Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Kaka wakati tunaendelea na majadiliano kasome english course ili uwe fit pale british council maana utakosa kazi kweli atiii.
Hatuna kitu, vile tulivyonavyo si vyetu wamepewa wenye lugha zao atakutaka nini tena wewe? kama ni mgodi anao yeye wewe aje kwako kufanya nini mpaka ajue english. inabidi tujifunze ili tuombe vibarua. China na ufaransa na nchi zingine hawamtegemei mtu kwenye uchumi wao.
Hatuna kitu, vile tulivyonavyo si vyetu wamepewa wenye lugha zao atakutaka nini tena wewe? kama ni mgodi anao yeye wewe aje kwako kufanya nini mpaka ajue english. inabidi tujifunze ili tuombe vibarua. China na ufaransa na nchi zingine hawamtegemei mtu kwenye uchumi wao.