Mikoa ambayo haijawahi kuwa na mkuu wa Mkoa Mwanamke

Orketeemi

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
4,319
10,022
Nimekaa nikavuta kumbukumbu na kuona kuwa pamoja na kuishi Sana Tanzania sijapata kusikia mwanamke akiteuliwa kuongoza mkoa wowote Kati ya hii.

1. Mbeya
2. Mwanza
3...
4.....

Hivi ni Kwa nini?

Usiitaje Dar , maana Dar imewahi kuongozwa na mwanamama Jasiri ( Mary Chipungahelo " Mary Chipsi"
 
Nimekaa nikavuta kumbukumbu na kuona kuwa pamoja na kuishi Sana Tanzania sijapata kusikia mwanamke akiteuliwa kuongoza mkoa wowote Kati ya hii.

1. Mbeya
2. Mwanza
3...
4.....

Hivi ni Kwa nini?

Usiitaje Dar , maana Dar imewahi kuongozwa na mwanamama Jasiri ( Mary Chipungahelo " Mary Chipsi"
Kwahiyo Elizabeth Ngoye alitewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro akitokea Mbeya alikuwa ni Bibi yako?
 
Nimekaa nikavuta kumbukumbu na kuona kuwa pamoja na kuishi Sana Tanzania sijapata kusikia mwanamke akiteuliwa kuongoza mkoa wowote Kati ya hii.

1. Mbeya
2. Mwanza
3...
4.....

Hivi ni Kwa nini?

Usiitaje Dar , maana Dar imewahi kuongozwa na mwanamama Jasiri ( Mary Chipungahelo " Mary Chipsi"
Halima Dendego wa Iringa ni mkweo au?
 
Nimekaa nikavuta kumbukumbu na kuona kuwa pamoja na kuishi Sana Tanzania sijapata kusikia mwanamke akiteuliwa kuongoza mkoa wowote Kati ya hii.

1. Mbeya
2. Mwanza
3...
4.....

Hivi ni Kwa nini?

Usiitaje Dar , maana Dar imewahi kuongozwa na mwanamama Jasiri ( Mary Chipungahelo " Mary Chipsi"
Mara
 
Nimekaa nikavuta kumbukumbu na kuona kuwa pamoja na kuishi Sana Tanzania sijapata kusikia mwanamke akiteuliwa kuongoza mkoa wowote Kati ya hii.

1. Mbeya
2. Mwanza
3...
4.....

Hivi ni Kwa nini?

Usiitaje Dar , maana Dar imewahi kuongozwa na mwanamama Jasiri ( Mary Chipungahelo " Mary Chipsi"
Hii nayo ni maada?
 
Back
Top Bottom