The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
hivi nchi hii kuna watu ambao hawapashwi kukosa uwaziri?
Ukitaka kula, lazima nawe ukubali kuliwa kidogo!...By JK!hivi nchi hii kuna watu ambao hawapashwi kukosa uwaziri?
Ukitaka kula, lazima nawe ukubali kuliwa kidogo!...By JK!
hahaha! PJ bwana!
Sasa kama ndo hivyo, mbona wapo wengi sana, tena wengine wanaume.
Kwani kazi ya Tyson ni nini?