli lazima konda akuulize una sh 100 hapo?
Au wakuu nyie mna magari binafsi hili swala hamna taarifa nalo?
Anyway Happy new year 2024 Ukawe mwaka wa neema na baraka
Tangu walipotangaza mabadiliko ya nauli za daladala imekua ni kero kwenye kila daladala. Mtu ukipanda wakati wa kutoa nauli lazima konda akuulize una sh 100 hapo?
Au wakuu nyie mna magari binafsi hili swala hamna taarifa nalo?
Anyway Happy new year 2024 Ukawe mwaka wa neema na baraka