sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Hizi sifa anazopewa Rais wa Tanzania zinamsataili?
Kila uchwao tunasikia Rais ametoa pesa za mradi fulani, mara Mradi fulani nauliza Rais wetu hizo pesa anazitoa wapi zaidi ya kodi zetu?
Kama ni kodi zetu kwa nini sifa apewe yeye wakati kazi yake ni kutunza kibubu cha fedha tunazo lipa kodi sisi? Hivi hawa mawaziri kwa nini wanamsifia mtu aliye wateua tu na kutuacha sisi ambao tuliwachagua jimboni na yeye ndo akawaona akawapa zawadi ya uwaziri?
Je Rais wetu kwa maana ya mtunza kibubu anaamua mwenyewe fedha zetu zitumikeje hakuna mamlaka ya kumwelekeza jinsi ya kutumia fedha zetu? (usinione kichaa sasa Rais wa CCM Bunge la CCM watampangia nini?)
Sifa zimekuwa nyingi, tunao staili sifa ni sisi na sio mtunza kibubu.
Kila uchwao tunasikia Rais ametoa pesa za mradi fulani, mara Mradi fulani nauliza Rais wetu hizo pesa anazitoa wapi zaidi ya kodi zetu?
Kama ni kodi zetu kwa nini sifa apewe yeye wakati kazi yake ni kutunza kibubu cha fedha tunazo lipa kodi sisi? Hivi hawa mawaziri kwa nini wanamsifia mtu aliye wateua tu na kutuacha sisi ambao tuliwachagua jimboni na yeye ndo akawaona akawapa zawadi ya uwaziri?
Je Rais wetu kwa maana ya mtunza kibubu anaamua mwenyewe fedha zetu zitumikeje hakuna mamlaka ya kumwelekeza jinsi ya kutumia fedha zetu? (usinione kichaa sasa Rais wa CCM Bunge la CCM watampangia nini?)
Sifa zimekuwa nyingi, tunao staili sifa ni sisi na sio mtunza kibubu.