LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
Sio kosa ila ni Upumbavu. Tumeshaelimishwa sana kuhusu athari za kujitofautisha katika misingi ya Utanganyika na Uzanzibari. Hakuna mantiki iliyo dhahiri ya wewe kumwita mpemba (wich is inappropriate) badala ya Mtanzania (wich is logical and appropriate).
Kweli, si vizuri kubaguana!