Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Katika usaili unaofanyika katika maeneo mengi unakuwa katika lugha hii ya kigeni na wale wanaoonekana kubwabwaja vizuri lugha hii ya wakoloni ndiyo huesabiwa kama bora na wakati mwingine kupata ajira.
hata matamshi ya wananchi ni kuwa mtu anayetema vema ung'eng'e anaonekana ndiye msomi hata kama ni bongo lala
hivi tufanye nini kuondokana na tatizo hili kama wenzetu china ambapo lugha za magharibi wanazitumia kwa utashi tu wa jambo fulani
au bado tunatawaliwa!
hata matamshi ya wananchi ni kuwa mtu anayetema vema ung'eng'e anaonekana ndiye msomi hata kama ni bongo lala
hivi tufanye nini kuondokana na tatizo hili kama wenzetu china ambapo lugha za magharibi wanazitumia kwa utashi tu wa jambo fulani
au bado tunatawaliwa!