Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Haki ya MUNGU Watanganyika lazima tubadilike na kuitukuza Tanganyika yetu. Wazanibar wametupiga bao wanajitambulisha kwa uzanibari na upemba. Mi mzanzibar mi mpemba .Sisi watanzania mpaka ukakasi mi MTANGANYIKA. TAFAKARI BADILIKA CHUKUA HATUA .Jivunie Utanganyika wako
Nimekusoma mwana... My Tanganyika!